Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Holocaust halisi ya karne ya 21 yafanyika Palestina

    Holocaust halisi ya karne ya 21 yafanyika Palestina

    Nov 20, 2023 04:18

    Mwakilishi wa harakati ya wanaqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas nchini Iran amesisitiza kuwa holocaust ya kweli ya karne ya 21 inajiri huko Palestina.

  • Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Nov 18, 2023 00:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitaki vita vya Gaza vipanuke, lakini yumkini vitasambaa zaidi katika maeneo mengine kwa kuwa Marekani inachochea mgogoro huo kwa kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • WSJ: Rais Biden anakabiliwa na uasi ndani ya serikali kwa sababu ya himaya yake kwa Israel

    WSJ: Rais Biden anakabiliwa na uasi ndani ya serikali kwa sababu ya himaya yake kwa Israel

    Nov 16, 2023 10:01

    Jarida la Wall Street Journal limeripoti kuwa Rais wa Marekani, Joe Biden, anakabiliwa na uasi kutoka kwa baadhi ya taasisi za serikali yake zinazopinga uungaji mkono wake kwa Israel katika vita vyake dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

  • Wake wa wakuu wa nchi watoa wito wa kusitishwa uhalifu wa Israel huko Gaza

    Wake wa wakuu wa nchi watoa wito wa kusitishwa uhalifu wa Israel huko Gaza

    Nov 16, 2023 07:49

    Wake wa wakuu wa nchi na serikali wamelaani mashambulizi ya utawala haramu wa Israel yanayolenga raia, haswa watoto na wanawake, katika vita vya Gaza. Tamko la wake wa maraisi na viongozi wa nchi mbalimbali duniani limetolewa katika mkutano ulioandaliwa na Emine Erdoğan, mke wa Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, huko Istanbul jana, Jumatano.

  • Belize yasimamisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Belize yasimamisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Nov 16, 2023 02:59

    Serikali ya Belize imetangaza kusimamisha uhusiano wake wa kidiplomasia na Israel kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukataa kusitisha vita; huku idadi ya mashahidi wa mashambulizi ya utawala huo pandikizi huko Gaza tokea Oktoba 7 hadi sasa ikikaribia watu 12,000.

  • Iran: Marekani inaipa Israel silaha zilizopigwa marufuku kimataifa

    Iran: Marekani inaipa Israel silaha zilizopigwa marufuku kimataifa

    Nov 16, 2023 00:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kuipa Israel silaha zilizoharamishwa kimataifa kama vile mabomu ya fosforasi ili utawala huo wa Kizayuni utumie silaha hizo dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais Erdogan wa Uturuki: Israel ni dola la kigaidi

    Rais Erdogan wa Uturuki: Israel ni dola la kigaidi

    Nov 16, 2023 00:45

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema Israel ni 'dola la kigaidi' ambalo linafanya jinai za kivita na kukanyaga sheria za kimataifa katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Abdollahian: Hakuna uwezekano wa Israel kushinda vita vya Gaza

    Abdollahian: Hakuna uwezekano wa Israel kushinda vita vya Gaza

    Nov 15, 2023 10:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mwito wa kusitishwa mara moja uvamizi na mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna nafasi na uwezo wa kupata ushindi katika vita hivyo.

  • "Mauaji ya halaiki ya watu wa Gaza yanakanyaga sheria za kimataifa"

    Nov 13, 2023 23:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran sajari na kulaani mauaji ya halaiki ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza amesisitiza kuwa, jinai zinazofanywa na Wazayuni katika eneo hilo lililozingira ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Amnesty International yalaani kimya cha Wamagharibi kwa jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Amnesty International yalaani kimya cha Wamagharibi kwa jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Nov 12, 2023 23:23

    Katibu Mkuu wa Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International amelaani kimya cha nchi za Magharibi kuhusiana na jinai na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS