-
Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel
May 10, 2026 07:43Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani ongezeko la uhalifu na ukiukwaji wa haki za wafungwa wanawake wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel, ikisema kwamba mateso ya kimwili na kisaikolojia ni uhalifu wa kivita.
-
Majibu ya Khalil al-Hayyah kwa mauaji ya mwanawe: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano
May 09, 2026 08:06Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya harakati ya Hamas huko Gaza, amethibitisha kuuawa shahidi mwanawe, Azzam na rafiki yake, akisisitiza kuwa: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano kwenye meza ya mazungumzo kwa kulenga na kuua familia zetu.
-
Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita
May 07, 2026 11:21Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoongezeka ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya usitishaji vita na sheria za kimataifa.
-
Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel
May 05, 2026 11:37Shirikisho la Soka la Palestina limechapisha ripoti kuhusu mauaji ya wachezaji wa mpira wa miguu na uharibifu wa miundombinu ya soka uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ripoti: Ukatili uliopangwa wa walowezi wa Israel dhidi ya Wakristo umefikia kiwango cha juu
May 03, 2026 10:19Ukatili uliopangwa unaofanywa na walowezi Waisraeli dhidi ya Wakristo na jamii zisizo za Kiyahudi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu umeongezeka kwa kiasi kikubwa.
-
IRGC: Utekaji wa wanaharakati wa msafara wa misaada Gaza ni ‘ugaidi wa kimataifa’
May 03, 2026 10:23Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Iran amelaani vikali hatua ya vikosi vya jeshi la utawala haramu wa Israel kuzuia kwa nguvu meli za Msafara wa Global Sumud zilizokuwa zikipeleka misaada ya kibinadamu Gaza.
-
Shambulio la Utawala wa Kizayuni Dhidi ya Msafara wa Meli wa Sumud; Mijibizo, Jumbe na Matokeo Yake
May 02, 2026 17:01Wanajeshi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameushambulia msafara wa Sumud wa meli za kimataifa na kuzuia kupelekwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwajibishwe kwa kukamata meli za Samood Frotila
May 02, 2026 07:31Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, ametoa wito kwa Ulaya kuchukua hatua za haraka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuzuia na kukamata meli za misaada ya kibinadamu zinazojulikana kama Samood Flotilla zilizokuwa zikielekea Ukanda wa Gaza huko Palestina kwa ajili ya kuvunja mzingio wa kikatili wa utawala huo.
-
Israel imepeleka Ghaza maboksi yenye mafuvu na miili iliyonyofolewa ya wanawake Wapalestina
Feb 24, 2026 07:45Mbunge wa kujitegemea, ambaye pia ni kiongozi wa zamani wa chama cha Leba nchini Uingereza Jeremy Corbyn, ametoa simulizi za kutisha zilizotokana na maelezo ya mkurugenzi wa Hospitali ya Al-Shifa katika Ukanda wa Ghaza uliozingirwa, zinazobainisha kwa undani jinsi utawala wa kizayuni wa Israel ulivyopeleka katika eneo hilo masanduku kadhaa yenye mafuvu ya vichwa na mabaki ya Wapalestina yaliyokatwakatwa.
-
Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa
Feb 21, 2026 07:37Licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa, makumi ya maelfu ya Wapalestina jana usiku walihudhuria katika msikiti huo mtukufu kusali Sala za I'sha na Tarawehe wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.