Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Saudia kupokea mahujaji wa ibada ya Umra mwezi mmoja ujao

    Saudia kupokea mahujaji wa ibada ya Umra mwezi mmoja ujao

    Oct 03, 2020 23:16

    Serikali ya Saudi Arabia imetangaza kuwa itaanza kupokea mahujaji wa kigeni wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya ibada ya Umra mwezi mmoja ujao baada ya ibada hiyo kusitishwa kwa miezi 8.

  • Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia

    Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia

    Oct 02, 2020 04:37

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia.

  • Bunge la Ulaya lataka kusitishwa mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia na Imarati

    Bunge la Ulaya lataka kusitishwa mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia na Imarati

    Sep 15, 2020 07:30

    Bunge la Ulaya limetoa wito wa kupasishwa muswada wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Mfalme wa Saudia atoa sharti kwa Marekani kabla nchi yake kuanzisha uhusiano na Israel

    Mfalme wa Saudia atoa sharti kwa Marekani kabla nchi yake kuanzisha uhusiano na Israel

    Sep 07, 2020 09:48

    Mfalme Salman bin Abdul-aziz wa Saudi Arabia amesema, nchi yake itaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa sharti la kuundwa kwanza nchi huru ya Palestina.

  • UN: Muungano wa Saudia ungali unaishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku

    UN: Muungano wa Saudia ungali unaishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku

    Sep 02, 2020 10:35

    Umoja wa Mataifa umeeleza katika ripoti kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia unatumia mabomu yaliyopigwa marufuku ya vishada katika mashambulio yake dhidi ya mji wa al Hudaydah, magharibi mwa Yemen.

  • Amnesty yaitaka Saudia imwachie huru mwakilishi wa Hamas na mwanawe

    Amnesty yaitaka Saudia imwachie huru mwakilishi wa Hamas na mwanawe

    Aug 21, 2020 07:15

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty international limeeleza wasiwasi wake kuhusu afya ya mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS, anayeshikiliwa jela nchini Saudi Arabia akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani.

  • Iran yapinga kimya cha wakala wa IAEA kuhusu shughuli za nyuklia za Saudia

    Iran yapinga kimya cha wakala wa IAEA kuhusu shughuli za nyuklia za Saudia

    Aug 14, 2020 22:29

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amepinga kimya cha Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu shughuli za siri za nyuklia za Saudi Arabia na silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ripota wa UN: Mafaili zaidi ya timu za mauaji za utawala wa Saudia yako njia

    Ripota wa UN: Mafaili zaidi ya timu za mauaji za utawala wa Saudia yako njia

    Aug 11, 2020 03:37

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuhusu faili jipya la mrithi wa ufalme wa Saudia wa kuhusika na jaribio la kumuua afisa wa zamani wa intelijensia wa nchi hiyo aliyekimbilia Canada kuwa, mafaili zaidi ya timu za mauaji za Saudia yako njia na yatafichuliwa karibuni.

  • EU yaikosoa Saudi Arabia kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    EU yaikosoa Saudi Arabia kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    Aug 10, 2020 20:58

    Umoja wa Ulaya umeikosoa Saudi Arabia kutokana na kamatakamata na vifungo vya muda mrefu dhidi ya watetezi wa haki za wanawake nchini humo.

  • Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani

    Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani

    Aug 09, 2020 23:55

    Mjumbe wa Kamati ya Uhusiano wa Kigeni ya Bunge la Iraq amesema kuwa bunge hilo na jumuiya za wananchi zinafanya jitihada za kufungua faili la vibaraka wa Saudi Arabia wenye mfungamano na Marekani nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS