Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China

    Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China

    Oct 01, 2021 09:46

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja baina ya nchi yake na China.

  • Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Sep 27, 2021 22:55

    Marekani imesema kuna uwezekano wa kuiwekea Uturuki vikwazo vipya kwa sababu ya ununuzi wa mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia.

  • Taliban yasisitiza nia yake ya kustawisha uhusiano na Iran na Russia

    Taliban yasisitiza nia yake ya kustawisha uhusiano na Iran na Russia

    Sep 25, 2021 03:50

    Msemaji wa kundi la Taliban ametaka kustawishwa uhusiano wa pande mbili kati ya kundi hilo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia.

  • Baada ya kuongezeka mzozo, wakuu wa majeshi ya Marekani na Russia wakutana Finland

    Baada ya kuongezeka mzozo, wakuu wa majeshi ya Marekani na Russia wakutana Finland

    Sep 23, 2021 01:07

    Baada ya kupamba moto mzozo katika uhusiano wa Marekani na Russia na kuingia kwenye hatua hatari na kufikia hadi viongozi wa Washington kusema kuwa Russia ni adui mkubwa wa Marekani kuliko China, juhudi za kupunguza mivutano hiyo zimeanza kuchukuliwa kupitia kukutanishwa wakuu wa majeshi ya nchi hizo mbili katika mji mkuu wa Finland, Halsinki.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi uliotokea kwenye chuo kikuu, Russia

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi uliotokea kwenye chuo kikuu, Russia

    Sep 20, 2021 06:18

    Watu wasiopungua wanane wameuawa na wengine wasiopungua 19 wamejeruhiwa baada ya mwanachuo aliyekuwa na silaha kufyatua risasi ndani ya jengo la chuo kikuu cha mji wa Perm ulioko umbali wa kilomita 1,800 mashariki ya mji mkuu wa Russia, Moscow.

  • Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China

    Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China

    Sep 19, 2021 02:46

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amedai kwamba kwa sasa Russia ni tishio kubwa kwa usalama wa nchi hiyo na Ulaya kuliko China.

  • Mfumo wa kupiga kura kwa njia ya elektroniki nchini Russia wahujumiwa na wadukuzi

    Mfumo wa kupiga kura kwa njia ya elektroniki nchini Russia wahujumiwa na wadukuzi

    Sep 18, 2021 03:42

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulinzi wa Haki ya Kujitawala ya Baraza la Seneti la Russia ametangaza kuwa, mfumo wa kupiga kura kwa njia ya elektroniki nchini humo umehujumiwa na wadukuzi kutoka nchi za Magharibi.

  • Russia yakosa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu haki za wanawake

    Russia yakosa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu haki za wanawake

    Sep 16, 2021 22:09

    Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa mjini New York amekiambia kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kwamba nchi za Magharibi zinatumia vigezo vya kindumakuwili kuhusu haki za wanawake huko Afghanistan na katika eneo la Idlib nchini Syria.

  • Gazeti la Russia: Iran imefelisha njama za Marekani katika Bodi ya Magavana ya IAEA

    Gazeti la Russia: Iran imefelisha njama za Marekani katika Bodi ya Magavana ya IAEA

    Sep 15, 2021 01:54

    Gazeti la Kommersant la Russia limeandika kuwa, Iran imefelisha njama za Marekani na waitifaki wake wa Ulaya za kutaka kutoa azimio dhidi ya Tehran katika kikao cha Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Zakharova: Lengo la Marekani huko Ukraine ni kuishinikiza Russia

    Zakharova: Lengo la Marekani huko Ukraine ni kuishinikiza Russia

    Sep 14, 2021 10:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa lengo la mpango wa Marekani eti wa kuimarisha demokrasia nchi ya Ukraine ni kuiweka chini ya mashinikizo Russia na kuyumbisha hali ya mambo katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS