-
Trump aendelea kumdhihaki Biden, sasa ataka apimwe madawa ya kulevya
Aug 27, 2020 11:21Rais wa Marekani ameendelea kumkejeli mshindani wake mkuu wa chama cha Democrat katika uchaguzi ujao wa rais kwa kutaka afanyiwe vipimo vya madawa ya kulevya kabla ya kufanyika midahalo baina yao ya kampeni za uchaguzi.
-
Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya
Apr 22, 2016 15:23Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo ameidhinisha sheria zitakatambua pufya au doping kuwa kosa la jinai.