-
Bara la Afrika ni medani ya duru mpya ya malumbano baina ya Qatar na kundi la Kiarabu la 3+1
Mar 15, 2018 03:46Ushahidi unaonyesha kuwa, bara la Afrika sasa limegeuka na kuwa medani mpya ya mashindano ya kuwania ushawishi katika mgogoro unaonedelea kutokota baina ya Qatar na madola ya Kiarabu ya 3+1.
-
Kurejea tena uhusiano wa Qatar na Jordan; ishara ya kuendelea kufeli Saudi Arabia Mashariki ya Kati
Mar 13, 2018 23:13Baada ya kupita miezi tisa ya kukata uhusiano na Qatar, serikali ya Jordan imechukua hatua za kuanzisha tena uhusiano wake na Doha baada ya kuhuisha tena ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji vitega uchumi na nchi hiyo.
-
Sudan: Tuko tayari kupanua ushirikiano wetu na nchi ya Qatar
Mar 12, 2018 03:52Ibrahim Ghandour, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Sudan amesema kuwa, nchi yake iko tayari kustawisha ushirikiano wake na nchi ya Qatar.
-
Vita vipya vya maneno kati ya Saudi Arabia na Qatar
Mar 10, 2018 04:34Vita vya maneno baina ya viongozi wa Qatar na Saudi Arabia kwa mara nyingine tena vimeshika kasi na kugonga vichwa vya habari.
-
Marekani kuwekeana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati; Doha yaishtaki Abu Dhabi kwa UN
Mar 09, 2018 00:25Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani jana (Alkhamisi) ilisema kuwa karibuni hivi nchi hiyo itatiliana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati ambayo itakuwa na thamani ya dola milioni 467.
-
Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar
Mar 05, 2018 22:57Kanali ya televisheni ya Aljazeera ya Qatar imeonyesha filamu ya matukio (documentary film) iitwayo "Qatar 96" inayothibitisha kuwa Saudi Arabia, Imarati (UAE), Bahrain na Misri zilihusika katika jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 1996 nchini Qatar.
-
Mazungumzo ya Sheikh Tamim na Ismail Hania; kuendelea uungaji mkono wa Qatar kwa Gaza
Feb 09, 2018 22:08Siku ya Alkhamisi, Sheikh Tamim bin Ahmad Aal Thani, Amir wa Qatar alifanya mazungumzo na Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS. Baada ya mazuangumzo hayo, Sheikh Tamim alitoa msaada wa Dola milioni 9 kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Iran ndio njia pekee ya kupitishia dawa na chakula kwa ajili ya Qatar
Feb 02, 2018 04:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Mohammed bin Abdulrahman Al Thani amesema, baada ya nchi yake kuwekewa mzingiro na Saudi Arabia na waitifaki wake, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ndio njia pekee ya kudhaminia dawa na chakula kwa wananchi wa Qatar.
-
UAE iliilipa kampuni ya Marekani kueneza propaganda dhidi ya Qatar
Jan 21, 2018 04:18Shirika la habari la NBC News limefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu uliilipa kampuni moja ya Marekani dola 333,000 ili kueneza propaganda chafu dhidi ya Qatar mwaka jana.
-
Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu
Jan 13, 2018 00:14Licha ya kupita zaidi ya miezi 7 tokea kuanza mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za kundi la 3+1, si tu kwamba hakuna dalili zozote zinazoonyesha kupungua mvutano huo bali umekuwa ukiongezeka siku baada ya nyingine.