-
Saudia kupokea mahujaji wa ibada ya Umra mwezi mmoja ujao
Oct 03, 2020 23:16Serikali ya Saudi Arabia imetangaza kuwa itaanza kupokea mahujaji wa kigeni wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya ibada ya Umra mwezi mmoja ujao baada ya ibada hiyo kusitishwa kwa miezi 8.
-
Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia
Oct 02, 2020 04:37Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia.
-
Bunge la Ulaya lataka kusitishwa mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia na Imarati
Sep 15, 2020 07:30Bunge la Ulaya limetoa wito wa kupasishwa muswada wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Mfalme wa Saudia atoa sharti kwa Marekani kabla nchi yake kuanzisha uhusiano na Israel
Sep 07, 2020 09:48Mfalme Salman bin Abdul-aziz wa Saudi Arabia amesema, nchi yake itaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa sharti la kuundwa kwanza nchi huru ya Palestina.
-
UN: Muungano wa Saudia ungali unaishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku
Sep 02, 2020 10:35Umoja wa Mataifa umeeleza katika ripoti kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia unatumia mabomu yaliyopigwa marufuku ya vishada katika mashambulio yake dhidi ya mji wa al Hudaydah, magharibi mwa Yemen.
-
Amnesty yaitaka Saudia imwachie huru mwakilishi wa Hamas na mwanawe
Aug 21, 2020 07:15Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty international limeeleza wasiwasi wake kuhusu afya ya mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS, anayeshikiliwa jela nchini Saudi Arabia akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani.
-
Iran yapinga kimya cha wakala wa IAEA kuhusu shughuli za nyuklia za Saudia
Aug 14, 2020 22:29Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amepinga kimya cha Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu shughuli za siri za nyuklia za Saudi Arabia na silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ripota wa UN: Mafaili zaidi ya timu za mauaji za utawala wa Saudia yako njia
Aug 11, 2020 03:37Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuhusu faili jipya la mrithi wa ufalme wa Saudia wa kuhusika na jaribio la kumuua afisa wa zamani wa intelijensia wa nchi hiyo aliyekimbilia Canada kuwa, mafaili zaidi ya timu za mauaji za Saudia yako njia na yatafichuliwa karibuni.
-
EU yaikosoa Saudi Arabia kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu
Aug 10, 2020 20:58Umoja wa Ulaya umeikosoa Saudi Arabia kutokana na kamatakamata na vifungo vya muda mrefu dhidi ya watetezi wa haki za wanawake nchini humo.
-
Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani
Aug 09, 2020 23:55Mjumbe wa Kamati ya Uhusiano wa Kigeni ya Bunge la Iraq amesema kuwa bunge hilo na jumuiya za wananchi zinafanya jitihada za kufungua faili la vibaraka wa Saudi Arabia wenye mfungamano na Marekani nchini Iraq.