Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Upinzani wa mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 kwa msimamo wa IAEA kuhusu Iran

    Upinzani wa mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 kwa msimamo wa IAEA kuhusu Iran

    Mar 05, 2020 22:54

    Ripoti ya mwisho kabisa ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kuhusiana na miradi ya nyuklia ya Iran, mbali na kudai kwamba Tehran haikuchunga mipaka iliyowekwa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA, imetoa madai mengine mapya kuhusu Iran, mambo ambayo yamepingwa na mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 ambao unaundwa na nchi mbili za Russia na China.

  • Russia: Kurejea Iran kwenye utekelezaji kamili wa JCPOA kunategemea siasa za Marekani

    Russia: Kurejea Iran kwenye utekelezaji kamili wa JCPOA kunategemea siasa za Marekani

    Mar 04, 2020 04:05

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa amemkosoa mwandishi wa gazeti la Marekani la Wall Street Journal aliyetumia vibaya ripoti ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kuhusu kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake za JCPOA na kusisitiza kuwa, Tehran itarejea mara moja katika utekelezaji kamili wa mapatano hayo kama Marekani itajirekebisha na kubadilisha siasa zake.

  • Putin: Moscow haina nia ya kuingia vitani na nchi yoyote

    Putin: Moscow haina nia ya kuingia vitani na nchi yoyote

    Mar 02, 2020 10:07

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa radiamali yake kufuatia kushtadi mizozo kati ya nchi yake na Uturuki kuhusiana na kadhia ya Idlib, Syria na kusisitiza kwamba, Moscow haina nia ya kuingia vitani na nchi yoyote.

  • Baraza la Mamufti Russia lamshukuru Kiongozi Muadhamu kwa kuwatetea Wapalestina

    Baraza la Mamufti Russia lamshukuru Kiongozi Muadhamu kwa kuwatetea Wapalestina

    Mar 01, 2020 04:39

    Baraza la Mamufti la Russia limempongeza na kumshukuru Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei kwa kutetea haki halali za Wapalestina.

  • Wasiwasi wa Iran juu ya kushadidi machafuko katika eneo la magharibi mwa Asia

    Wasiwasi wa Iran juu ya kushadidi machafuko katika eneo la magharibi mwa Asia

    Feb 29, 2020 05:49

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kuhusiana na yanayojiri katika eneo la Idlib nchini Syria na kueleleza wasiwasi wa Tehran kuhusu uwezekano wa kushadidi zaidi mivutano na machafuko katika eneo hilo. Taarifa hiyo pia imelaani hatua zinazofanywa na pande nyingine kwa ajili ya kukwamisha mwenendo wa mazungumzo ya Astana.

  • Kufeli siasa za Uturuki mkoani Idlib, Syria

    Kufeli siasa za Uturuki mkoani Idlib, Syria

    Feb 28, 2020 23:08

    Wajumbe wa kisiasa wa Russia na Uturuki wamekutana mjini Ankara kujadiliana masuala ya kaskazini mwa Syria hasa ya mkoa wa Idlib.

  • Russia: tutapinga kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran

    Russia: tutapinga kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran

    Feb 26, 2020 23:24

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amevitaja vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kuwa kinyume cha sheria na kueleza kuwa Moscow itapinga juhudi zozote kwa lengo la kuirejeshea Tehran vikwazo vya Umoja wa Mataifa.

  • Dmitry Novikov: Corona ni silaha ya kibiolojia ya Marekani

    Dmitry Novikov: Corona ni silaha ya kibiolojia ya Marekani

    Feb 24, 2020 03:37

    Mwanachama wa Kamati ya Masuala ya Kimataifa ya Bunge la Russia (DUMA) amesema kuna uwezekano kwamba, virusi vya Corona ni silaha ya kibiolojia ya Marekani.

  • Marekani yafanya mazoezi ya vita vya kinyuklia dhidi Russia

    Marekani yafanya mazoezi ya vita vya kinyuklia dhidi Russia

    Feb 22, 2020 21:46

    Jeshi la Marekani limefanya mazoezi ya kuishambulia Russia kwa silaha za nyuklia huku mzozo ukizidi kutokota kati ya madola hayo mawili yenye uwezo mkubwa zaidi wa silaha za nyuklia duniani.

  • Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Feb 21, 2020 03:18

    Muelekeo wa madola ya Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima umekuwa wa kulikoloni, kulinyonya na kulipora utajiri wake bara hilo, pamoja na kuwakandamiza Waafrika wanaopigania nchi zo kuwa huru na kujitawala.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS