-
Maneva makubwa ya kijeshi ya Russia Bahari ya Mediterranean, majibu kwa vitisho vinavyozidi kuongezeka vya Marekani dhidi ya Syria
Sep 02, 2018 01:26Ushindi mkubwa linaoendelea kuupata jeshi la Syria na waitifaki wake katika maeneo tofauti ya nchi hiyo, na hatua ya jeshi hilo ya kujiandaa hivi sasa kuusafisha mkoa wa Idlib kutokana na uchafu wa magenge ya kigaidi, imewatia kiwewe waungaji mkono wa magaidi hao yaani nchi za Magharibi na hasa Marekani. Mkoa wa Idlib ndiyo ngome ya mwisho wa magenge ya kigaidi nchini Syria.
-
Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wajadili hali ya mambo Syria
Aug 30, 2018 11:21Mawaziri wa Ulinzi wa Russia na Uturuki wamefanya mazungumzo kuhusu hali ya mambo nchini Syria.
-
Russia: Magaidi nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali
Aug 27, 2018 03:16Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia ametangaza kuwa magaidi walioko nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali katika kipindi cha siku hizi mbili.
-
Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo
Aug 24, 2018 21:50Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov amesema kuwa nchi yake inaheshimu uwepo wa Iran nchini Syria kwani iko huko kihalali na kwa mwaliko wa serikali halali ya nchi hiyo.
-
Changamoto mpya zamkumba Rais Trump wa Marekani
Aug 23, 2018 22:13Tokea wakati Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia madarakani hadi sasa, amekumbwa na changamoto nyingi ndani ya nchi. Moja ya changamoto hizo ni tuhuma kuwa Russia ilihusika katika kuingilia mchakato wa uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka 2016 kwa maslahi ya Trump.
-
Majibu ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani
Aug 23, 2018 03:19Kwa miaka kadhaa sasa uhusiano wa Marekani na Russia umekuwa katika mkondo wa mzozo na mivutano.
-
Facebook na Twitter zafunga akaunti za mamia ya watumiaji wake kutoka Iran na Russia
Aug 22, 2018 21:10Mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter imefunga akaundi za mamia ya watumiaji wenye asili ya Iran na Russia kwa madai ya kuhofia wasije wakaathiri matokeo ya uchaguzi wa nchini Marekani.
-
Wizara ya Ulinzi ya Russia: Zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi
Aug 22, 2018 09:57Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imesha kombolewa kutoka kwenye makucha ya magaidi.
-
Russia yasaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi na Jamhuri ya Afrika ya Kati
Aug 21, 2018 09:12Russia na Jamhuri ya Afrika ya Kati leo Jumanne zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi yanayofungua njia kwa Moscow ya kuendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Ndege za kivita za kistratejia za Russia zapaa karibu na mipaka ya Marekani
Aug 17, 2018 03:14Ndege za kivita za kistratejia za Russia zenye uwezo wa kurusha mabomu ya nyuklia zimepaa katika peninsula ya Chukotka mashariki kabisa mwa Russia karibu na eneo la Alaska katika mpaka wa nchi hiyo na Marekani.