-
Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria
Feb 14, 2016 23:38Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.
-
Russia: Kutuma vikosi vamizi Syria kutachochea Vita vya Dunia
Feb 12, 2016 04:38Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha juu ya kutumwa vikosi vya kigeni nchini Syria na kusema kuwa hatua hiyo haitakuwa na tija nyingine ghairi ya kuchochea "Vita Vipya vya Dunia".
-
Russia yakamata magaidi wa ISIS, yazuia hujuma za kigaidi
Feb 08, 2016 23:00Vikosi vya usalama Russia vimewakamata magaidi saba wa kundi la ISIS (Daesh) ambao walikuwa wanapanga kufanya mashambulizi ya kigaidi katika miji kadhaa kote Russia.
-
Rusia: Nato inachochea machafuko Mashariki ya Kati
Feb 08, 2016 03:44Wizara ya Ulinzi ya Russia imejibu tuhuma za shika la kijeshi la nchi za Magharibi (NATO) ikisema muungano huo wa kijeshi imeitumbukiza Syria katika matatizo makubwa na kusababisha machafuko katika eneo lote la Mashariki ya Kati.