-
Russia: Kuondoka majeshi ya Marekani Syria kutarahisisha na kuharakisha kuangamizwa magaidi
Aug 10, 2022 03:14Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema, kuondoka majeshi ya Marekani Syria kutarahisisha na kusahilisha kwa haraka zaidi kuangamizwa magaidi katika nchi hiyo.
-
Satalaiti ya Khayyam; hatua muhimu katika harakati ya Iran ya kuzitumia anga za mbali
Aug 09, 2022 21:00Waziri wa Habari na Mawasiliano na Teknolojia wa Iran Issa Zarepour ametangaza kuwa satalaiti ya Kiirani ya Khayyam jana Jumanne ilipaa kuelekea anga za mbali umbali wa kilomita 500 kutoka ardhini.
-
Medvedev: Rais wa Ukraine anafuata fikra za Adolf Hitler
Aug 09, 2022 20:51Rais wa zamani wa Russia amesema fikra, mienendo na misimamo ya Rais wa Ukraine inafanana na ya mtawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi, Adolf Hitler.
-
Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine
Aug 08, 2022 01:12Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Amnesty International limetoa ripoti mpya na kuilaumu serikali ya Ukraine kwa jinai za kivita ilizofanya dhidi ya raia na watu wasio na hatia wa nchi hiyo.
-
Russia: Tumeua makumi ya mamluki wa kigeni nchini Ukkraine
Aug 07, 2022 02:09Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limeua makumi ya mamluki wa kigeni katika shambulizi la anga dhidi ya kambi ya kijeshi ya kigeni nchini Ukraine.
-
Russia yautaka utawala wa Kizayuni ukomeshe jinai zake katika Ukanda wa Ghaza
Aug 07, 2022 02:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe mara moja jinai zake dhidi ya wananchi wa Ghaza na kwamba mashambulio hayo ya kivamizi ya Wazayuni hayahalalishiki kivyovyote vile.
-
Russia Today: Mgogoro wa uhaba wa ngano unaisukumiza dunia kwenye baa la njaa
Aug 06, 2022 22:28Chaneli ya televisheni ya Russia Today imeripoti kuwa uvunaji wa ngano nchini Russia unakabiliwa na hatari na kwamba jambo hilo linaweza kuielekeza dunia kwenye baa la njaa.
-
Onyo la Katibu Mkuu wa UN la kutokea vita vya nyuklia duniani
Aug 03, 2022 03:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu hatari ya kutokea vita vya nyuklia duniani. Alitoa onyo hilo Jumatatu, Agosti 1, 2022 wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kuangaliwa Upya Mkataba wa NPT wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia.
-
Russia yatungua ndege 13 zisizo na rubani za Ukraine kwa siku moja
Jul 31, 2022 02:57Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa imetungua ndege 13 zisizo na rubani za Ukraine katika kipindi cha siku moja.
-
Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne
Jul 27, 2022 08:45Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Russia ni rafiki mkubwa wa Afrika na imekuwa ikiunga mkono harakati za kupambana na ukoloni za mataifa ya bara hilo kwa zaidi ya miaka mia moja.