Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Kuondoka majeshi ya Marekani Syria kutarahisisha na kuharakisha kuangamizwa magaidi

    Russia: Kuondoka majeshi ya Marekani Syria kutarahisisha na kuharakisha kuangamizwa magaidi

    Aug 10, 2022 03:14

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema, kuondoka majeshi ya Marekani Syria kutarahisisha na kusahilisha kwa haraka zaidi kuangamizwa magaidi katika nchi hiyo.

  • Satalaiti ya Khayyam; hatua muhimu katika harakati ya Iran ya kuzitumia anga za mbali

    Satalaiti ya Khayyam; hatua muhimu katika harakati ya Iran ya kuzitumia anga za mbali

    Aug 09, 2022 21:00

    Waziri wa Habari na Mawasiliano na Teknolojia wa Iran Issa Zarepour ametangaza kuwa satalaiti ya Kiirani ya Khayyam jana Jumanne ilipaa kuelekea anga za mbali umbali wa kilomita 500 kutoka ardhini.

  • Medvedev: Rais wa Ukraine anafuata fikra za Adolf Hitler

    Medvedev: Rais wa Ukraine anafuata fikra za Adolf Hitler

    Aug 09, 2022 20:51

    Rais wa zamani wa Russia amesema fikra, mienendo na misimamo ya Rais wa Ukraine inafanana na ya mtawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi, Adolf Hitler.

  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine

    Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine

    Aug 08, 2022 01:12

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Amnesty International limetoa ripoti mpya na kuilaumu serikali ya Ukraine kwa jinai za kivita ilizofanya dhidi ya raia na watu wasio na hatia wa nchi hiyo.

  • Russia: Tumeua makumi ya mamluki wa kigeni nchini Ukkraine

    Russia: Tumeua makumi ya mamluki wa kigeni nchini Ukkraine

    Aug 07, 2022 02:09

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limeua makumi ya mamluki wa kigeni katika shambulizi la anga dhidi ya kambi ya kijeshi ya kigeni nchini Ukraine.

  • Russia yautaka utawala wa Kizayuni ukomeshe jinai zake katika Ukanda wa Ghaza

    Russia yautaka utawala wa Kizayuni ukomeshe jinai zake katika Ukanda wa Ghaza

    Aug 07, 2022 02:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe mara moja jinai zake dhidi ya wananchi wa Ghaza na kwamba mashambulio hayo ya kivamizi ya Wazayuni hayahalalishiki kivyovyote vile.

  • Russia Today: Mgogoro wa uhaba wa ngano unaisukumiza dunia kwenye baa la njaa

    Russia Today: Mgogoro wa uhaba wa ngano unaisukumiza dunia kwenye baa la njaa

    Aug 06, 2022 22:28

    Chaneli ya televisheni ya Russia Today imeripoti kuwa uvunaji wa ngano nchini Russia unakabiliwa na hatari na kwamba jambo hilo linaweza kuielekeza dunia kwenye baa la njaa.

  • Onyo la Katibu Mkuu wa UN la kutokea vita vya nyuklia duniani

    Onyo la Katibu Mkuu wa UN la kutokea vita vya nyuklia duniani

    Aug 03, 2022 03:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu hatari ya kutokea vita vya nyuklia duniani. Alitoa onyo hilo Jumatatu, Agosti 1, 2022 wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kuangaliwa Upya Mkataba wa NPT wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia.

  • Russia yatungua ndege 13 zisizo na rubani za Ukraine kwa siku moja

    Russia yatungua ndege 13 zisizo na rubani za Ukraine kwa siku moja

    Jul 31, 2022 02:57

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa imetungua ndege 13 zisizo na rubani za Ukraine katika kipindi cha siku moja.

  • Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne

    Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne

    Jul 27, 2022 08:45

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Russia ni rafiki mkubwa wa Afrika na imekuwa ikiunga mkono harakati za kupambana na ukoloni za mataifa ya bara hilo kwa zaidi ya miaka mia moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS