Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Rwanda na Russia zafanya mazungumzo kuhusu kuongeza ushirikiano wa kijeshi

    Rwanda na Russia zafanya mazungumzo kuhusu kuongeza ushirikiano wa kijeshi

    Jun 04, 2018 22:36

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Russia na Rwanda wamefanya mazungumzo kuhusu njia za kuongeza ushirikiano wao katika masuala ya kijeshi.

  • Russia yajibu vitisho vya Saudia dhidi ya Qatar, yasema Riyadh haiwezi kuzuia mauzo ya S 400 kwa Doha

    Russia yajibu vitisho vya Saudia dhidi ya Qatar, yasema Riyadh haiwezi kuzuia mauzo ya S 400 kwa Doha

    Jun 04, 2018 00:01

    Naibu mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama katika bunge la Russia Alexei Kondratiev amesema kuwa msimamo wa Saudia wa kuizuia Qatar kununua ngao ya makombora ya S 400 iliyoundwa nchini humo, hautokwamisha uzalishaji wa makombora hayo ya anga kwa ajili ya serikali ya Doha.

  • Rubani wa Russia apatikana hai baada ya ndege yake kutunguliwa miaka 30 iliyopita Afghanistan

    Rubani wa Russia apatikana hai baada ya ndege yake kutunguliwa miaka 30 iliyopita Afghanistan

    Jun 02, 2018 22:11

    Rubani wa Russia ambaye alitoweka na ikadhaniwa amefariki baada ya ndege yake kutunguliwa miaka 30 iliyopita wakati wa hujuma ya Jeshi la Shirikisho la Sovieti ya zamani nchini Afghanistan, amepatikana akiwa hai na anataka kurudi nyumbani.

  • Saudia yatishia kuishambulia kijeshi Qatar iwapo itanunua S-400 kutoka Russia

    Saudia yatishia kuishambulia kijeshi Qatar iwapo itanunua S-400 kutoka Russia

    Jun 02, 2018 03:27

    Mfalme Salman Bin Abdul Aziz Aal-Saud wa Saudi Arabia ametishia kuwa Riyadh itachukua hatua za kijeshi dhidi ya Qatar iwapo serikali ya Doha itaendelea na mpango wake wa kununua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia: Lugha ya Vitisho Haitatui Matatizo ya Kimataifa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia: Lugha ya Vitisho Haitatui Matatizo ya Kimataifa

    May 31, 2018 02:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema masuala ya nyuklia ya Iran, Korea Kaskazini na mgogoro wa Ukraine ni masuala ambayo hayawezi kutatuliwa kwa lugha ya vitisho.

  • IMF: Marekani iangalie upya sera zake dhidi ya Iran na Russia

    IMF: Marekani iangalie upya sera zake dhidi ya Iran na Russia

    May 26, 2018 03:13

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha Duniani IMF amemuasa Rais Donald Trump wa Marekani kuangalia upya sera zake za kushadidisha vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia.

  • Sisitizo la Putin na Macron la kulindwa mapatano ya JCPOA

    Sisitizo la Putin na Macron la kulindwa mapatano ya JCPOA

    May 25, 2018 09:04

    Akizungumza mara tu baada ya kuonana na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza juu ya umuhimu wa kulindwa mapatano ya nyuklia kati ya Iran na nchi kubwa za dunia, mashuhuri kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kuusifu msimamo wa Ufaransa na nchi nyingine za Ulaya kuhusiana na kudumishwa utekelezaji wa mapatano hayo.

  • Marekani, mkiukaji mkubwa wa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia na makombora ya masafa ya wastani

    Marekani, mkiukaji mkubwa wa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia na makombora ya masafa ya wastani

    May 23, 2018 08:03

    Mkuu wa kituo cha Kitaifa cha Kupunguza Hatari ya Nyuklia cha nchini Russia, Sergei Ryzhkov amesema kuwa, Marekani imeendelea kuifanyia majaribio mifumo ya ulinzi ya makombora na kadhalika kuzalisha makombora ambayo yalipigwa marufuku na mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia na kufuatilia kutengeneza silaha za masafa ya wastani.

  • Russia: Vikwazo vya Marekani haviwezi kuizuia Moscow kushirikiana na Iran

    Russia: Vikwazo vya Marekani haviwezi kuizuia Moscow kushirikiana na Iran

    May 18, 2018 03:22

    Naibu Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haviwezi kuzuia ushirikiano kati ya Moscow na Tehran.

  • Russia na Ufaransa kuendelea kufungamana na JCPOA

    Russia na Ufaransa kuendelea kufungamana na JCPOA

    May 15, 2018 22:11

    Siku chache baada ya Rais Donald Trump kutangaza kuiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kama JCPOA, kwa mara nyingine tena marais wa Russia na Ufaransa wamesisitizia umuhimu wa pande zilizosalia kuendelea kufungamana na mapatano hayo ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS