Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia na China zaitisha kikao cha Baraza la Usalama la UN dhidi ya Marekani

    Russia na China zaitisha kikao cha Baraza la Usalama la UN dhidi ya Marekani

    Aug 22, 2019 01:05

    Maafisa wa Russia na China wametoa wito wa kufanyika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili mipango ya Marekani ya kustawisha makombora ya masafa ya kati ya kuyapeleka katika baadhi ya maeno ya dunia hususan Asia na Ulaya.

  • Ukosoaji mkali wa Russia na China dhidi ya majaribio ya kombora la Cruise la Marekani

    Ukosoaji mkali wa Russia na China dhidi ya majaribio ya kombora la Cruise la Marekani

    Aug 21, 2019 03:11

    Mwezi uliopita Rais Trump wa Marekani aliendeleza sera yake ya kujiondoa katika makubaliano na mikataba ya kimataifa kwa kuiondoa nchi hiyo katika mkataba wa Slaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF). Hatua hiyo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni utangulizi wa ajenda kubwa zaidi ya serikali ya Washington ya kustawisha na kuzalisha silaha mpya.

  • Russia yasema itajibu mapigo kwa hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora Asia na Ulaya

    Russia yasema itajibu mapigo kwa hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora Asia na Ulaya

    Aug 18, 2019 08:47

    Waziri wa Ulinzi wa Russiia ametahadharisha kwamba, Moscow itajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora katika nchi za Asia na Ulaya.

  • Uchochezi wa mitandao ya kijamii katika nchi zinazopinga sera za Marekani

    Uchochezi wa mitandao ya kijamii katika nchi zinazopinga sera za Marekani

    Aug 13, 2019 03:42

    Katika kipindi chote cha utawala wa Rais Vladmir Putin nchini Russia Wamagharibi wamekuwa wakifanya kila wawezalo kuzusha ghasia na kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo. Nchi za Magharibi hususan Marekani, zimekuwa zikitumia zaidi propaganda chafu na vita vya kinafsi dhidi ya Russia na nchi nyingine zisizokubaliana na sera zao za kibeberu.

  • Jahangiri: Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Jahangiri: Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Aug 13, 2019 02:43

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Eshaq Jahangiri amesema Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la kistratijia la Hormuz na kutumia ukosefu wa usalama kama kisingizo cha kujiimarisha kijeshi katika eneo.

  • Russia yaituhumu Marekani na nchi za Ulaya kuwa zimechochea machafuko Moscow

    Russia yaituhumu Marekani na nchi za Ulaya kuwa zimechochea machafuko Moscow

    Aug 05, 2019 07:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo y Nje ya Russia amesema kuwa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya zimehusika katika machafuko yaliyotokea hivi karibuni mjini Moscow.

  • Gorbachev: Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF kutasababisha hali ya mchafukoge duniani

    Gorbachev: Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF kutasababisha hali ya mchafukoge duniani

    Aug 04, 2019 09:11

    Kiongozi wa mwisho wa lililokuwa Shirikisho la Kisovieti la Urusi, Mikhail Gorbachev ameikosoa Marekani kwa kujitoa katika mkataba unaopiga marufuku silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF) na kueleza kwamba: Hatua hiyo ya Washington ni mwanzo wa mashindano mapya ya uundaji silaha na kuanza hali ya mchafukoge duniani.

  • Zarif amwambia Pompeo: Kipindi cha

    Zarif amwambia Pompeo: Kipindi cha "madola makubwa" kimepita

    Aug 03, 2019 02:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwambia wenzake wa Marekani kwamba kipindi cha madola makubwa kimepita muda mrefu huko nyuma.

  • Marekani yatangaza rasmi kujitoa kwenye mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF)

    Marekani yatangaza rasmi kujitoa kwenye mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF)

    Aug 02, 2019 08:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo ametangaza rasmi kujitoa nchi yake katika mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).

  • Ukosoaji wa Russia kwa utendaji wa Umoja wa Mataifa mkabala na jinai za magaidi nchini Syria

    Ukosoaji wa Russia kwa utendaji wa Umoja wa Mataifa mkabala na jinai za magaidi nchini Syria

    Aug 01, 2019 20:46

    Syria imekuwa ikikabiliwa na hali ya mchafukoge tangu mwakak 2011 na kisha ikatumbukia katika vita vya ndani baina ya serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo na waungaji mkono wake kwa upande mmoja na makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na madola ya Magharibi na washirika wao wa Kiarabu kwa upande wa pili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS