-
Putin aonya: Kuipatia Ukraine makombora ya Tomahawk kutavuruga uhusiano wa Russia na Marekani
Oct 06, 2025 02:22Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ikiwa Marekani itaipatia Ukraine makombora aina ya Tomahawk ili kufanyia mashambulio ya masafa marefu ndani ya Russia, hatua hiyo itapelekea kuvurugika husiano wa Moscow na Washington.
-
Putin: Russia ina umuhimu mkubwa sana kwa nidhamu ya kimataifa, njama za kuitenga zimefeli
Oct 04, 2025 02:34Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, mizani ya usawa wa kimataifa haiwezi kujengwa bila ya nchi yake na akaongeza kuwa majaribio ya kuitenga Russia katika miaka ya hivi karibuni yamefeli.
-
Zelensky adai: Trump amempa Putin kile alichokitaka Alaska
Sep 08, 2025 07:31Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amedai kuwa Rais Donald Trump wa marekani amempatia Rais wa Russia Vladimir Putin kile alichokitaka katika mkutano wa mwezi uliopita huko Alaska.
-
Rais Putin: Watu wa Magharibi hawaielewi Russia
Mar 28, 2025 02:27Rais Vladimir Putin amesema baadhi ya watu katika nchi za Magharibi hawaielewi Russia, lakini amesisitiza kuwa ukweli huo hauwezi kutatiza hata kidogo ustawi na maendeleo ya nchi hiyo.
-
India: BRICS haina msimamo wa pamoja kuhusu suala la kuachana na sarafu ya dola ya Marekani
Mar 07, 2025 06:43Waziri wa Mambo ya Nje wa India Subrahmanyam Jaishankar amesema, dhana ya kwamba kundi la mataifa ya BRICS linafanya juu chini kukabiliana na sarafu ya dola ya Marekani "haijathibitishwa na ukweli" na akaongeza kuwa, India hasa kwa upande wake "haina nia hata kidogo ya kuidhoofisha sarafu hiyo.
-
Erdogan: Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika eneo kudhamini usalama wa Israel
Oct 26, 2024 03:02Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika Mashariki ya Kati kwa ajili ya kudhamnini usalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Putin: Sababu kuu kabisa ya mvutano Asia Magharibi ni kutokuwepo taifa huru la Palestina
Oct 25, 2024 07:32Rais Vladimir Pitin wa Russia ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuzorota hali ya mambo katika eneo la Asia Magharibi, na kusema kuwa, sababu kuu ya mgogoro wa eneo hilo ni kutokuwepo taifa huru la Palestina.
-
Putin: Huenda BRICS ikaunda Bunge lake katika siku zijazo
Jul 12, 2024 03:04Rais Vladimir Putin amedokeza kuwa, yumkini kundi la BRICS la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani likaunda Bunge lake katika mustakabali wa karibu.
-
Putin asifu uhusiano unaokua kwa kasi kati ya Russia na Uturuki
Jul 04, 2024 02:25Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa uhusiano kati ya nchi yake na Uturuki unakuwa kwa kasi licha ya changamoto zilizopo za kimataifa.
-
Putin: Kwa sasa hakuna mpango wa kuuteka mji wa Kharkiv huko Ukraine
May 18, 2024 03:58Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa operesheni za mapigano katika eneo la Kharkiv nchini Ukraine zinalenga kuanzisha "ukanda salama" utakaozuia mashambulizi Ukraine kufika katika ardhi ya Russia.