-
Wizara ya Ulinzi ya Russia: Zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi
Aug 22, 2018 09:57Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imesha kombolewa kutoka kwenye makucha ya magaidi.
-
Russia yasaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi na Jamhuri ya Afrika ya Kati
Aug 21, 2018 09:12Russia na Jamhuri ya Afrika ya Kati leo Jumanne zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi yanayofungua njia kwa Moscow ya kuendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Ndege za kivita za kistratejia za Russia zapaa karibu na mipaka ya Marekani
Aug 17, 2018 03:14Ndege za kivita za kistratejia za Russia zenye uwezo wa kurusha mabomu ya nyuklia zimepaa katika peninsula ya Chukotka mashariki kabisa mwa Russia karibu na eneo la Alaska katika mpaka wa nchi hiyo na Marekani.
-
Msimamo wa Russia kuhusu bajeti mpya ya jeshi ya Marekani
Aug 16, 2018 05:23Bajeti ya masuala ya kijeshi isiyo na kifani ya dola bilioni 716 iliyosainiwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani imekabiliwa na radiamali kali katika upeo wa kimataifa.
-
Sergey Lavrov: Marekani haitaki kutokomeza silaha zake za kemikali
Aug 13, 2018 03:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kuwa Marekani inapinga kuangamiza silaha zake za kemikali.
-
Rouhani na Putin wabadilishana mawazo kuhusu masuala ya kikanda na kimataifa
Aug 12, 2018 09:07Marais wa Iran na Russia wamejadili na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya pande mbili, ya kikanda na kimataifa katika mazungumzo yao yaliyofanyika leo kandokando ya mkutano wa 5 wa viongozi wa nchi za pwani mwa Bahari ya Kaspi unaofanyika nchini Kazakshtan.
-
Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha
Aug 11, 2018 22:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Marekani inaziwekea vikwazo vya upande mmoja nchi nyingine kwa shabaha ya kuondoa matatizo yake ya kifedha na kuziba nakisi ya mapato yake.
-
Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow
Aug 11, 2018 01:49Dmitry Medvedev, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, kushadidishwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia, ni sawa na kutangaza vita vya kibiashara kwa nchi yake.
-
Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake
Aug 08, 2018 23:54Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ameiomba serikali ya Russia iingilie mgogoro wa Libya kwa ajili ya kuutatua.
-
Russia yazipongeza nchi za Ulaya kwa kusimama imara kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Aug 08, 2018 10:02Maafisa waandamizi wa Russia wamesema kuwa, upinzani wa nchi za Ulaya dhidi ya vikwazo vya Marekani kwa Iran unaonesha namna nchi za bara hilo zilivyo na nia thabiti ya kukabiliana na siasa za kujinufaisha upande mmoja za Washington.