Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Oct 14, 2021 09:28

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, chaguo la kijeshi halihitajiki kuwa mbadala wa njia ya amani ili kuiwezesha China kuungana na Taiwan.

  • Ombi la Taliban kwa Russia kwa ajili ya kushiriki katika ujenzi mpya wa Afghanistan

    Ombi la Taliban kwa Russia kwa ajili ya kushiriki katika ujenzi mpya wa Afghanistan

    Oct 14, 2021 05:21

    Kundi la wanamgambo wa Taliban linaloongoza huko Afghanistan limetangaza kuwa linafanya mashauriano na Russia ili kupanua ushirikianao na kusaidiwa katika kuijenga upya nchi hiyo.

  • Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Oct 13, 2021 22:51

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa kiwango cha chini ya mapato ya aghalabu ya wananchi wa Russia ndio adui mkuu wa nchi hiyo na kueleza kuwa adui mkubwa zaidi wa Warussia ni mapatano ya kiwango cha chini ya mamilioni ya raia wa nchi hiyo.

  • Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan

    Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan

    Oct 09, 2021 04:26

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi wanachama katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Maghribi (NATO) zinapaswa kubeba jukumu kuu la kuijenga upya Afghanistan.

  • Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Oct 08, 2021 23:58

    Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.

  • Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Oct 07, 2021 23:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, matatizo ya baraza la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika na akaongeza kwamba Russia inaweza kuandaa mazingira ya kuwekwa askari wa kulinda amani barani humo.

  • Russia: OPCW imekuwa fimbo ya kisiasa ya Wamagharibi dhidi ya nchi nyingine

    Russia: OPCW imekuwa fimbo ya kisiasa ya Wamagharibi dhidi ya nchi nyingine

    Oct 05, 2021 23:35

    Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuzuia Matumizi ya Silaha za Kemikali (OPCW) linaelekea kuwa wenzo wa kisiasa unaotumiwa na nchi za Magharibi kwa ajili ya kuzinyanyasa nchi nyingine.

  • Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Oct 04, 2021 22:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuna tishio la kigaidi katika mkoa wa Idlib kaskazini mwa Syria na kwamba tishio hilo linaongezeka pia katika baadhi ya maeneo nchini humo.

  • Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Oct 03, 2021 01:09

    Naibu Kamanda wa Wilaya ya Kati ya Jeshi la Russia amesema kuwa jeshi la Marekani linawahamisha magaidi walioko Syria na kuwapeleka Afghanistan.

  • Baada ya kuzozana na Ufaransa, Mali yaamua kununua silaha kutoka Russia

    Baada ya kuzozana na Ufaransa, Mali yaamua kununua silaha kutoka Russia

    Oct 02, 2021 09:53

    Wakuu wa kijeshi nchini Mali wametangaza habari ya kuwasili nchini humo silaha kutoka Russia. Hatua hiyo imekuja baada ya kushadidi mzozo baina ya Mali na mkoloni kizee wa Ulaya, yaani Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS