-
Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia
Jul 12, 2019 20:38Uturuki imepokea shehena ya kwanza ya mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia licha ya makelele na vitisho vya Marekani.
-
Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena
Jul 11, 2019 21:55Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria inatazamiwa kuanza mapema mwezi ujao wa Agosti huko Nur-Sultan mji mkuu wa Kazakhstan.
-
Russia: Marekani haina haki ya kuikosoa Iran kuhusiana na JCPOA
Jul 11, 2019 03:48Mwakilishi wa Russia katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA amesema kuwa Marekani haina haki yoyote ya kisheria ya kuikosoa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na hatua yake ya kupunguza ahadi zake kuhusiana na mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA.
-
Russia yaunga mkono njia ya kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria
Jul 05, 2019 23:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amehimiza kufanyika juhudi zaidi za kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria na kujiepusha na kutumia mabavu.
-
Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria
Jul 05, 2019 02:48Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, mgogoro wa kiusalama Libya huenda ukapanuka zaidi kutokana na wimbi la wananchama wa magenge ya kigaidi ambao wanatorokea nchi hiyo, wakitokea katika mkoa wa Idlib uliko kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Russia yaunga mkono mazungumzo baina ya Iran na nchi za Kiarabu
Jul 04, 2019 02:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, anaunga mkono na kushajiisha mazungumzo baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Kiarabu.
-
Moscow yatahadharisha kuhusu tuhuma za kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka 2020
Jul 03, 2019 22:11Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amewaambia wabunge wa Marekani kwamba Moscow inapinga uingiliaji kati wowote katika uchaguzi ujao wa Rais wa Marekani.
-
Lavrov na afisa wa UN wasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mzozo wa Yemen
Jul 02, 2019 07:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen wamesisitiza ulazima wa kufanyika juhudi ili kuhitimisha hali ya mgogoro huko Yemen..
-
Russia yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Jun 22, 2019 08:16Vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran ni vikwazo vilivyo kinyume cha sheria na vinavyokinzana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA. Nchi za kundi la 4+1 limelaani vikwazo hivyo dhidi ya Iran.
-
Russia: Iran inapambana vilivyo na vitendo vya kigaidi
Jun 21, 2019 05:20Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia ameunga mkono kuweko washauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria na kusisitiza kuwa, washauri hao wa kijeshi wako nchini humo kwa mwaliko rasmi wa serikali ya Damascus.