-
Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi
Dec 08, 2019 23:11Serikali ya rais Donald Trump imekuwa ikitekeleza hatua zisizo za kawaida katika uwanja wa kuunga mkono vitendo vilivyo kinyume cha sheria vya utawala haramu wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.
-
Maelfu ya Wapalestina wafurika kwenye haram ya Nabii Ibrahim kuzuia njama za Uyahudishaji
Dec 06, 2019 12:09Maelfu ya Wapalestina walifurika katika haram ya Nabii Ibrahim eneo la Al-Khalil (Hebron) kutokana na mwito uliotolewa hapo kabla, ambapo walisali sala ya Alfajiri mahali hapo ili kuzuia njama za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.
-
Misri yatoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Dec 05, 2019 06:56Mwakilishi wa kudumu wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina na kusema kuwa, amani na utulivu haviwezi kupatikana bila ya kuchukuliwa hatua hiyo.
-
Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni
Dec 05, 2019 04:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.
-
UN: Ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel unaisababishia Palestina hasara ya dola bilioni 2.5 kwa mwaka
Dec 03, 2019 04:17Umoja wa Mataifa umesema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina inausababishia uchumi wa Wapalestina hasara ya dola bilioni 2.5 kila mwaka.
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC akataa tena kuchunguza shambulizi la makomandoo wa Israel
Dec 03, 2019 04:12Kwa mara nyingine tena, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amekataa kufungua faili la kuchunguza shambulizi lililofanywa na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya meli ya Marmar ya Uturuki iliyokuwa imebeba shehena ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza mwaka 2010.
-
Jamii ya kimataifa yakosolewa kwa kunyamazia kimya jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Dec 02, 2019 08:56Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imekikosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina na kueleza kuwa hilo ni doa baya katika paji la uso la walimwengu.
-
29 Novemba Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina
Nov 30, 2019 09:08Jana tarehe 29 Novemba iliadhimishwa kote duniani kama Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina
-
Wapalestina wapambana na askari wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu"
Nov 26, 2019 22:13Wapalestina mapema leo wamepigana na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu" kupinga siasa za Marekani za kukingia kifua na kuhalalisha wizi wa ardhi za Palestina.
-
Mpalestina mwenye saratani afia jela Israel kwa kunyimwa matibabu
Nov 26, 2019 22:11Raia wa Palestina aliyekuwa anaugua ugonjwa wa saratani amepoteza maisha mikononi mwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kunyimwa matibabu na dawa.