Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Putin: Leo hii Iran ndiyo yenye miradi iliyo wazi zaidi ya nyuklia duniani

    Putin: Leo hii Iran ndiyo yenye miradi iliyo wazi zaidi ya nyuklia duniani

    May 15, 2019 22:28

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, tangu yalipofikiwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwaka 2015 hadi hivi sasa, Iran imekuwa ndiyo nchi yenye miradi iliyo wazi zaidi ya nyuklia duniani.

  • China, Russia, Ufaransa na Ujerumani zatoa radiamali zao kufuatia tangazo la Iran

    China, Russia, Ufaransa na Ujerumani zatoa radiamali zao kufuatia tangazo la Iran

    May 08, 2019 09:20

    Russia, China, Ufaransa na Ujerumani ambazo ni katika nchi tano zilizosalia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA zimetoa radimali kufuatia uamuzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kusimamisha kwa muda utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kuhusu mapatano hayo, ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo muhimu ya kimataifa.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kutokana na ajali ya ndege

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kutokana na ajali ya ndege

    May 06, 2019 23:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Mousavi amesema kuwa Iran inatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo.

  • Onyo kali la Moscow dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Washington nchini Venezuela

    Onyo kali la Moscow dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Washington nchini Venezuela

    May 03, 2019 03:08

    Katika kipindi hiki cha uongozi wa Rais Donald Trump wa Marekani, nchi hiyo imeongeza maradifu juhudi zake za kutaka kuiangusha serikali halali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela inayoongozwa na Rais Nicolas Maduro.

  • Wataalamu wa Mambo Russia na Yemen: Muungano wa Saudia hautofikia malengo yake Yemen

    Wataalamu wa Mambo Russia na Yemen: Muungano wa Saudia hautofikia malengo yake Yemen

    May 03, 2019 00:06

    Wataalamu wa masuala ya kisiasa nchini Russia na Yemen wamesema kuwa njama za muungano vamizi wa Saudia na washirika wake dhidi ya Yemen, zimefeli.

  • Majeshi ya majini ya Iran na Russia kufanya mazoezi Ghuba ya Uajemi

    Majeshi ya majini ya Iran na Russia kufanya mazoezi Ghuba ya Uajemi

    Apr 29, 2019 05:42

    Majeshi ya majini ya Iran na Russia yanapanga mazoezi ya pamoja na ya kipekee katika Ghuba ya Uajemi baadaye mwaka huu.

  • Amri ya Trump ya kuwekwa mikataba mipya ya silaha baina ya Marekani na Russia na China

    Amri ya Trump ya kuwekwa mikataba mipya ya silaha baina ya Marekani na Russia na China

    Apr 27, 2019 02:27

    Donald Trump ni rais wa nchi ya kibeberu ya Marekani ambaye amekuja na siasa za kudharau na kupuuza sheria na mikataba yote ya kimataifa na ajenda yake kuu ni kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa ikiwemo ya silaha. Hivi sasa dunia imekumbwa na changamoto kubwa inayotokana na kung'ang'ania Marekani kujitoa katika mikataba ya kudhibitiu silaha.

  • Kudumishwa ushirikiano mzuri wa Iran na Russia kinyume na matakwa ya Marekani

    Kudumishwa ushirikiano mzuri wa Iran na Russia kinyume na matakwa ya Marekani

    Apr 26, 2019 05:49

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kwamba serikali za Tehran na Moscow zinahujumiwa na Marekani kutokana na nafasi yao huru.

  • Kim Jong-un: Marekani imekuwa na miamala ya upande mmoja katika mazungumzo

    Kim Jong-un: Marekani imekuwa na miamala ya upande mmoja katika mazungumzo

    Apr 26, 2019 03:35

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, kupatikana amani eneo la Rasi ya Korea kunategemea mienendo ya Marekani.

  • Bunge la Uingereza latahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia duniani

    Bunge la Uingereza latahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia duniani

    Apr 26, 2019 02:08

    Kamati ya Mahusiano ya Kimataifa ya Bunge la Uingereza imetoa taarifa inayoonya juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia kati ya nchi zenye silaha hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS