Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Russia yakosoa kitendo cha Marekani kukwamisha kupasishwa tamko la kulaani kubomolewa  nyumba za Wapalestina

    Russia yakosoa kitendo cha Marekani kukwamisha kupasishwa tamko la kulaani kubomolewa nyumba za Wapalestina

    Jul 30, 2019 06:28

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekitaja kitendo cha Marekani cha kuzuia kupasishwa taarifa inayolaani kubomolewa nyumba za raia wa Palestina katika mji wa Quds kuwa ni ishara nyingine ya upuuzaji wa Washington wa sheria za kimataifa.

  • Mufti wa Syria: Waislamu waungane katika suala la Palestina

    Mufti wa Syria: Waislamu waungane katika suala la Palestina

    Jul 29, 2019 22:27

    Mufti Mkuu wa Syria amewahimiza Waislamu washikamane na kuwa kitu kimoja dhidi ya njama zinazopikwa na maadui dhidi ya kadhia ya Palestina.

  • Baraza la Taifa la Palestina lamuunga mkono Mahmoud Abbas kwa kusitisha utekelezaji wa makubaliano na Israel

    Baraza la Taifa la Palestina lamuunga mkono Mahmoud Abbas kwa kusitisha utekelezaji wa makubaliano na Israel

    Jul 27, 2019 23:36

    Baraza la Taifa la Palestina limetangaza kuwa, kusitishwa utekelezaji wa hati za makubaliano yaliyofikiwa kati ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na Israel ni mwanzo wa awamu mpya ya makabiliano ya pande zote na Wazayuni maghasibu.

  • Katibu Mkuu wa UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina si halali kisheria

    Katibu Mkuu wa UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina si halali kisheria

    Jul 26, 2019 02:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, anatiwa wasiwasi na ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa, sera za Israel za kuharibu na kuteketeza mali za Wapalestina haziendani na sheria za kimataifa.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jul 25, 2019 21:04

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Jul 23, 2019 23:26

    Utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa katika vita vilivyodumu kwa muda wa siku mbili tu, hivi sasa umeanzisha duru mpya ya jinai zake dhidi ya Wapalestina kwa kubomoa nyumba za wananchi hao madhulumu.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina yalaani kuharibiwa nyumba za Wapalestina mjini Quds

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina yalaani kuharibiwa nyumba za Wapalestina mjini Quds

    Jul 22, 2019 08:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelaani kitendo cha utawala haramu wa Kizayuni wa Israel cha kubomoa nyumba za Wapalestina katika eneo la Sur Baher katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Hamas: Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ameisaliti Palestina

    Hamas: Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ameisaliti Palestina

    Jul 20, 2019 03:17

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali kitendo cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain, Khalid bin Ahmad bin Muhammad Aal Khalifa cha kukukata na kufanya mazungumzo hadharani na mwenzake wa utawala haramu wa Israel, Israel Katz nchini Marekani.

  • Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Jul 18, 2019 22:03

    Musa Abu Marzouq mjumbe wa ngazi ya juu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa wito wa kususiwa sarafu ya dola ya Marekani.

  • Mousa Abu Marzook: Jeuri ya Marekani mkabala na Iran haikubaliki

    Mousa Abu Marzook: Jeuri ya Marekani mkabala na Iran haikubaliki

    Jul 18, 2019 09:20

    Mousa Mohammed Abu Marzook, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza juu ya uhusiano mzuri wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kubainisha kwamba, HAMAS haikubaliani na ujeuri wa Washington katika kuamiliana na Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS