Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Andrei Kartapolov: Russia inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi; iko pamoja na Iran

    Andrei Kartapolov: Russia inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi; iko pamoja na Iran

    Jan 13, 2026 00:12

    Mbunge wa ngazi ya juu katika bunge la Russia ambaye pia ni Mkuu wa Kamati ya Ulinzi katika Duma amekariri uungaji mkono wa nci yake kwa Iran na kusema Moscow inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi khususan uingiliaji wa nchi za Magharibi katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Russia yalaani 'ndoto ya kuchukiza' ya Uingereza ya kutaka kumteka nyara Putin

    Russia yalaani 'ndoto ya kuchukiza' ya Uingereza ya kutaka kumteka nyara Putin

    Jan 12, 2026 02:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, amemkejeli Waziri wa Ulinzi wa Uingereza kwa kusema kwamba angependelea kumteka nyara Rais wa Russia Vladimir Putin.

  • Russia yalaani 'uharamia' wa Marekani wa kukamata meli yake ya mafuta

    Russia yalaani 'uharamia' wa Marekani wa kukamata meli yake ya mafuta

    Jan 08, 2026 02:58

    Moscow imelaani vikali kitendo cha Marekani cha kukamata meli ya mafuta yenye bendera ya Russia katika Bahari ya Atlantic, na kuitaja hatua hiyo kama ukiukaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Sheria ya Bahari.

  • Ujumbe wa wazi kutoka Russia kwa Marekani na Israel; sitisheni vitisho dhidi ya Iran

    Ujumbe wa wazi kutoka Russia kwa Marekani na Israel; sitisheni vitisho dhidi ya Iran

    Jan 01, 2026 06:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amekosoa vikali vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema jamii ya kimataifa inapinga sera hizo za vitisho.

  • Radiamali ya Russia kwa vitisho vipya vya US, Israel dhidi ya Iran

    Radiamali ya Russia kwa vitisho vipya vya US, Israel dhidi ya Iran

    Dec 31, 2025 06:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amejibu vitisho vya hivi karibuni vilivyotolewa na Rais wa Marekani na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.

  • Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

    Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

    Dec 28, 2025 06:58

    Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa Moscow iko tayari kutumia nguvu za kijeshi kufikia malengo ya operesheni yake maalumu ya kijeshi iwapo Ukraine itaendelea kuchelewesha mazungumzo ya amani.

  • Russia yasisitiza haja ya kuundwa taifa huru la Palestina

    Russia yasisitiza haja ya kuundwa taifa huru la Palestina

    Dec 28, 2025 03:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kwamba, Moscow ingali inaunga mkono suuala la kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina.

  • Jenerali wa ngazi ya juu wa Russia auawa katika shambulio la kuvizia mjini Moscow

    Jenerali wa ngazi ya juu wa Russia auawa katika shambulio la kuvizia mjini Moscow

    Dec 22, 2025 07:14

    Wachunguzi wa Russia wamethibitisha kuwa Mkuu wa Kurugenzi ya Uendeshaji ya Mafunzo ya Vikosi vya Ulinzi vya Russia ameuawa baada ya mada ya mlipuko ilioyokuwa imetegwa chini ya gari yake kulipuka katika wilaya ya Yasenevo kusini mwa mji mkuu wa Russia, Moscow.

  • Lavrov: Kuimarishwa usalama ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya Afrika

    Lavrov: Kuimarishwa usalama ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya Afrika

    Dec 21, 2025 04:16

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuimarisha amani na usalama barani Afrika ni jambo muhimu ili kuhakikisha ustawi wa bara hilo na maendeleo endelevu, na ni kipengee muhimu katika kudumisha amani duniani.

  • Putin: Madai ya Magharibi kuwa Russia ni tishio ni urongo, upuuzi

    Putin: Madai ya Magharibi kuwa Russia ni tishio ni urongo, upuuzi

    Dec 18, 2025 06:55

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amepuuzilia mbali madai ya Magharibi kuhusu shambulio 'tarajiwa' kutoka Moscow na kuyaeleza kuwa "uongo na upuuzi," akisisitiza kwamba kauli hizo zinatolewa kwa makusudi ili kushadidisha hali ya taharuki na wasiwasi katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS