Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Ujumbe wa HAMAS waonana na Rais wa Syria mara ya kwanza baada ya miaka 10

    Ujumbe wa HAMAS waonana na Rais wa Syria mara ya kwanza baada ya miaka 10

    Oct 19, 2022 21:15

    Duru za Syria zimetangaza habari ya kukutana ujumbe mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.

  • Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Oct 18, 2022 04:07

    Serikali ya Australia imetangaza habari ya kubatilisha uamuzi wake tata wa kulitambua eneo la magharibi mwa Quds linalokaliwa kwa mabavu, eti kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Wasudani wapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Wasudani wapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Oct 17, 2022 07:30

    Katika kikao kinachofanyika mjini Khartoum kuhusu suala la Palestina, makundi ya Kiislamu ya Sudan yametahadharisha kuhusu hatua ya Waarabu ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sababu za kushtadi ukatili na ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Sababu za kushtadi ukatili na ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Oct 16, 2022 06:45

    Tangu Jumamosi ya tarehe 8 Oktoba, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeshadidisha tena ukatili na ukandamizaji dhidi ya Wapalestina.

  • Wazayuni watiwa kiwewe na kundi la muqawama wa

    Wazayuni watiwa kiwewe na kundi la muqawama wa "Arin al Usud" la Ukingo wa Magharibi

    Oct 15, 2022 07:52

    Kundi jipya la muqawama wa Palestina la 'Arin al Usud (Pango la Simba) limeutia kiwewe kiwewe utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wajordan waandamana kuwaunga mkono Wapalestina waliozingirwa katika kambi ya Shuafat

    Wajordan waandamana kuwaunga mkono Wapalestina waliozingirwa katika kambi ya Shuafat

    Oct 15, 2022 04:21

    Mamia ya wananchi wa Jordan wameandamana wakiunga mkono muqawama na mapambano ya wananchi wa Palestina na kulaaniwa kuzingirwa Wapalestina katika kambi ya wakimbizi ya Shuafat huko Quds Palestina inayokaliwa kwa mabavu

  • Makundi ya Palestina yaandaa hati ya maridhiano katika mkutano wao wa Algeria

    Makundi ya Palestina yaandaa hati ya maridhiano katika mkutano wao wa Algeria

    Oct 13, 2022 04:36

    Makundi ya Wapalestina yameandaa hati ya maridhiano mwishoni mwa mkutano wao wa siku mbili uliofanyika nchini Algeria.

  • Israel yapuuza azimio la UN la kusitisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Israel yapuuza azimio la UN la kusitisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Sep 29, 2022 08:36

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya Kati amesema Israel inaendelea kupuuza azimio la mwaka 2016 la Baraza la Usalama la UN, linaloutaka utawala huo wa Kizayuni usitishe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Hamas: Kuendelea kuhujumiwa al-Aqsa 'kutalipua' Asia Magharibi

    Hamas: Kuendelea kuhujumiwa al-Aqsa 'kutalipua' Asia Magharibi

    Sep 28, 2022 04:42

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani vikali hujuma na uvamizi unaoendelea wa wanajeshi wa Kizayuni na walowezi wa Kiyahudi dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • HAMAS: Israel inatumia vibaya udhaifu wa ulimwengu wa Kiarabu kudhibiti Masjidul-Aqswa

    HAMAS: Israel inatumia vibaya udhaifu wa ulimwengu wa Kiarabu kudhibiti Masjidul-Aqswa

    Sep 27, 2022 04:42

    Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Beitul-Muqaddas na msikiti mtakatidu wa al-Aqswa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS