Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Jul 15, 2018 02:36

    Baada ya kuibuka machafuko ya ndani nchini Syria mwaka 2011, Marekani na waitifaki wake walianza kuunga mkono makundi ya kigaidi yaliyoibua ghasia kwa lengo la kuipundua serikali halali ya nchi hiyo.

  • Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Jul 13, 2018 10:45

    Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesisitiza kuwa Iran na Russia zitaendelea kuwepo huko Syria na kwamba Iran haitaondoka nchini humo kwa vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uhusiano wa Kistratijia wa Iran na Russia hauathiriwi na wengine

    Uhusiano wa Kistratijia wa Iran na Russia hauathiriwi na wengine

    Jul 13, 2018 02:59

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa akiwa na ujumbe maalumu wa Kiongozi Muadhamu na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Puttin wa Russia ambapo wamejadili masuala mbali mbali ya uhusiano wa pande mbili.

  • Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Jul 10, 2018 02:49

    Waziri wa Mambo wa Nje wa Russia, Sergei Lavrov amesema nchi tatu kubwa za Umoja wa Ulaya na ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zimeafikiana kuzindua uhusiano wa kibiashara na Iran pasina kutegemea matumizi ya dola za Marekani.

  • Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Jul 09, 2018 08:01

    Akizungumza hivi karibuni na gazeti la Ujerumani la Der Spiegel Madeleine Albright, Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ya kujiondoka katika mapatano muhimu ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa hatua hiyo inakinzana moja kwa moja na malengo aliyoyatangaza mwenyewe.

  • Russia: Hatutajiondoa katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali

    Russia: Hatutajiondoa katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali

    Jul 09, 2018 03:27

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Shirika Linalopiga Marufuku Matumizi ya Silaha za Kemikali amesisitiza kuwa Moscow haina mpango wa kujiondoa katika shirika hilo.

  • Russia yaitaka jamii ya kimataifa kutegua mabomu ya ardhini nchini Syria

    Russia yaitaka jamii ya kimataifa kutegua mabomu ya ardhini nchini Syria

    Jul 08, 2018 03:36

    Russia imezitolea wito nchi mbalimbali ziisaidie Moscow kutegua mabomu ya ardhi katika maeneo yaliyokombolewa kutoka mikononi mwa magaidi huko Syria.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 05:22

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 02:46

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

  • Uungaji mkono wa Russia kuhusu kuendelea nafasi chanya ya Iran nchini Syria

    Uungaji mkono wa Russia kuhusu kuendelea nafasi chanya ya Iran nchini Syria

    Jul 02, 2018 02:56

    Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Mjumbe wa Rais Vladmir Putin wa Russia katika masuala ya Mashariki ya Kati, ameitaja nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria kuwa chanya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS