Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yawasilisha mpango wa usalama wa Ghuba ya Uajemi kwa Umoja wa Mataifa

    Russia yawasilisha mpango wa usalama wa Ghuba ya Uajemi kwa Umoja wa Mataifa

    Jul 30, 2019 06:24

    Uwepo wa kijeshi wa nchi za kigeni katika eneo la Ghuba ya Uajemi na taathira zake mbaya ambazo zimepelekea kuongezeka mivutano ya kisiasa na kijeshi katika eneo, umeipelekea Russia kuwasilisha mpango wa usalama wa eneo hili la kistratijia kwa Umoja wa Mataifa.

  • Wasiwasi wa Russia wa kuwekwa silaha za Marekani katika anga za mbali

    Wasiwasi wa Russia wa kuwekwa silaha za Marekani katika anga za mbali

    Jul 28, 2019 06:35

    Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ambaye siku zote amekuwa akisisitiza udharura wa kuimarishwa nguvu ya jeshi la nchi hiyo, sasa inafuatilia mipango ya kuweka silaha zake tofauti katika anga za mbali, ikiwemo mifumo ya kukabiliana na makombora.

  • Uungaji mkono wa Lavrov kwa nafasi kuu ya Iran katika kutatua migogoro ya kieneo

    Uungaji mkono wa Lavrov kwa nafasi kuu ya Iran katika kutatua migogoro ya kieneo

    Jul 26, 2019 02:57

    Russia imeonyesha msimamo wa kuiunga mkono Iran mkabala na tuhuma za Marekani dhidi ya Iran ambazo ni chanzo cha ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Russia yapinga kuwepo majeshi ya nchi za kigeni Ghuba ya Uajemi

    Russia yapinga kuwepo majeshi ya nchi za kigeni Ghuba ya Uajemi

    Jul 24, 2019 03:45

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuwepo majeshi ya kigeni katika eneo la Ghuba ya Uajemi kunasababisha hatari ya kutokea vita.

  • Tuhuma za Marekani dhidi ya Russia kwa kuisaidia Venezuela

    Tuhuma za Marekani dhidi ya Russia kwa kuisaidia Venezuela

    Jul 23, 2019 03:03

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani, siasa za upande mmoja za Washington dhidi ya nchi tofauti zinazopinga ubeberu na kupenda makubwa kwa Marekani, ikiwemo Venezuela , zimebadilika kuwa moja ya tofauti za msingi kati ya serikali ya Moscow na Washington.

  • Sisitizo la Russia la haki ya kurutubisha urani ziliyonayo nchi zote zilizosaini mkataba wa NPT

    Sisitizo la Russia la haki ya kurutubisha urani ziliyonayo nchi zote zilizosaini mkataba wa NPT

    Jul 22, 2019 07:38

    Viongozi wa serikali ya Marekani wanapiga upatu wa kutaka Iran izuiwe kunufaika na haki yake ya kurutubisha urani sambamba na kushadidisha mbinyo na mashinikizo dhidi ya Tehran ili isimamishe shughuli zake za nyuklia, ilhali mkataba wa Kuzuia Uundaji na Uenezaji Silaha za Nyuklia (NPT), unazidhaminia nchi zote zilizosaini mkataba huo haki ya kurutubisha madini hayo.

  • Ujumbe wa Putin kwa Bashar al Assad: Russia itaendelea kuiunga mkono Syria

    Ujumbe wa Putin kwa Bashar al Assad: Russia itaendelea kuiunga mkono Syria

    Jul 21, 2019 22:01

    Rais wa Russia amesisitiza katika ujumbe aliomtumia Rais mwenzake wa Syria kwamba Moscow itaendelea kuunga mkono umoja wa ardhi yote ya Syria.

  • Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Jul 19, 2019 01:50

    Hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka kwa Russia imezusha mgogoro mkubwa katika uhusiano wake na Marekani hasa kwa kuzingatia kuwa kabla ya hapo pia Ankara na Washington zilikuwa tayari zina mzozo baina yao.

  • Russia na Hamas zafanya mazungumzo mjini Moscow

    Russia na Hamas zafanya mazungumzo mjini Moscow

    Jul 17, 2019 03:13

    Ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS umekutana mjini Moscow na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Mikhail Bogdanov ambapo pande mbili zimesisitizia umuhimu wa umoja wa Wapalestina kwa shabaha ya kuzima njama ya Marekani iliyopewa jina la Muamala wa Karne.

  • Iran: Hakuna mazungumzo yoyote baina yetu na Marekani

    Iran: Hakuna mazungumzo yoyote baina yetu na Marekani

    Jul 14, 2019 06:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haifanyi mazungumzo ya kiwango chochote kile na viongozi wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS