Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Pande zote ndani ya JCPOA zijawajibike kuyalinda makubaliano hayo

    Russia: Pande zote ndani ya JCPOA zijawajibike kuyalinda makubaliano hayo

    Jun 29, 2018 11:00

    Mwakilishi wa Russia katika Taasisi za Kimataifa mjini Vienna Austria amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni muhimu sana na kwamba nchi zilizosalia katika makubaliano hayo zinapasa kuyalinda.

  • Russia yasisitiza kwa mara nyingine kuwa hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA

    Russia yasisitiza kwa mara nyingine kuwa hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA

    Jun 29, 2018 00:16

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia kwa mara nyingine imesisitiza kuwa nchi hiyo inaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Jun 25, 2018 10:25

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, licha ya kwamba Marekani imejitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA lakini makubaliano hayo ya kimataifa bado yako hai na mazungumzo juu ya namna ya kuendeleza ushirikiano kupitia mapatano hayo yangali yanaendelea.

  • Putin na udharura wa UN kuwa na nafasi muhimu katika medani ya kimataifa

    Putin na udharura wa UN kuwa na nafasi muhimu katika medani ya kimataifa

    Jun 22, 2018 02:39

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema Umoja wa Mataifa unapaswa kuwa na nafasi kuu na ya mbele zaidi katika masuala ya kimataifa. Putin amesema hayo katika mazungumzo yake na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres mjini Moscow.

  • Croatia yaidhalilisha Argentina Kombe la Dunia Russia

    Croatia yaidhalilisha Argentina Kombe la Dunia Russia

    Jun 22, 2018 00:21

    Timu ya taifa ya soka ya Croatia jana usiku iliidhalilisha Argentina na nyota wake mkubwa, Lionel Messi, baada ya kuichabanga magoli matatu kwa sifuri katika uwanja wa Nizhny Novgorod.

  • Russia yatahadharisha kuhusu njama mpya ya silaha za kemikali Syria

    Russia yatahadharisha kuhusu njama mpya ya silaha za kemikali Syria

    Jun 21, 2018 02:04

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi mapya ya silaha za kemikali nchini Syria kwa shabaha ya kuituhumu serikali ya Damascus na baadaye kuishambulia nchi hiyo.

  • Russia yatuma manowari zake mbili zilizobeba makombora ya cruise kwenye pwani ya Syria

    Russia yatuma manowari zake mbili zilizobeba makombora ya cruise kwenye pwani ya Syria

    Jun 19, 2018 03:06

    Jeshi la Russia limetangaza kuwa manowari mbili za jeshi hilo zilizobeba makombora aina ya cruise zimetumwa kuelekea bahari ya Mediterania na pwani ya Syria.

  • Russia yawatahadharisha raia wake kuhusu watoto wa nje ya ndoa kombe la dunia

    Russia yawatahadharisha raia wake kuhusu watoto wa nje ya ndoa kombe la dunia

    Jun 18, 2018 10:49

    Mkuu wa Masuala ya Familia, Watoto na Wanawake katika Bunge la Russia, Tamara Pletnyova, amesema kamati ya masuala ya wanawake na watoto inawatahadharisha wanawake wa nchi hiyo kuingia katika mahusiano ya kimapenzi kinyume na ndoa katika michuano ya kombe la dunia inayoendelea hivi sasa nchini humo.

  • Russia yalalamikia jinsi Marekani inavyopigania kuwarejesha magaidi wa ISIS nchini Syria

    Russia yalalamikia jinsi Marekani inavyopigania kuwarejesha magaidi wa ISIS nchini Syria

    Jun 09, 2018 22:20

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imefichua kuwa, Marekani inafanya juhudi kubwa za kuwarejesha magaidi wa Daesh (ISIS) nchini Syria.

  • Putin: Hatutaruhusu Marekani ijifanye polisi wa dunia

    Putin: Hatutaruhusu Marekani ijifanye polisi wa dunia

    Jun 08, 2018 00:05

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, hatua za upande mmoja za rais wa Marekani ndio chanzo hasa cha kuongezeka mivutano duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS