-
Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari kwa waandishi habari mwaka 2020
Dec 29, 2020 02:39Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari sana kwa waandishi habari katika mwaka huu wa 2020.
-
Serikali ya Trump yaamua kuiuzia Saudia mabomu licha ya upinzani wa Wademocrat
Dec 24, 2020 09:17Serikali ya Marekani imeamua kutoa kibali cha kuruhusu kuiuzia Saudia mabomu; hatua ambayo imepingwa vikali na wabunge wa chama cha Democrat.
-
Wanazuoni kadhaa wa Kishia wamekamatwa Saudi Arabia
Dec 22, 2020 21:24Wanazuoni zaidi ya 12 wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia wanashikiliwa bila kufunguliwa mashtaka nchini Saudi Arabia huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.
-
Saudia yabadilisha vitabu vya masomo ili kuuridhisha utawala wa Kizayuni
Dec 20, 2020 23:29Duru za habari zimearifu kuwa, Saudi Arabia imebadilisha vitabu vya masomo ya wanafunzi wa shule nchini humo kulingana na matakwa ya utawala haramu wa Kizayuni.
-
Bin Salman na Bin Zayed wafanya kikao cha faragha kuijadili Qatar
Dec 20, 2020 10:28Baadhi ya duru za kuaminika zimeripoti kuwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na mwenzake wa Imarati (UAE) wamefanya kikao cha faragha cha kuzungumzia kadhia ya Qatar.
-
Mwanaharakati mwanamke wa Saudia sasa atuhumiwa kufanya ujasusi dhidi ya nchi hiyo
Dec 06, 2020 03:46Mwanaharakati mwanamke mtetezi wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia ambaye amefungwa jela kwa kupigania kuondolewa marufuku ya wanawake kuendesha gari sasa anakabiliwa na mashtaka ya kufanya ujasusi kwa manufaa ya baadhi ya nchi za Ulaya.
-
Khatibzadeh: Uhawabi ndio chimbuko la chuki na ugaidi katika eneo na nje yake
Dec 04, 2020 03:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, makundi yote ya kigaidi katika eneo la Asia Magharibi yamepewa mafunzo ya elimu katika madrasa zinazofadhiliwa kifedha na Saudi Arabia.
-
Baraza la Maulamaa Wakuu wa Saudia laishambulia vikali Ikhwanul Muslimin ya Misri
Nov 11, 2020 11:33Baraza la Maulamaa Wakuu wa Saudi Arabia limeiita harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin ya Misri "kundi la kigaidi" na kudai kwamba fikra zote za kufurutu mpaka katika Uislamu zimetokana na harakati hiyo.
-
Kukosoa Maulamaa wa Afghanistan kimya cha Saudi Arabia mbele ya kuvunjiwa heshima Bwana Mtume SAW
Nov 01, 2020 23:02Maulamaa nchini Afghanistan wamekosoa vikali kimya cha Saudi Arabia mbele ya kuvunjiwa heshima Bwana Mtume SAW.
-
Amnesty: Mwakilishi wa HAMAS aliyeko jela Saudia amewekwa kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu
Oct 06, 2020 00:11Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limesema, mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS aliyeko jela nchini Saudi Arabia anaishi kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu.