-
Wayemen waandamana kupinga kuvunjiwa heshima Qur'an Marekani
Dec 19, 2025 23:08Makumi ya maelfu ya wananchi wa Yemen walimiminika katika barabara na mitaa ya Sa’ada jana Ijumaa kushiriki maandamano ya kulaani kitendo cha kunajisiwa Qur'ani Tukufu nchini Marekani, sanjari na kupaza sauti zao kuiunga mkono Palestina, huku hasira zikiongezeka katika ulimwengu wa Kiislamu kutokana na wimbi la vitendo vya hivi karibuni vilivyo dhidi ya Uislamu na Waislamu.
-
Taathira za kisaikolojia zinazotokana na usomaji wa Qur'ani Tukufu
Mar 21, 2025 12:22Mtaalamu mmoja wa masuala ya kifamilia amesema kuhusu taathira za kusoma Qur'ani Tukufu kwa mtazamo wa saikolojia kuwa: Kusoma maandishi ya Aya za Qur'ani na kuyazingatia kwa kina hutuliza moyo wa msomaji na hivyo kumpa somo la kujifahamu; kwa njia ambayo humfanya apate kutambua vizuri uwezo na udhaifu wake katika mazingira tofauti.
-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)
Mar 12, 2025 05:43Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yafunguliwa Tunisia
Feb 17, 2025 01:04Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yamefunguliwa katika Maktaba ya Kitaifa ya Tunisia, na yataendelea hadi Aprili 30, kwa ushirikiano wa Taasisi ya Urithi wa Kitaifa na Taasisi ya Utafiti wa Kisasa wa Maghreb.
-
Mwanasiasa mwenye chuki dhidi ya Uislamu Denmark avunjia heshima Qur'ani
Feb 02, 2025 07:31Mwanasiasa mwenye uraia pacha wa Sweden na Denmark na mwenye chuki dhidi ya Uislamu, Rasmus Paludan kwa mara nyingine tena ameivunjia heshima Qur'ani Tukufu kwa kuchoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu cha Waislamu katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen.
-
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Yafunguliwa Algeria
Jan 22, 2025 10:03Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Algeria yamefunguliwa huko Algiers, mji mkuu wa Algeria.
-
Sababu za kusalia imara Kambi ya Muqawama: "Imani na kutawakali kwa Mola Muumba"
Oct 31, 2024 06:05Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika Makala ya Wiki ambayo leo inazungumzia kwa ufupi sababu za kuendelea kuimarika Kambi ya Muqawama na mapambano dhidi ya dhulma na Uonevu.
-
CAIR: Israel imetangaza vita dhidi ya Uislamu kwa kuchoma moto Qur'ani
Aug 25, 2024 23:00Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limelaani vikali kitendo cha wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuchoma moto nakali za Qur'ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza.
-
Askofu Mkuu wa Azerbaijan, Iran alaani kuvunjiwa heshima Qurani Sweden
May 06, 2024 03:41Askofu Mkuu wa Kanisa la Armenia katika eneo la Azerbaijan la kaskazini magharibi mwa Iran ameashiria kitendo cha karibuni cha kuchoma moto nakala ya Qur'ani tukufu nchini Sweden na kulaani vitendo hivyo vya kuyavunjia heshima matukufu ya kidini.
-
Rais Raisi ahimiza kutekelezwa kivitendo mafundisho ya Qur'ani Tukufu
Apr 01, 2024 01:07Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuzingatia mafundisho wa Qur'ani Tukufu katika nyuga zote ni jambo la dharura kwa ajili ya mafanikio ya wanadamu ya duniani na Akhera.