Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Wizara ya Ulinzi ya Russia: Zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi

    Wizara ya Ulinzi ya Russia: Zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi

    Aug 22, 2018 09:57

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imesha kombolewa kutoka kwenye makucha ya magaidi.

  • Russia yasaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi  na Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Russia yasaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi na Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Aug 21, 2018 09:12

    Russia na Jamhuri ya Afrika ya Kati leo Jumanne zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi yanayofungua njia kwa Moscow ya kuendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Ndege za kivita za kistratejia za Russia zapaa karibu na mipaka ya Marekani

    Ndege za kivita za kistratejia za Russia zapaa karibu na mipaka ya Marekani

    Aug 17, 2018 03:14

    Ndege za kivita za kistratejia za Russia zenye uwezo wa kurusha mabomu ya nyuklia zimepaa katika peninsula ya Chukotka mashariki kabisa mwa Russia karibu na eneo la Alaska katika mpaka wa nchi hiyo na Marekani.

  • Msimamo wa Russia kuhusu bajeti mpya ya jeshi ya Marekani

    Msimamo wa Russia kuhusu bajeti mpya ya jeshi ya Marekani

    Aug 16, 2018 05:23

    Bajeti ya masuala ya kijeshi isiyo na kifani ya dola bilioni 716 iliyosainiwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani imekabiliwa na radiamali kali katika upeo wa kimataifa.

  • Sergey Lavrov: Marekani haitaki kutokomeza silaha zake za kemikali

    Sergey Lavrov: Marekani haitaki kutokomeza silaha zake za kemikali

    Aug 13, 2018 03:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kuwa Marekani inapinga kuangamiza silaha zake za kemikali.

  • Rouhani na Putin wabadilishana mawazo kuhusu masuala ya kikanda na kimataifa

    Rouhani na Putin wabadilishana mawazo kuhusu masuala ya kikanda na kimataifa

    Aug 12, 2018 09:07

    Marais wa Iran na Russia wamejadili na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya pande mbili, ya kikanda na kimataifa katika mazungumzo yao yaliyofanyika leo kandokando ya mkutano wa 5 wa viongozi wa nchi za pwani mwa Bahari ya Kaspi unaofanyika nchini Kazakshtan.

  • Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha

    Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha

    Aug 11, 2018 22:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Marekani inaziwekea vikwazo vya upande mmoja nchi nyingine kwa shabaha ya kuondoa matatizo yake ya kifedha na kuziba nakisi ya mapato yake.

  • Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow

    Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow

    Aug 11, 2018 01:49

    Dmitry Medvedev, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, kushadidishwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia, ni sawa na kutangaza vita vya kibiashara kwa nchi yake.

  • Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake

    Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake

    Aug 08, 2018 23:54

    Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ameiomba serikali ya Russia iingilie mgogoro wa Libya kwa ajili ya kuutatua.

  • Russia yazipongeza nchi za Ulaya kwa kusimama imara kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia yazipongeza nchi za Ulaya kwa kusimama imara kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Aug 08, 2018 10:02

    Maafisa waandamizi wa Russia wamesema kuwa, upinzani wa nchi za Ulaya dhidi ya vikwazo vya Marekani kwa Iran unaonesha namna nchi za bara hilo zilivyo na nia thabiti ya kukabiliana na siasa za kujinufaisha upande mmoja za Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS