-
Serikali ya Uingereza yazidi kukosolewa kwa kuiuzia Saudia silaha
Jan 27, 2016 23:44Matokeo ya utafiti uliofanywa na Umoja wa Mataifa kuhusiana na mashambulizi makubwa yanayofanywa na Saudi Arabia dhidi ya raia huko Yemen yamezidisha mashinikizo kwa serikali ya Uingereza kutokana na hatua yake ya kuiuzia silaha Riyadh.
-
UN: Mashambulizi ya Saudia yanalenga raia Yemen
Jan 27, 2016 05:32Kamati ya wataalamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa Saudi Arabia na waitifaki wake wamekiuka haki za binadamu na sheria za kimataifa katika uvamizi na mashambulizi yao dhidi ya Yemen.