Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia

    Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia

    Jul 12, 2019 20:38

    Uturuki imepokea shehena ya kwanza ya mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia licha ya makelele na vitisho vya Marekani.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Jul 11, 2019 21:55

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria inatazamiwa kuanza mapema mwezi ujao wa Agosti huko Nur-Sultan mji mkuu wa Kazakhstan.

  • Russia: Marekani haina haki ya kuikosoa Iran kuhusiana na JCPOA

    Russia: Marekani haina haki ya kuikosoa Iran kuhusiana na JCPOA

    Jul 11, 2019 03:48

    Mwakilishi wa Russia katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA amesema kuwa Marekani haina haki yoyote ya kisheria ya kuikosoa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na hatua yake ya kupunguza ahadi zake kuhusiana na mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA.

  • Russia yaunga mkono njia ya kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria

    Russia yaunga mkono njia ya kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria

    Jul 05, 2019 23:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amehimiza kufanyika juhudi zaidi za kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria na kujiepusha na kutumia mabavu.

  • Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Jul 05, 2019 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, mgogoro wa kiusalama Libya huenda ukapanuka zaidi kutokana na wimbi la wananchama wa magenge ya kigaidi ambao wanatorokea nchi hiyo, wakitokea katika mkoa wa Idlib uliko kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Russia yaunga mkono mazungumzo baina ya Iran na nchi za Kiarabu

    Russia yaunga mkono mazungumzo baina ya Iran na nchi za Kiarabu

    Jul 04, 2019 02:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, anaunga mkono na kushajiisha mazungumzo baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Kiarabu.

  • Moscow yatahadharisha kuhusu tuhuma za kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka 2020

    Moscow yatahadharisha kuhusu tuhuma za kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka 2020

    Jul 03, 2019 22:11

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amewaambia wabunge wa Marekani kwamba Moscow inapinga uingiliaji kati wowote katika uchaguzi ujao wa Rais wa Marekani.

  • Lavrov na afisa wa UN wasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mzozo wa Yemen

    Lavrov na afisa wa UN wasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mzozo wa Yemen

    Jul 02, 2019 07:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen wamesisitiza ulazima wa kufanyika juhudi ili kuhitimisha hali ya mgogoro huko Yemen..

  • Russia yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 22, 2019 08:16

    Vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran ni vikwazo vilivyo kinyume cha sheria na vinavyokinzana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA. Nchi za kundi la 4+1 limelaani vikwazo hivyo dhidi ya Iran.

  • Russia: Iran inapambana vilivyo na vitendo vya kigaidi

    Russia: Iran inapambana vilivyo na vitendo vya kigaidi

    Jun 21, 2019 05:20

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia ameunga mkono kuweko washauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria na kusisitiza kuwa, washauri hao wa kijeshi wako nchini humo kwa mwaliko rasmi wa serikali ya Damascus.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS