Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi

    Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi

    Dec 08, 2019 23:11

    Serikali ya rais Donald Trump imekuwa ikitekeleza hatua zisizo za kawaida katika uwanja wa kuunga mkono vitendo vilivyo kinyume cha sheria vya utawala haramu wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.

  • Maelfu ya Wapalestina wafurika kwenye haram ya Nabii Ibrahim kuzuia njama za Uyahudishaji

    Maelfu ya Wapalestina wafurika kwenye haram ya Nabii Ibrahim kuzuia njama za Uyahudishaji

    Dec 06, 2019 12:09

    Maelfu ya Wapalestina walifurika katika haram ya Nabii Ibrahim eneo la Al-Khalil (Hebron) kutokana na mwito uliotolewa hapo kabla, ambapo walisali sala ya Alfajiri mahali hapo ili kuzuia njama za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.

  • Misri yatoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    Misri yatoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    Dec 05, 2019 06:56

    Mwakilishi wa kudumu wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina na kusema kuwa, amani na utulivu haviwezi kupatikana bila ya kuchukuliwa hatua hiyo.

  • Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni

    Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni

    Dec 05, 2019 04:38

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.

  • UN: Ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel unaisababishia Palestina hasara ya dola bilioni 2.5 kwa mwaka

    UN: Ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel unaisababishia Palestina hasara ya dola bilioni 2.5 kwa mwaka

    Dec 03, 2019 04:17

    Umoja wa Mataifa umesema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina inausababishia uchumi wa Wapalestina hasara ya dola bilioni 2.5 kila mwaka.

  • Mwendesha Mashtaka wa ICC akataa tena kuchunguza shambulizi la makomandoo wa Israel

    Mwendesha Mashtaka wa ICC akataa tena kuchunguza shambulizi la makomandoo wa Israel

    Dec 03, 2019 04:12

    Kwa mara nyingine tena, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amekataa kufungua faili la kuchunguza shambulizi lililofanywa na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya meli ya Marmar ya Uturuki iliyokuwa imebeba shehena ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza mwaka 2010.

  • Jamii ya kimataifa yakosolewa kwa kunyamazia kimya jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Jamii ya kimataifa yakosolewa kwa kunyamazia kimya jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Dec 02, 2019 08:56

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imekikosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina na kueleza kuwa hilo ni doa baya katika paji la uso la walimwengu.

  • 29 Novemba Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina

    29 Novemba Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina

    Nov 30, 2019 09:08

    Jana tarehe 29 Novemba iliadhimishwa kote duniani kama Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina

  • Wapalestina wapambana na askari wa Israel katika maandamano ya

    Wapalestina wapambana na askari wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu"

    Nov 26, 2019 22:13

    Wapalestina mapema leo wamepigana na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu" kupinga siasa za Marekani za kukingia kifua na kuhalalisha wizi wa ardhi za Palestina.

  • Mpalestina mwenye saratani afia jela Israel kwa kunyimwa matibabu

    Mpalestina mwenye saratani afia jela Israel kwa kunyimwa matibabu

    Nov 26, 2019 22:11

    Raia wa Palestina aliyekuwa anaugua ugonjwa wa saratani amepoteza maisha mikononi mwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kunyimwa matibabu na dawa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS