Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran yaipongeza Yemen kwa kuwaunga mkono Wapalestina

    Iran yaipongeza Yemen kwa kuwaunga mkono Wapalestina

    Nov 30, 2023 23:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza na kusifu uungaji mkono wa Yemen kwa taifa la Palestina, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni umeshadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Nov 30, 2023 22:59

    Gazeti la Washington Post la Marekani limetahadharisha kuhusu mienendo ya chama tawala nchini India na jinsi kinavyotumia vibaya vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni 'mashetani'.

  • Israel yaendelea kumwaga damu za watoto wadogo Jenin

    Israel yaendelea kumwaga damu za watoto wadogo Jenin

    Nov 30, 2023 00:24

    Watoto wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin, kaskazini ya eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Iran: Wapalestina wataamua hatima yao wenyewe

    Iran: Wapalestina wataamua hatima yao wenyewe

    Nov 27, 2023 07:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema taifa la Palestina halitaruhusu ama utawala wa Kizayuni au Marekani kufikia malengo yao haramu, na kusisitiza kuwa hatima ya Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.

  • Jihad Islami: Israel imeshindwa kuusambaratisha muqawama

    Jihad Islami: Israel imeshindwa kuusambaratisha muqawama

    Nov 27, 2023 07:14

    Mjumbe wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina mjini Tehran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel haujafikia hata moja ya malengo yake ya kuanzisha mashambulizi ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, hasa azma ya utawala huo ya kuusambaratisha mrengo wa muqawama.

  • Israel yaua shahidi Wapalestina 4 Jenin, Ukingo wa Magharibi

    Israel yaua shahidi Wapalestina 4 Jenin, Ukingo wa Magharibi

    Nov 25, 2023 23:47

    Vijana wanne wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin, kaskazini ya eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Afrika Kusini yataka Israel itambulishwe kama

    Afrika Kusini yataka Israel itambulishwe kama "utawala wa kibaguzi"

    Nov 25, 2023 01:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ametangaza kwamba nchi hiyo inaendeleza juhudi katika mashirika na jumuiya za kimataifa za kuutambulisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni "utawala wa kibaguzi".

  • Raisi: Israel haijaambulia chochote katika vita vyake Gaza

    Raisi: Israel haijaambulia chochote katika vita vyake Gaza

    Nov 23, 2023 04:05

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Israel imefeli kufikia malengo yake yote katika hujuma na mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Afrika Kusini yataka amani ya kudumu na endelevu Palestina

    Afrika Kusini yataka amani ya kudumu na endelevu Palestina

    Nov 23, 2023 04:05

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini sanjari na kupongeza usitishaji vita wa muda kwa misingi ya ubinadamu huko Gaza, ametoa mwito wa kufanyika jitihada zaidi za kutafuta amani ya kudumu na endelevu katika mgogoro wa miongo kadhaa baina ya Palestina na utawala haramu wa Israel.

  • BRICS, kwa ombi la Iran, kufanya mkutano wa dharura kujadili Gaza

    BRICS, kwa ombi la Iran, kufanya mkutano wa dharura kujadili Gaza

    Nov 20, 2023 23:46

    Kufuatia pendekezo la Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kundi la BRICS linatazamiwa kufanya mkutano wa dharura kujadili vita vya uvamizi vya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS