Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Mpango wa Pompeo wa kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Mpango wa Pompeo wa kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Apr 28, 2020 02:43

    Kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imepangwa kuwa, ifikapo tarehe 18 Oktoba 2020, vikwazo vya silaha dhidi ya Iran viondolewe.

  • Msimamo mmoja wa dunia dhidi ya mpango wa utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani kwa mpango huo

    Msimamo mmoja wa dunia dhidi ya mpango wa utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani kwa mpango huo

    Apr 26, 2020 20:10

    Serikali ya Rais Donald Trump imekuwa ikichukua hatua zisizo za kawaida katika kuunga mkono utawala haramu wa Kizayuni ambapo kati ya hatua hizo ni kuafiki rasmi suala la kuunganishwa maeneo ya Ukingo wa Magharibi na maeneo mengine yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo bandia.

  • Ombi la Trump kwa UN la kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kinyume na JCPOA

    Ombi la Trump kwa UN la kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kinyume na JCPOA

    Apr 20, 2020 01:34

    Kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA yenye baraka kamili za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, vikwazo vya kidhulma vya silaha ilivyowekewa Iran, vinapaswa viondolewe kikamilifu tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020.

  • Tahadhari ya Russia kuhusiana na kuutumia kisiasa mgogoro wa corona

    Tahadhari ya Russia kuhusiana na kuutumia kisiasa mgogoro wa corona

    Apr 16, 2020 23:53

    Katika kipindi hiki cha mgogoro wa mlipuko wa virusi vya corona, Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imeendeleza siasa zake zisizo za kibinadamu dhidi ya nchi hasimu na wapinzani wake, hususn katika kuzidisha vikwazo vya kiuchumi na kuzizuia kupata misaada ya kimataifa. Suala hili limekosolewa sana na madola mengine makubwa duniani.

  • Maseneta wa Marekani watishia 'kuichukulia hatua' Saudia

    Maseneta wa Marekani watishia 'kuichukulia hatua' Saudia

    Apr 11, 2020 09:19

    Maseneta wa Marekani wametishia kuangalia upya uhusiano wao na Saudi Arabia kutokana na hatua ya Riyadh ya kuendelea kuvutana na Russia juu ya bei ya mafuta ghafi ambayo imeiathiri pia Marekani.

  • Russia: Ripoti ya shirika la upigaji marufuku silaha za kemikali inapotosha ukweli kuhusu Syria

    Russia: Ripoti ya shirika la upigaji marufuku silaha za kemikali inapotosha ukweli kuhusu Syria

    Apr 10, 2020 23:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, ripoti iliyotolewa na shirika la upigaji marufuku silaha za kemikali kuhusu Syria inapotosha ukweli halisi wa kinachojiri nchini humo.

  • Mgogoro wa Corona na sisitizo la viongozi wa Russia la kufutwa vikwazo

    Mgogoro wa Corona na sisitizo la viongozi wa Russia la kufutwa vikwazo

    Apr 08, 2020 22:12

    Naibu Mkuu wa Baraza la Federesheni ya Russia amesisitizia udharura wa kufutwa vikwazo duniani kwa lengo la kukabiliana na tishio la Corona.

  • Hitilafu za Russia na Saudia kuhusiana na bidhaa ya mafuta zaahirisha mkutano wa OPEC+

    Hitilafu za Russia na Saudia kuhusiana na bidhaa ya mafuta zaahirisha mkutano wa OPEC+

    Apr 06, 2020 01:31

    Vita vya bei ya mafuta baina ya Russia na Saudi Arabia vilivyoanza baada ya kufeli mkutano wa mwanzoni mwa mwezi Machi uliopita wa OPEC+ mjini Vienna vimesababisha kuporomoka kwa bei ya bidhaa hiyo kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipini cha miaka 18 iliyopita.

  • Rais Vladimir Putin wa Russia ataka kupunguzwa ulizalishaji wa mafuta

    Rais Vladimir Putin wa Russia ataka kupunguzwa ulizalishaji wa mafuta

    Apr 03, 2020 23:56

    Rais Vladimir Putin wa Russia amewataka wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani kupunguza ulizashaji wa mafuta kwa lengo la kuimarisha bei.

  • Trump azikosoa Saudi Arabia na Russia kwa kuvuruga soko la mafuta

    Trump azikosoa Saudi Arabia na Russia kwa kuvuruga soko la mafuta

    Mar 31, 2020 02:29

    Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kuzikosoa Saudi Arabia na Russia kutokana na kuvuruga soko la mafuta, amesema kuwa Riyadh na Moscow zimepatwa na wendawazimu katika suala hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS