Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qassem Soleimani

  • Ammar Hakim: Kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa muqawama halisameheki

    Ammar Hakim: Kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa muqawama halisameheki

    Jan 04, 2023 07:34

    Sayyid Ammar Hakim, Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq amesema kuwa, kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa ushindi wa muqawama halisameheki.

  • Mkuu wa Muungano wa al-Fat-h: Wairaqi wana deni kubwa kwa Kamanda Qasem Soleimani

    Mkuu wa Muungano wa al-Fat-h: Wairaqi wana deni kubwa kwa Kamanda Qasem Soleimani

    Dec 28, 2021 02:45

    Mkuu wa Muungano wa kisiasa wa al Fat-h nchini Iraq amesema, Wairaqi wana deni kubwa kwa Shahidi Qasem Soleimani na Shahidi Abu Mahdi al Muhandis.

  • Wairaq wafurahishwa na waranti wa kusakwa Trump ili akajibu mashtaka ya mauaji

    Wairaq wafurahishwa na waranti wa kusakwa Trump ili akajibu mashtaka ya mauaji

    Jan 08, 2021 07:04

    Katibu Mkuu wa "Kataib al Shuhada" ya Iraq ameipongeza idara ya mahakama ya nchi hiyo kwa kutoa waranti wa kutiwa mbaroni rais wa Marekani, Donald Trump ili akajibu mashtaka ya kuwaua kidhulma kamanda Qassem Soleimani na Abou Mahdi al Muhandis ndani ya ardhi ya Iraq.

  • Mshauri wa Rais wa Syria: Qassem Suleimani alikuwa kamanda wa nyoyo na mpamabanaji wa njia ya ukombozi

    Mshauri wa Rais wa Syria: Qassem Suleimani alikuwa kamanda wa nyoyo na mpamabanaji wa njia ya ukombozi

    Jan 08, 2021 02:42

    Mshauri maalumu wa Rais Bashar al Assad wa Syria amesema, shahidi Qassem Suleimani alikuwa mpigania uadilifu kwa ajili ya wanadamu na mpambanaji wa njia ya ukombozi.

  • Binti wa shahidi Qassem Suleimani atuma salamu maalum kwa wananchi wa Palestina

    Binti wa shahidi Qassem Suleimani atuma salamu maalum kwa wananchi wa Palestina

    Jan 05, 2021 07:43

    Zainab Suleimani, binti wa shahidi Qassem Suleimani ametuma salamu maalum kwa wananchi wa Palestina kwa mnasaba wa maadhimisho maalum yaliyofanyika katika Ukanda wa Gaza kwa anuani ya "Shahidi wa Quds" katika mwaka wa kwanza wa kumbukumbu ya kuuawa shahidi kamanda huyo wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC.

  • Nouri al-Maliki: Qassem Suleimani alifelisha njama za kubadilisha utambulisho wa eneo

    Nouri al-Maliki: Qassem Suleimani alifelisha njama za kubadilisha utambulisho wa eneo

    Dec 26, 2020 02:45

    Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq Nouri Al-Maliki amesema, kwa mapambano, uvumlivu mkubwa na jihadi yake, shahid Qassem Suleimani aliweza kufelisha na kuzima njama nyingi za maadui za kutaka kubadilisha utambulisho wa eneo la Asia Magharibi.

  • Hizbullah: Shahidi Suleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya njama za ubeberu wa Marekani

    Hizbullah: Shahidi Suleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya njama za ubeberu wa Marekani

    Dec 22, 2020 07:34

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, shahidi Qassem Suleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya mipango kiistikbari ya Marekani na ndio maana ameuliwa kigaidi na adui.

  • 'Trump ni gaidi nambari moja duniani'

    'Trump ni gaidi nambari moja duniani'

    Nov 01, 2020 02:48

    Mshauri wa sera za kigeni wa Spika wa Bunge la Iran ameashiria mauaji ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ambaye aliuawa kigaidi kufuatia amri ya Rais Donald Trump wa Marekani na kusema, Trump ni gaidi nambari moja duniani.

  • Haniya: Shahidi Soleimani alikuwa na nafasi ya

    Haniya: Shahidi Soleimani alikuwa na nafasi ya "msingi" katika kuiunga mkono Palestina

    Mar 05, 2020 03:42

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema, Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) aliyeuliwa shahidi alikuwa na nafasi muhimu na ya msingi katika kuunga mkono muqawama.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Kukabiliana na Marekani ni lazima kuwe kwa pande zote na kuhusishe sekta zote

    Sayyid Hassan Nasrullah: Kukabiliana na Marekani ni lazima kuwe kwa pande zote na kuhusishe sekta zote

    Feb 16, 2020 16:06

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani ni muhusika wa vita vyote eneo la Asia Magharibi na amesisitiza kuwa, ni lazima kuendesha muqawama katika pande zote kukabiliana na utawala huo wa kibeberu wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS