Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Mkutano wa Troika ya Syria mjini Tehran, kigezo bora cha kuigwa cha uishirikiano wa kikanda

    Mkutano wa Troika ya Syria mjini Tehran, kigezo bora cha kuigwa cha uishirikiano wa kikanda

    Sep 07, 2018 02:50

    Leo Ijumaa Tehran ni mwenyeji wa kikao cha viongozi wa nchi tatu muhimu katika mchakato wa kurejesha amani nchini Syria, yaani Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki.

  • Dakta Larijani: Iran na Russia zina nafasi kubwa katika vita dhidi ya ugaidi Mashariki ya Kati

    Dakta Larijani: Iran na Russia zina nafasi kubwa katika vita dhidi ya ugaidi Mashariki ya Kati

    Sep 06, 2018 09:58

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Russia zimekuwa na nafasi muhimu mno katika uga wa kupambana na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Kuuawa kiongozi wa upinzani wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Donetsk, Ukraine na athari zake

    Kuuawa kiongozi wa upinzani wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Donetsk, Ukraine na athari zake

    Sep 02, 2018 05:53

    Kufuatia kuuawa Alexander Zakharchenko, Kiongozi wa Upinzani wa eneo la Donetsk nchini Ukrain, Rais Vladmir Putin wa Russia ametaka kuchukuliwa hatua kali wahusika wa jinai hiyo.

  • Maneva makubwa ya kijeshi ya Russia Bahari ya Mediterranean, majibu kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka vya Marekani dhidi ya Syria

    Maneva makubwa ya kijeshi ya Russia Bahari ya Mediterranean, majibu kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka vya Marekani dhidi ya Syria

    Sep 02, 2018 01:26

    Ushindi mkubwa linaoendelea kuupata jeshi la Syria na waitifaki wake katika maeneo tofauti ya nchi hiyo, na hatua ya jeshi hilo ya kujiandaa hivi sasa kuusafisha mkoa wa Idlib kutokana na uchafu wa magenge ya kigaidi, imewatia kiwewe waungaji mkono wa magaidi hao yaani nchi za Magharibi na hasa Marekani. Mkoa wa Idlib ndiyo ngome ya mwisho wa magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wajadili hali ya mambo Syria

    Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wajadili hali ya mambo Syria

    Aug 30, 2018 11:21

    Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wamefanya mazungumzo kuhusu hali ya mambo nchini Syria.

  • Russia: Magaidi nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali

    Russia: Magaidi nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali

    Aug 27, 2018 03:16

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia ametangaza kuwa magaidi walioko nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali katika kipindi cha siku hizi mbili.

  • Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Aug 24, 2018 21:50

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov amesema kuwa nchi yake inaheshimu uwepo wa Iran nchini Syria kwani iko huko kihalali na kwa mwaliko wa serikali halali ya nchi hiyo.

  • Changamoto mpya zamkumba Rais Trump wa Marekani

    Changamoto mpya zamkumba Rais Trump wa Marekani

    Aug 23, 2018 22:13

    Tokea wakati Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia madarakani hadi sasa, amekumbwa na changamoto nyingi ndani ya nchi. Moja ya changamoto hizo ni tuhuma kuwa Russia ilihusika katika kuingilia mchakato wa uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka 2016 kwa maslahi ya Trump.

  • Majibu ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    Majibu ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    Aug 23, 2018 03:19

    Kwa miaka kadhaa sasa uhusiano wa Marekani na Russia umekuwa katika mkondo wa mzozo na mivutano.

  • Facebook na Twitter zafunga akaunti za mamia ya watumiaji wake kutoka Iran na Russia

    Facebook na Twitter zafunga akaunti za mamia ya watumiaji wake kutoka Iran na Russia

    Aug 22, 2018 21:10

    Mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter imefunga akaundi za mamia ya watumiaji wenye asili ya Iran na Russia kwa madai ya kuhofia wasije wakaathiri matokeo ya uchaguzi wa nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS