Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Putin na Merkel wabainisha wasiwasi wao kufuatia kushtadi mapigano ya silaha huko Libya

    Putin na Merkel wabainisha wasiwasi wao kufuatia kushtadi mapigano ya silaha huko Libya

    Jun 10, 2020 03:20

    Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel wamesema kuwa wana wasiwasi kufuata kushtadi mapigano ya silaha huko Libya. Viongozi hao wawili wa Russia na Ujerumani wameeleza hayo katika mazungumzo waliyofanya kwa njia ya simu.

  • Russia yasajili dawa nyingine ya kutibu corona

    Russia yasajili dawa nyingine ya kutibu corona

    Jun 07, 2020 07:05

    Wizara ya Afya ya Russia imetangaza kwamba imesajili dawa nyingine iliyopewa jina la Levilimab kwa ajili ya kutibu wagonjwa wahututi wa corona.

  • Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 05, 2020 22:23

    Moja kati ya vipengee muhimu vya mapatano ya nyuklia ya maarufu kwa kifupi ka jina la JCPOA ni azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo lina kipengee kuhusu kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran miaka mitano baada ya kuanza kutekelezwa mapatano hayo.

  • Russia yakanusha madai ya US ya kutuma ndege za kivita Libya

    Russia yakanusha madai ya US ya kutuma ndege za kivita Libya

    May 27, 2020 11:21

    Russia imekadhibisha na kutaja kama upotoshaji madai ya Marekani kwamba Mosow imetuma ndege za kijeshi nchini Libya kwenda kuwasaidia wapiganaji wa Khalifa Haftar.

  • Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani

    Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani

    May 26, 2020 23:28

    Kuingia madarakani Rais Donald Trump wa Marekani huko White House mnamo tarehe 20 Januari 2017 kulifungua ukurasa mpya wa siasa za upande mmoja za nchi hiyo duniani.

  • Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    May 25, 2020 21:56

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna nchini Austria amesema wapinzani wa makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na madola makubwa duniani mwaka 2015 wanalenga kudunisha na kudhalilisha muamana na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Onyo la Russia kuhusu madhara ya hatua za Wazayuni dhidi ya Palestina

    Onyo la Russia kuhusu madhara ya hatua za Wazayuni dhidi ya Palestina

    May 24, 2020 02:39

    Hatua zilizo kinyume cha sheria na zisizo za kibinadamu za Israel dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina zimepamba moto sana katika miaka ya hivi karibuni. Mbali na kuwaua Wapalestina hasa katika Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni umeongeza sana kasi ya kupora ardhi za Wapalestina na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

  • Russia na Venezuela zakosoa hatua zisizo za kisheria za Marekani

    Russia na Venezuela zakosoa hatua zisizo za kisheria za Marekani

    May 22, 2020 02:00

    Tangu Rais Donald Trump mwenye kashfa nyingi wa Marekani aingie ikulu ya White House ameshadidisha siasa za uhasama dhidi ya Venezuela ambapo pia amefanya njama nyingi za kuiondoa madarakani serikali halali ya Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo sambamba na kuiwekea vikwazo vikali.

  • Russia yakanusha kuwepo mvutano katika uhusiano wake na Syria

    Russia yakanusha kuwepo mvutano katika uhusiano wake na Syria

    May 21, 2020 22:12

    Balozi wa Russia nchini Syria ametupilia mbali madai ya kuwepo hitilafu katika uhusiano wa serikali ya Moscow na Damascus.

  • Mtaalamu wa Russia: Waislamu wanasubiri miongozo ya Kiongozi Muadhamu kuhusu kuitetea Quds

    Mtaalamu wa Russia: Waislamu wanasubiri miongozo ya Kiongozi Muadhamu kuhusu kuitetea Quds

    May 19, 2020 20:20

    Mkuu wa chuo cha Ahlul-Bayti (as) cha nchini Russia amesema, hivi sasa Waislamu duniani wanasubiria miongozi ya Kiongozi Muadhamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika kubainisha ramani ya njia ya mapambano ya kuikomboa Palestina kwenye mazingira mapya ya hivi sasa duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS