Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Lavrov: Russia itatumia 'njia yoyote' kuhakikisha haishindwi katika vita vya Ukraine

    Lavrov: Russia itatumia 'njia yoyote' kuhakikisha haishindwi katika vita vya Ukraine

    Dec 07, 2024 02:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, kutumiwa hivi majuzi na jeshi la nchi yake kombora la hypersonic katika vita vya Ukraine kumelenga kuzielewesha nchi za Magharibi kwamba Moscow iko tayari kutumia "njia yoyote" ili kuzuia kushindwa katika vita hivyo.

  • Russia: Marekani na Uingereza zinaeneza machafuko ndani ya Syria kupitia magenge ya kigaidi

    Russia: Marekani na Uingereza zinaeneza machafuko ndani ya Syria kupitia magenge ya kigaidi

    Nov 29, 2024 11:41

    Russia imesema madola makubwa ya Magharibi yanayoongozwa na Marekani yanaendelea na vitendo vyao vya chuki dhidi ya Syria kwa kuwaunga mkono wanamgambo wanaoipinga serikali ya Damascus pamoja na makundi ya kigaidi ya kitakfiri katika kila pembe ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Rais wa Russia asisitiza kuanzishwa mfumo wa dunia wa kambi kadhaa na wa haki zaidi

    Rais wa Russia asisitiza kuanzishwa mfumo wa dunia wa kambi kadhaa na wa haki zaidi

    Nov 27, 2024 12:30

    Rais Vladimir Putin wa Russia amezungumza sambamba na kuwadia safari yake ya kuitembelea Kazakhstan na kusisitiza kuwa, nchi hizo mbili ziko mstari wa mbele katika mchakato wa kuunda mfumo wa dunia wa kambi kadhaa na wenye haki zaidi na pande hizo mbili zina misimamo inayofanana kuhusu mahusiano ya kimataifa na masuala ya usalama wa dunia.

  • Spika wa Uturuki: Kwa maamuzi ya Mahakama mbili za Kimataifa, Israel inaona mwisho wake unakaribia

    Spika wa Uturuki: Kwa maamuzi ya Mahakama mbili za Kimataifa, Israel inaona mwisho wake unakaribia

    Nov 27, 2024 12:06

    Spika wa Bunge la Uturuki Numan Kurtulmus amesema, hati ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya kukamatwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wa zamani wa ulinzi wa utawala huo Yoav Gallant ni kielelezo cha hatua nyingine kubwa inayoonyesha kuwa Israel sasa "inagusika".

  • Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko 'hatarini'

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko 'hatarini'

    Nov 26, 2024 06:42

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya anayemaliza muda wake Josep Borrell ametoa indhari kuwa mustakabali wa umoja huo uko hatarini kutokana na kukabiliwa na migogoro mingi kwa wakati mmoja, na akasisitiza kwamba EU haiwezi tena kuitegemea Marekani kwa ajili ya ulinzi wake.

  • Russia yakosoa hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA

    Russia yakosoa hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA

    Nov 25, 2024 03:33

    Ubalozi wa Russia mjini Tehran umekosoa hatua ya nchi za Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).

  • Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO

    Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO

    Nov 24, 2024 02:26

    Matukio ya hivi karibuni katika vita vya Ukraine, yaani uamuzi wa nchi za Magharibi wa kutoa ruhusa kwa Ukraine kuishambulia Russia kwa kutumia silaha za masafa marefu za Marekani na Ulaya kwa upande mmoja, na Russia kutumia w kombora jipya la masafa ya kati lenye kasi ya zaidi ya sauti dhidi ya Ukraine kama tahadhari kali kwa Magharibi, kumeibua mgogoro mkubwa na usio na kifani kati ya Russia na NATO.

  • Amri mpya ya Putin na kuongezeka uwezekano wa kutumiwa silaha za nyuklia

    Amri mpya ya Putin na kuongezeka uwezekano wa kutumiwa silaha za nyuklia

    Nov 20, 2024 11:23

    Rais Vladimir Putin wa Russia Jumanne, Novemba 19, alitia saini amri ambayo inaipa Moscow ruhusa ya kutumia silaha za nyuklia dhidi ya "nchi isiyo na silaha za nyuklia" ilimradi nchi hiyo iwe inaungwa mkono na nguvu za nyuklia.

  • Siku 1000 za vita vya Ukraine na mustakabali wake usiojulikana

    Siku 1000 za vita vya Ukraine na mustakabali wake usiojulikana

    Nov 20, 2024 02:36

    Jumatatu ya juzi 18 Novemba, 2024, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifanya mkutano mjini New York, kwa mnasaba wa siku elfu 1000 za Vita vya Ukraine.

  • Ombi la Antonio Guterres la kuzuia kuongezeka mivutano katika vita vya Ukraine

    Ombi la Antonio Guterres la kuzuia kuongezeka mivutano katika vita vya Ukraine

    Nov 19, 2024 07:15

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuzuia kuongezeka mapigano nchini Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS