Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    May 19, 2020 02:52

    Tarehe 8 Mei 2018, Marekani ilijitoa kijeuri katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA, lakini hivi sasa inafanya njama kubwa za kujaribu kuzuia utekelezaji wa makubaliano hayo hasa kipengee cha kuondolewa Iran vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020. Hata hivyo wajumbe wa Mashariki wa kundi la 4+1 yaani Russia na China wamepinga vikali njama hizo za Marekani.

  • Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?

    Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?

    May 16, 2020 02:05

    Tangu alipoingia madarkani Donald Trump huko Marekani, rais huyo mwenye majigambo mengi amekuwa akifuata siasa maalumu dhidi ya China na kuishinikiza Beijing katika pande mbalimbali.

  • Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 13, 2020 03:48

    Russia imesema itapinga jitihada zozote za Marekani za kutaka muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran uongezwe utakapomalizika mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 12, 2020 21:51

    Marekani imekuwa iking’ang’ania kutekeleza siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa" na kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran iwe ni vikwazo vya upande mmoja au vikwazo vinavyohusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hususan vikwazo vya silaha.

  • Russia: Marekani ilifanya kosa la kistratijia kujiondoa JCPOA

    Russia: Marekani ilifanya kosa la kistratijia kujiondoa JCPOA

    May 09, 2020 23:42

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa viongozi wa Marekani hawana uwezo wa kuandaa mazingira ya kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran.

  • Russia yatangaza mshikamano wake na watu wa Iran

    Russia yatangaza mshikamano wake na watu wa Iran

    May 07, 2020 22:19

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amewatumia barua viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akitangaza mshikamano wake na raia wa nchi hii kutokana na mapambano yao makubwa dhidi ya vikwazo haramu na vya upande mmoja vya Marekani katika mazingira ya sasa.

  • Russia yakosoa msimamo wa kinafiki wa Marekani kuhusu JCPOA na azimio 2231

    Russia yakosoa msimamo wa kinafiki wa Marekani kuhusu JCPOA na azimio 2231

    May 02, 2020 22:01

    Licha ya kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwezi Mei 2018, Marekani imekuwa na msimamo wa kinafiki na kimaslahi kuhusiana na mapatano hayo pamoja na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Upinzani wa madola ya Ulaya kwa takwa la Marekani la kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Upinzani wa madola ya Ulaya kwa takwa la Marekani la kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Apr 30, 2020 07:35

    Moja ya vipengee muhimu katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran baada ya miaka mitano tangu kuanza kutekelezwa makubaliano hayo.

  • Russia: Hatulitambui tangazo la serikali ya Haftar nchini Libya

    Russia: Hatulitambui tangazo la serikali ya Haftar nchini Libya

    Apr 29, 2020 22:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, serikali ya Moscow haikubali utawala wa kujitwika wa kiongozi wa wanamgambo wanaojiita 'Jeshi la Kitaifa la Libya' nchini humo.

  • Russia: Marekani inapaswa kutazama upya maamuzi yake yasiyo sahihi kuhusiana na Iran

    Russia: Marekani inapaswa kutazama upya maamuzi yake yasiyo sahihi kuhusiana na Iran

    Apr 28, 2020 20:19

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa mjini Geneva amesema kuwa Marekani inapaswa kutazama upya na kubadili maamuzi yake yasiyo sahihi kuhusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS