-
HAMAS: Taifa la Palestina litapata ushindi katika vita vyake na utawala haramu wa Israel
Sep 27, 2022 01:15Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, taifa la Palestina ndilo litakaloibuka na ushindi katika vita na utawala ghasibu wa israel.
-
Al Shimi: Nembo ya muqawama wa Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa
Sep 27, 2022 01:04Wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni wamemshambulia na kumvamia Abubakar al Shimi mzee mwenyeji wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu aliye na umri wa miaka 65 ambaye alikuwa na lengo la kuingia katika Msikiti mtukufu wa al Aqsa.
-
Amir-Abdollahian: Mwarubaini wa uvamizi Palestina ni kuitishwa kura ya maoni
Sep 25, 2022 06:33Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, tatizo la uvamizi na mzozo mkongwe katika Asia Magharibi litatuliwa kwa kutekelezwa ubunifu wa kidemokrasia wa Iran na kuitishwa kura ya maoni huko Palestina.
-
Algeria: Tuko pamoja na Wapalestina na kamwe hatutoruhusu ardhi zao zikoloniwe na wageni
Sep 25, 2022 03:18Rais wa Algeria amesema kuwa, hakuna mtu yeyote nchini humo asiyeliunga mkono taifa la Palestina na kusisitiza kuwa, Algiers kamwe haitoruhusu ardhi za Palestina zikoloniwe na wageni.
-
Wazayuni 8 wajeruhiwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Wapalestina mjini Ramallah
Sep 23, 2022 04:21Vyombo vya habari vya Kiarabu jana usiku vilitangaza habari ya kutekelezwa oparesheni ya kufa shahidi dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni huko Ramallah.
-
Malalamiko ya Wapalestina dhidi ya kuyahudisha mfumo wa elimu wa Quds
Sep 20, 2022 21:42Skuli za Palestina katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu zimeanzisha mgomo jumuishi kwa ajili ya kulalamikia sera za elimu za utawala ghasibu wa Israel pamoja na mpango mchafu wa utawala huo wa kuziyahudisha shule za Kipalestina.
-
Algeria yazialika harakati za Hamas na Fat'h kushiriki mazungumzo na maelewano
Sep 18, 2022 22:08Algeria imetangaza kuwa, imewaalika viongozi Wapalestina wa harakati za Hamas na Fat'h kushiriki katika mazungumzo ya maelewano ya kitaifa mjini Algiers.
-
Askofu wa Othodoksi Palestina: Kupita kwa muda hakutafanya jinai za maghasibu wa Baitul Muqaddas zisahaulike
Sep 17, 2022 03:00Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi mjini Baitul Muqaddas (Jerusalem) amesema: Palestina haitafunga mikono na kusimama kizembe katika kukabiliana na upendeleaji unaofanywa na Magharibi kwa utawala ghasibu wa Kizayuni pamoja na sera na jinai zake.
-
Pigo jingine kwa Israel, Rais wa Chile akataa kumpokea balozi mpya wa utawala wa Kizayuni
Sep 16, 2022 20:54Rais wa Chile amekataa kupokea vitambulisho vya balozi mpya wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo, ikiwa ni kutangaza waziwazi uungaji mkono wake kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Wapalestina 2 wauawa shahidi, Mzayuni aangamizwa Ukingo wa Magharibi
Sep 14, 2022 03:22Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi vijana wawili wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.