Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Jibu kali la Moscow kwa tishio la Marekani la kumuua Putin

    Jibu kali la Moscow kwa tishio la Marekani la kumuua Putin

    Dec 28, 2022 22:54

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa matamshi ya maafisa wa Marekani katika Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo Pentagon, kuhusu pigo la kukata kichwa cha Kremlin kwa hakika ni tishio la kutaka kumuua kigaidi Rais wa Russia.

  • Medvedev atabiri kugawanyika Marekani, Ulaya; Elon Musk kuwa rais wa Marekani mwaka 2023

    Medvedev atabiri kugawanyika Marekani, Ulaya; Elon Musk kuwa rais wa Marekani mwaka 2023

    Dec 28, 2022 00:54

    Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amewasilisha utabiri wake wa mwaka mpya wa 2023 unaojumuisha hatima mbaya kwa Merekani na Umoja wa Ulaya, ambazo zimekuwa kwenye mzozo mkali na Russia tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine tarehe 14 Februari mwaka huu.

  • Indhari ya Rais wa Venezuela kuhusu kufikia ubeberu wa Marekani katika hatua hatarishi zaidi

    Indhari ya Rais wa Venezuela kuhusu kufikia ubeberu wa Marekani katika hatua hatarishi zaidi

    Dec 27, 2022 22:27

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametahadharisha kuwa ubeberu wa Marekani umeingia katika hatua hatarishi zaidi na unajaribu kufanya kila njia ili kuzusha mapigano na kuwasha moto wa vita duniani.

  • Moscow yatoa onyo baada ya Washington kutishia kumuua Rais wa Russia

    Moscow yatoa onyo baada ya Washington kutishia kumuua Rais wa Russia

    Dec 27, 2022 03:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametoa indhari baada ya maafisa 'wasiojulikana' wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kutoa vitisho vya kumuua Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo.

  • Russia yapeleka manowari 3 za kubebea makombora Bahari Nyeusi

    Russia yapeleka manowari 3 za kubebea makombora Bahari Nyeusi

    Dec 25, 2022 06:59

    Russia imepeleka manowari tatu za kubebea makombora katika Bahari Nyeusi na kuziweka meli hizo za kivita katika hali ya tahadhari.

  • Matukio ya Ukraine na sisitizo la Macron la kupewa dhamana ya usalama Russia

    Matukio ya Ukraine na sisitizo la Macron la kupewa dhamana ya usalama Russia

    Dec 22, 2022 03:47

    Vita vya Ukraine vinaendelea kama vilivyo licha ya kuingia mwishoni mwa mwezi wake wa 10 tangu vianze, na hakuna ishara zozote za kumalizika karibuni vita hivyo. Kinachoonekana kwenye matukio ya hivi sasa ni kuzidi kuwa vikali tu vita hivyo.

  • Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Dec 21, 2022 03:54

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa jinai za kivita za Marekani na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) huko Afghanistan zimepuuzwa.

  • Russia yatungua makombora ya Marekani ya HARM

    Russia yatungua makombora ya Marekani ya HARM

    Dec 20, 2022 03:53

    Russia imesema vikosi vyake vya ulinzi wa anga vimefanikiwa kutungua makombora manne yaliyotengenezwa na Marekani ya HARM, katika anga ya eneo la Belgorod.

  • Iran: Madai ya Marekani kuhusu kushiriki kwetu vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Iran: Madai ya Marekani kuhusu kushiriki kwetu vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Dec 18, 2022 23:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya Shirika la Kijasusi la Marekani kuhusu ushirikiano wa Iran na Russia na tuhuma zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kuhusiana na vita vya Ukraine hayana msingi wowote, bali ni muendelezo tu wa vita vya kipropaganda vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Ghana yaituhumu Burkina Faso kwa kuwaajiri mamluki wa Russia wa

    Ghana yaituhumu Burkina Faso kwa kuwaajiri mamluki wa Russia wa "Wagner"

    Dec 16, 2022 23:33

    Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana amesema kuwa nchi jirani yake Burkina Faso imeandaa mpango na kundi la wanamgambo wa Russia la "Wagner" ili kuwatumia wanamgambo wa kundi hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS