Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Trump azidi kusakamwa, Russia nayo yaongeza ushuru wa bidhaa za Marekani

    Trump azidi kusakamwa, Russia nayo yaongeza ushuru wa bidhaa za Marekani

    Aug 05, 2018 20:50

    Serikali ya Russia imezipandishia ushuru bidhaa za Marekani ikiwa ni kujibu hatua ya rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuzipandishia ushuru bidhaa ya chuma cha pua na aluminium zinazoingizwa nchini Marekani kutokea Russia.

  • Russia: Chaguo la kijeshi halitasaidia kutatuliwa mgogoro nchini Yemen

    Russia: Chaguo la kijeshi halitasaidia kutatuliwa mgogoro nchini Yemen

    Aug 03, 2018 02:47

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, chaguo la kijeshi haliwezi kusaidia katika kutatua mgogoro wa Yemen.

  • Mkutano wa viongozi wa BRICS na ukosoaji wa sera za Marekani

    Mkutano wa viongozi wa BRICS na ukosoaji wa sera za Marekani

    Jul 27, 2018 02:07

    Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Marekani ambazo zimeshika kasi zaidi katika utawala wa Donald Trump zimekuwa kero kwa aghlabu ya mataifa yote huru na yanayojitawala duniani.

  • Marais Putin na Ramaphosa wajadili ushirikiano wa pande mbili

    Marais Putin na Ramaphosa wajadili ushirikiano wa pande mbili

    Jul 26, 2018 23:55

    Rais Vladimir Putin wa Russia na mwenzake wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa wamekutana na kufanya mazungumzo pambizoni mwa mkutano wa kumi wa kundi la BRICS mjini Johannesburg Afrika Kusini.

  • Mashauriano ya Lavrov na Merkel kuhusu Syria

    Mashauriano ya Lavrov na Merkel kuhusu Syria

    Jul 25, 2018 22:33

    Tangu mwezi Disemba mwaka 2015 Russia ilituma majeshi katika nchi ya Syria kwa ajili ya kupambana na makundi ya kigaidi na vilevile kuisaidia serikali halali ya nchi hiyo.

  • Nchi, jumuiya na taasisi za kimataifa zapinga sheria ya

    Nchi, jumuiya na taasisi za kimataifa zapinga sheria ya "apartheid" huko Israel

    Jul 25, 2018 02:56

    Nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa zimeendelea kupaza sauti zao kupinga sheria iliyopasishwa na Bunge la utawala haramu wa Israel, (Knesset) inayoitambua Israel kuwa ni dola la Mayahudi pekee.

  • China na Russia zapinga takwa la Marekani la kutoiuzia mafuta Korea Kaskazini

    China na Russia zapinga takwa la Marekani la kutoiuzia mafuta Korea Kaskazini

    Jul 20, 2018 03:48

    Duru za habari zimearifu kwamba China na Russia zimetupilia mbali pendekezo la Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji mafuta kwa Korea Kaskazini.

  • Trump: Vikwazo vya Russia havitaondolewa na hakuna muhula kuhusu mazungumzo na Pyongyang

    Trump: Vikwazo vya Russia havitaondolewa na hakuna muhula kuhusu mazungumzo na Pyongyang

    Jul 19, 2018 03:50

    Rais wa Marekani amesema katika mazungumzo na wabunge wa nchi hiyo huko White House kuwa hakuna uwezekano wa kufutwa vikwazo dhidi ya Moscow na kwamba vikwazo hivyo vitaendelea kuwepo licha ya kufanyika mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Russia.

  • Russia: Kuna uwekezano Marekani ikaishambulia kijeshi Venezuela

    Russia: Kuna uwekezano Marekani ikaishambulia kijeshi Venezuela

    Jul 19, 2018 03:22

    Balozi wa Russia nchini Venezuela ameonyesha masikitiko yake kutokana na uwezekano wa Marekani kuchukua hatua ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo.

  • Balozi wa Russia mjini Tehran: Uwepo wa Iran nchini Syria  ni wa kisheria

    Balozi wa Russia mjini Tehran: Uwepo wa Iran nchini Syria ni wa kisheria

    Jul 19, 2018 02:59

    Balozi wa Russia mjini Tehran, amesema kuwa uwepo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria ni wa kisheria na kwamba, kwa utashi wa Damascus, Iran itaendelea kuwepo nchini humo katika operesheni za kuwaangamiza magaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS