Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin aonya: Kuipatia Ukraine makombora ya Tomahawk kutavuruga uhusiano wa Russia na Marekani

    Putin aonya: Kuipatia Ukraine makombora ya Tomahawk kutavuruga uhusiano wa Russia na Marekani

    Oct 06, 2025 02:22

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ikiwa Marekani itaipatia Ukraine makombora aina ya Tomahawk ili kufanyia mashambulio ya masafa marefu ndani ya Russia, hatua hiyo itapelekea kuvurugika husiano wa Moscow na Washington.

  • Putin: Russia ina umuhimu mkubwa sana kwa nidhamu ya kimataifa, njama za kuitenga zimefeli

    Putin: Russia ina umuhimu mkubwa sana kwa nidhamu ya kimataifa, njama za kuitenga zimefeli

    Oct 04, 2025 02:34

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, mizani ya usawa wa kimataifa haiwezi kujengwa bila ya nchi yake na akaongeza kuwa majaribio ya kuitenga Russia katika miaka ya hivi karibuni yamefeli.

  • Zelensky adai: Trump amempa Putin kile alichokitaka Alaska

    Zelensky adai: Trump amempa Putin kile alichokitaka Alaska

    Sep 08, 2025 07:31

    Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amedai kuwa Rais Donald Trump wa marekani amempatia Rais wa Russia Vladimir Putin kile alichokitaka katika mkutano wa mwezi uliopita huko Alaska.

  • Rais Putin: Watu wa Magharibi hawaielewi Russia

    Rais Putin: Watu wa Magharibi hawaielewi Russia

    Mar 28, 2025 02:27

    Rais Vladimir Putin amesema baadhi ya watu katika nchi za Magharibi hawaielewi Russia, lakini amesisitiza kuwa ukweli huo hauwezi kutatiza hata kidogo ustawi na maendeleo ya nchi hiyo.

  • India: BRICS haina msimamo wa pamoja kuhusu suala la kuachana na sarafu ya dola ya Marekani

    India: BRICS haina msimamo wa pamoja kuhusu suala la kuachana na sarafu ya dola ya Marekani

    Mar 07, 2025 06:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa India Subrahmanyam Jaishankar amesema, dhana ya kwamba kundi la mataifa ya BRICS linafanya juu chini kukabiliana na sarafu ya dola ya Marekani "haijathibitishwa na ukweli" na akaongeza kuwa, India hasa kwa upande wake "haina nia hata kidogo ya kuidhoofisha sarafu hiyo.

  • Erdogan: Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika eneo kudhamini usalama wa Israel

    Erdogan: Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika eneo kudhamini usalama wa Israel

    Oct 26, 2024 03:02

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika Mashariki ya Kati kwa ajili ya kudhamnini usalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Putin: Sababu kuu kabisa  ya mvutano Asia Magharibi ni kutokuwepo taifa huru la Palestina

    Putin: Sababu kuu kabisa ya mvutano Asia Magharibi ni kutokuwepo taifa huru la Palestina

    Oct 25, 2024 07:32

    Rais Vladimir Pitin wa Russia ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuzorota hali ya mambo katika eneo la Asia Magharibi, na kusema kuwa, sababu kuu ya mgogoro wa eneo hilo ni kutokuwepo taifa huru la Palestina.

  • Putin: Huenda BRICS ikaunda Bunge lake katika siku zijazo

    Putin: Huenda BRICS ikaunda Bunge lake katika siku zijazo

    Jul 12, 2024 03:04

    Rais Vladimir Putin amedokeza kuwa, yumkini kundi la BRICS la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani likaunda Bunge lake katika mustakabali wa karibu.

  • Putin asifu uhusiano unaokua kwa kasi kati ya Russia na Uturuki

    Putin asifu uhusiano unaokua kwa kasi kati ya Russia na Uturuki

    Jul 04, 2024 02:25

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa uhusiano kati ya nchi yake na Uturuki unakuwa kwa kasi licha ya changamoto zilizopo za kimataifa.

  • Putin: Kwa sasa hakuna mpango wa kuuteka mji wa Kharkiv huko Ukraine

    Putin: Kwa sasa hakuna mpango wa kuuteka mji wa Kharkiv huko Ukraine

    May 18, 2024 03:58

    Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa operesheni za mapigano katika eneo la Kharkiv nchini Ukraine zinalenga kuanzisha "ukanda salama" utakaozuia mashambulizi Ukraine kufika katika ardhi ya Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS