-
Waziri wa Miongozo ya Kiislamu wa Iran: Shahidi Nasrullah aliunganisha fikra na vitendo
Nov 10, 2024 03:39Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran, amesema kwamba Shahidi Hassan Nasrullah alikuwa shakhsia mwenye kutafakari na kuchambua mambo ipasavyo na kuongeza kuwa: Shahidi huyu wa daraja ya juu alikuwa ni mchanganyiko adimu wa uwezo wa fikra na kutenda."
-
Salehi: Mkwamo katika mapatano ya JCPOA umeanza kuondoka
Apr 03, 2021 07:28Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, mkwamo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA umeanza kuondoka na kuongeza kuwa, kwa vile hivi sasa mazungumzo kuhusu JCPOA yameingia katika hatua ya kiufundi na yameshatoka kwenye mivutano ya awali, maana yake ni kwamba mkwamo katika mazungumzo hayo umeanza kuondoka.
-
Salehi: Kazi muhimu zaidi ya Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran ni kuzalisha umeme wa nyuklia
Jan 18, 2021 07:56Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa uzalishaji umeme wa nyuklia ni kipaumbele na kazi muhimu zaidi ya taasisi hiyo.
-
Salehi: Ushirikiano wa Iran na Ulaya unaendelea katika miradi ya nyuklia
Feb 03, 2019 07:01Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa ushirikiano kati ya Iran na Ulaya katika miradi mbalimbali ya kinyuklia unapiga hatua nzuri.
-
Iran: Tutatoa jibu kali iwapo Marekani itakiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Apr 06, 2018 03:48Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amezitahadharisha nchi zinazotaka kuvuruga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kati ya Iran na nchi 6 wanachama wa kundi la 5+1 na kusisitiza kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa hatua kama hiyo.
-
Iran yasisitiza udharura wa kuondolewa vikwazo vya kibenki ili kulinda makubaliano ya JCPOA
Dec 11, 2017 03:34Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) amesema kuwa, kuondolewa vikwazo vya ushirikiano ukiwemo uga wa ushirikiano wa kibenki ni jambo la dharura kwa ajili ya kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Salehi: Marekani inafanya njama za kufuta makubaliano ya JCPOA
Nov 05, 2017 03:10Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Marekani inataka kuyasambaratisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa gharama za Iran.
-
Dakta Salehi: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA litakuwa la kushtukiza
Aug 10, 2017 13:58Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa, kama Iran ikitaka kutoa jibu kwa ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Utekelezaji wa Pamoja (JCPOA) basi jibu lake litakuwa ni la kushtukiza.
-
Salehi: Machaguo yote yako mezani endapo Marekani itakiuka JCPOA
Aug 08, 2017 14:49Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) Ali Akbar Salehi amesema Tehran itaweka machaguo yote mezani endapo Marekani itakiuka makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 yaliyosainiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi zinazounda kundi la 5+1.
-
Jibu la Iran kwa ukiukaji wa Marekani wa JCPOA, ni kurutubisha SWU laki moja
Feb 07, 2017 07:17Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa jibu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA utakaofanywa na serikali ya Marekani litakuwa ni kurutubisha Separative Work Unit (SWU) laki moja.