-
Mwenendo wa kuongezeka hitalafu za ndani katika nchi za Kiarabu, kushindwa Saudi Arabia
Jun 07, 2019 21:45Mvutano unaoendelea kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Bahrain, Imarati na Misri, ambao ulianza tarehe 5 Juni mwaka 2017, uliingia rasmi katika mwaka wake wa tatu hapo tarehe 5 mwezi Juni mwaka huu, katika hali ambayo hakuna dalili zozote zinazoonyesha kwamba mvutano huo utamalizika hivi karibuni.
-
Siasa za pamoja za Iran na Qatar; uimarishaji wa usalama wa eneo
Jun 06, 2019 04:01Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba Iran inataka kuimarisha usalama wa eneo zima la Asia Magharibi na kwamba haina nia ya kuanzisha mapigano na nchi yoyote ile. Hata hivyo ameongeza kuwa iwapo Iran itashambuliwa na nchi yoyote katika eneo basi nchi hiyo itapata jibu la kuifanya ijute ni kwa nini ilianzisha mashambulizi.
-
Rouhani: Iran inafanya juhudi za kuimarisha usalama wa Asia Magharibi
Jun 05, 2019 07:12Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inafanya juhudi za kuimarisha usalama katika eneo la Asia Magharibi na haina hamu wala nia yoyote ya kuingia vitani na nchi nyingine.
-
Nukta nne muhimu za kushindwa vikao vya Makka
Jun 05, 2019 07:58Katika hali ambayo siku nne zimepita tokea kufanyika vikao vya Makka lakini bado matokeo mabaya na hata yaliyo kinyume na matarajio ya waandaaji wa vikao hivyo yangali yanaendelea kuakisiwa kieneo na kimataifa.
-
Vikao vya Makka; 'hapana' ya Qatar kwa siasa za mifarakano za Wasaudi
Jun 04, 2019 23:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kwamba taarifa zilizotolewa mwishoni mwa vikao viwili vya viongozi wa Baraza la Ghuba ya Uajemi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) huko katika mji mtakatifu wa Makka haziungwi mkono na serikali ya Doha.
-
Qatar: Kuuvamia Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani
Jun 04, 2019 01:57Qatar imelaani jinai ya mamia ya walowezi wa Kizayuni ya kuuvamia Msikiti wa al Aqsa na kuwajeruhi Waislamu kadhaa waliokuwa wanasali msikitini humo kwa kushirikiana na wanajeshi katili wa Israel.
-
Qatar yakosoa taarifa ya Makka dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jun 03, 2019 01:47Qatar imesema haiungi mkono taarifa dhidi ya Iran zilizotolewa katika vikao vya nchi za Kiarabu na Kiislamu katika mji wa Makka nchini Saudi Arabia hivi karibuni.
-
Amir wa Qatar hatoshiriki kikao cha Makka
May 30, 2019 03:47Amir wa Qatar amekataa ombi la mfalme wa Saudi Arabia la kufanya safari katika mji wa Makka na badala yake amemtuma Waziri wake Mkuu kumwakilisha huko Saudia.
-
Qatar: Amani ya Palestina sharti ijumuishe suluhu inayokubaliwa na Wapalestina
May 25, 2019 05:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar sambamba na kukosoa mpango wa kufanyika mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain, imesema matakwa ya wananchi wa Palestina lazima yajumuishe kwenye mipango yoyote ya amani na maendeleo inayowahusu.
-
Amir wa Qatar: Tutaendelea kuliunga mkono taifa madhulumu la Palstina
May 12, 2019 08:27Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amesema kuwa, msimamo wa Doha wa kuunga mkono na kutetea haki za taifa madhulumu la Palestina ni thabiti na usiotetereka.