-
Saudia yazidi kushutumiwa kwa kuvunja haki za binadamu
Feb 21, 2021 00:43Dada wa mwanaharakati mmoja wa masuala ya kijamii wa Saudi Arabia ameushutumu vikali utawala wa ukoo wa Aal Saud kwa kuwatesa na kuwakandamiza wakosoaji wa utawala huo wa kiimla.
-
Ansarullah yatoa indhari kwa mashirika ya ndege kutotumia viwanja vya ndege vya Saudia
Feb 11, 2021 04:33Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Asarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Utawala wa Aal Saud unatumia viwanja vya ndege vya Saudia kutekeleza mashambulizi dhidi ya Yemen na kuyatahadharisha mashirika ya ndege kutotumia viwanja hivyo.
-
Abdulsalam: Martin Griffiths ni Muingereza katika joho la Umoja wa Mataifa
Feb 10, 2021 04:18Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema kuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Yemen, Martin Griffiths, ni Muingereza aliyevaa joho la Umoja wa Mataifa.
-
Mjumbe Maalumu wa UN nchini Yemen afanya mazungumzo na mshauri wa Zarif
Feb 08, 2021 04:33Mjumbe Malumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amefanya mazungumzo na mshauri maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambapo wamejadili matukio ya hivi karibuni ya Yemen.
-
Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati
Jan 30, 2021 04:22Serikali ya Italia imesimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, baada ya wanaharakati na wabunge wa nchi hiyo ya Ulaya kuonya kuwa, silaha hizo zinatumika kukanyaga haki za binadamu nchini Yemen.
-
Saudia yashambulia mara 13 ndani ya siku moja mikoa ya Sa'dah na Ma'rib nchini Yemen
Jan 25, 2021 09:00Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeshambulia mara 13 katika muda wa saa 24 zilizopita maeneo tofauti ya mikoa ya Sa'dah na Ma'rib, ikiwa ni katika mwendelezo wa hujuma zake dhidi ya maeneo ya makazi ya raia nchini Yemen.
-
Marekani, Saudia na Israel zinachochea hujuma za kigaidi Iraq
Jan 25, 2021 04:20Harakati ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imesema hujuma za kigaidi ambazo zimetekelezwa na kundi la kigaidi la ISIS nchini humo zinachochewa na muungano wa Marekani, Saudi Arabia na Israel.
-
Amir wa Qatar kuhudhuria mkutano wa GCC leo baada ya Saudia kuifungulia Doha mipaka yake yote
Jan 05, 2021 03:43Qatar imethibitisha kuwa kiongozi wa nchi hiyo Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani atahudhuria mkutano wa 41 wa wakuu wa nchi wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) unaofanyika leo katika mji wa Al-Ula nchini Saudi Arabia.
-
Mamluki wa Saudia wahujumu harusi nchini Yemen, waua watu watano
Jan 02, 2021 09:31Mamluki wanaoungwa mkono na Saudi Arabia wamevamia sherehe ya harusi katika mji wa bandarini wa Al Hudaydah nchini Yemen na kuua watu wasiopungua watano na kuwajeruhi wengine kadhaa wakiwemo wanawake saba.
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia
Dec 30, 2020 02:47Katika mwendelezo wa siasa za White House zinazolenga kuuza silaha zaidi; Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa imeafiki kutekelezwa mikataba ya kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudi Arabia.