-
Russia: Pande zote ndani ya JCPOA zijawajibike kuyalinda makubaliano hayo
Jun 29, 2018 11:00Mwakilishi wa Russia katika Taasisi za Kimataifa mjini Vienna Austria amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni muhimu sana na kwamba nchi zilizosalia katika makubaliano hayo zinapasa kuyalinda.
-
Russia yasisitiza kwa mara nyingine kuwa hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA
Jun 29, 2018 00:16Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia kwa mara nyingine imesisitiza kuwa nchi hiyo inaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.
-
Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai
Jun 25, 2018 10:25Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, licha ya kwamba Marekani imejitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA lakini makubaliano hayo ya kimataifa bado yako hai na mazungumzo juu ya namna ya kuendeleza ushirikiano kupitia mapatano hayo yangali yanaendelea.
-
Putin na udharura wa UN kuwa na nafasi muhimu katika medani ya kimataifa
Jun 22, 2018 02:39Rais Vladimir Putin wa Russia amesema Umoja wa Mataifa unapaswa kuwa na nafasi kuu na ya mbele zaidi katika masuala ya kimataifa. Putin amesema hayo katika mazungumzo yake na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres mjini Moscow.
-
Croatia yaidhalilisha Argentina Kombe la Dunia Russia
Jun 22, 2018 00:21Timu ya taifa ya soka ya Croatia jana usiku iliidhalilisha Argentina na nyota wake mkubwa, Lionel Messi, baada ya kuichabanga magoli matatu kwa sifuri katika uwanja wa Nizhny Novgorod.
-
Russia yatahadharisha kuhusu njama mpya ya silaha za kemikali Syria
Jun 21, 2018 02:04Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi mapya ya silaha za kemikali nchini Syria kwa shabaha ya kuituhumu serikali ya Damascus na baadaye kuishambulia nchi hiyo.
-
Russia yatuma manowari zake mbili zilizobeba makombora ya cruise kwenye pwani ya Syria
Jun 19, 2018 03:06Jeshi la Russia limetangaza kuwa manowari mbili za jeshi hilo zilizobeba makombora aina ya cruise zimetumwa kuelekea bahari ya Mediterania na pwani ya Syria.
-
Russia yawatahadharisha raia wake kuhusu watoto wa nje ya ndoa kombe la dunia
Jun 18, 2018 10:49Mkuu wa Masuala ya Familia, Watoto na Wanawake katika Bunge la Russia, Tamara Pletnyova, amesema kamati ya masuala ya wanawake na watoto inawatahadharisha wanawake wa nchi hiyo kuingia katika mahusiano ya kimapenzi kinyume na ndoa katika michuano ya kombe la dunia inayoendelea hivi sasa nchini humo.
-
Russia yalalamikia jinsi Marekani inavyopigania kuwarejesha magaidi wa ISIS nchini Syria
Jun 09, 2018 22:20Wizara ya Ulinzi ya Russia imefichua kuwa, Marekani inafanya juhudi kubwa za kuwarejesha magaidi wa Daesh (ISIS) nchini Syria.
-
Putin: Hatutaruhusu Marekani ijifanye polisi wa dunia
Jun 08, 2018 00:05Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, hatua za upande mmoja za rais wa Marekani ndio chanzo hasa cha kuongezeka mivutano duniani.