Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Kuendelea utata kuhusu kufanyika uchaguzi wa Palestina

    Kuendelea utata kuhusu kufanyika uchaguzi wa Palestina

    Dec 27, 2019 06:49

    Baada ya kupita zaidi ya miezi mitatu tokea Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) atangaze azma ya kufanyika uchaguzi, bado kunaendelea kushuhudiwa utata na hitilafu kuhusu kadhia hiyo.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea + Video

    Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea + Video

    Dec 26, 2019 08:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea kutokana na mashambulizi yake ya mara kwa mara katika Ukanda wa Ghaza.

  • UN yatiwa wasiwasi na ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika ardhi ya Palestina

    UN yatiwa wasiwasi na ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika ardhi ya Palestina

    Dec 24, 2019 04:30

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Mashariki ya Kati amesema kuwa, mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi na Quds Mashariki huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu umeongezeka kwa asilimia 70 mwaka huu ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.

  • Waziri wa Israel aitaka Tel Aviv kubomoa kijiji kimoja cha Wapelestina kila siku

    Waziri wa Israel aitaka Tel Aviv kubomoa kijiji kimoja cha Wapelestina kila siku

    Dec 22, 2019 23:13

    Waziri wa Usafirishaji wa Israel ametoa wito wa kuvunjwa kijiji kimoja cha Palestina kila siku na kuangamiza kabisa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ikiwa ni katika kulipiza kisasi dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kuanza uchunguzi kuhusu jinai zilizofanywa na utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi ikiwemo Quds na Ukanda wa Gaza.

  • Netanyahu apongeza juhudi za Imarati za kuimarisha uhusiano na Israel

    Netanyahu apongeza juhudi za Imarati za kuimarisha uhusiano na Israel

    Dec 22, 2019 10:33

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amepongeza jitihada zinazofanywa na Umoja wa Falme za Kiarabu za kutaka kuimarisha na kufanya wa kawaida uhusiano wa utawala huo pandikizi na baadhi ya nchi za Kiarabu.

  • Palestina yakaribisha uamuzi wa ICC wa kuchunguza jinai zilizofanywa na Israel Gaza na Ufukwe wa Magharibi

    Palestina yakaribisha uamuzi wa ICC wa kuchunguza jinai zilizofanywa na Israel Gaza na Ufukwe wa Magharibi

    Dec 21, 2019 04:30

    Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kuchunguza jinai za kivita zilizofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Arab League yailaani Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara Quds tukufu

    Arab League yailaani Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara Quds tukufu

    Dec 20, 2019 08:12

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeikosoa vikali Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara katika mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Dec 17, 2019 04:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa wito wa kuwekwa jina la walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina katika orodha ya magaidi.

  • Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS al-Khalil

    Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS al-Khalil

    Dec 12, 2019 21:13

    Vikosi vya usalama vya utawala haramu wa Israel vimeendeleza chokochoko zake kwa kuwatia mbaroni viongozi kadhaa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) mjini al-Khalil (Hebron), katika Ukiongo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Luxembourg yaiandikia barua EU kuhusu kutambuliwa rasmi taifa la Palestina

    Luxembourg yaiandikia barua EU kuhusu kutambuliwa rasmi taifa la Palestina

    Dec 09, 2019 23:50

    Luxembourg imeuandikia barua Umoja wa Ulaya, ikiutaka umoja huo uitambue rasmi nchi huru ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS