-
Rais wa Russia aliamuru jeshi lisitishe mashambulizi dhidi ya Ukraine kwa muda wa siku tatu
Sep 05, 2026 13:45Rais Vladimir Putin wa Russia ameamuru kusitishwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Ukraine kwa muda wa siku tatu kabla ya mazungumzo na wapatanishi wakuu wa Marekani Steve Witkoff na Jared Kushner, ambao waliwasili mjini Moscow mapema leo Jumamosi.
-
Putin: Washirika wa Ukraine ni washirika wa ugaidi wa kimataifa
Sep 04, 2026 03:16Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, kurejeshwa uhusiano wa nchi yake na Marekani kunategemea misimamo ya Washington na kusisitiza kwamba: Madola ya Magharibi yanayoshirikiana na Ukraine ni washirika wa ugaidi wa kimataifa.
-
Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili
May 20, 2026 02:57Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.
-
Putin: Ukraine na washirika wake wamegeukia kwenye ugaidi
Apr 29, 2026 09:54Rais wa Russia amesema: Vikosi vya jeshi la Ukraine na washirika wake haviwezi kuzuia kusonga mbele kwa jeshi la nchi hii na vinapoteza maeneo zaidi kila siku, kwa hivyo vinageukia ugaidi.
-
Axios: Mazungumzo ya ana kwa ana kati ya Putin na Zelensky 'yako karibu sana' kufanyika
Jan 26, 2026 00:19Tovuti ya habari ya Axios imeripoti kuwa Rais wa Russia Vladimir Putin na mwenzake wa Ukraine Vladimir Zelensky wanaweza kukutana kwa mazungumzo ya ana kwa ana muda si mrefu ujao ikiwa mazungumzo yanayoendelea kati ya nchi zao na Marekani yataendelea kufanyika.
-
Russia yalaani 'ndoto ya kuchukiza' ya Uingereza ya kutaka kumteka nyara Putin
Jan 12, 2026 02:31Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, amemkejeli Waziri wa Ulinzi wa Uingereza kwa kusema kwamba angependelea kumteka nyara Rais wa Russia Vladimir Putin.
-
Putin atangaza kumuunga mkono Maduro licha ya US kushadidisha vitisho dhidi ya Venezuela
Dec 12, 2025 06:41Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, anamuunga mkono Rais wa Venezuela Nicolas Maduro wakati huu ambapo Marekani imejizatiti kijeshi katika eneo la Carribean huku ikishadidisha vitisho dhidi ya Venezuela.
-
Putin aonya: Kuipatia Ukraine makombora ya Tomahawk kutavuruga uhusiano wa Russia na Marekani
Oct 05, 2025 22:52Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ikiwa Marekani itaipatia Ukraine makombora aina ya Tomahawk ili kufanyia mashambulio ya masafa marefu ndani ya Russia, hatua hiyo itapelekea kuvurugika husiano wa Moscow na Washington.
-
Putin: Russia ina umuhimu mkubwa sana kwa nidhamu ya kimataifa, njama za kuitenga zimefeli
Oct 03, 2025 23:04Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, mizani ya usawa wa kimataifa haiwezi kujengwa bila ya nchi yake na akaongeza kuwa majaribio ya kuitenga Russia katika miaka ya hivi karibuni yamefeli.
-
Zelensky adai: Trump amempa Putin kile alichokitaka Alaska
Sep 08, 2025 04:01Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amedai kuwa Rais Donald Trump wa marekani amempatia Rais wa Russia Vladimir Putin kile alichokitaka katika mkutano wa mwezi uliopita huko Alaska.