-
Uhispania yafuta mkataba wa kuiuzia Saudia mabomu 400
Sep 04, 2018 09:06Uhispania imetangaza kubatilisha mkataba wa kuiuzia Saudi Arabia mabomu 400 yenye thamani ya Euro milioni 9.2 kufuatia jinai za hivi karibuni za muungano unaoongozwa na Saudia ambao umeua idadi kubwa ya watoto Wayemen.
-
Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria
Sep 03, 2018 03:24Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, kukombolewa mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria ambayo ni ngome ya mwisho ya magaidi katika nchi hiyo litakuwa pigo kubwa kwa Magharibi, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia.
-
Majeshi wa majini ya Yemen yalenga meli ya kivita ya Saudia pwani ya Jizan
Sep 01, 2018 21:50Majeshi ya majini ya Yemen, yakishirikiana na Kamati za Wananchi, yamelenga meli ya kivita ya Saudia katika eneo la mpakani la Jizan kusini magharibi mwa Saudi Arabia.
-
Saudia na Imarati zinailaghai Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne
Aug 31, 2018 23:38Mbunge wa Jordan, Khalid Ramadhan amefichua hila na ulaghai mpya unaofanywa na Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati wa kuishawishi Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa kuiangamiza Palestina unaojulikana kama "Muamala wa Karne".
-
Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen
Aug 31, 2018 02:02Balozi wa Qatar nchini Marekani amezishutumu Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa na ushirikiano wa siri na magaidi wa al-Qaeda nchini Yemen.
-
London yapiga marufuku matangazo ya kujitafutia sifa Bin Salman katika televisheni ya Uingereza
Aug 29, 2018 10:42Idara ya Mawasiliano ya Uingereza OFCOM imezuia matangazo yanayolipiwa na mrithi wa kitu cha ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman ambaye anatumia matangazo hayo kujitafutia sifa na kutangaza siasa zake anazoziendesha nchini Saudia kupitia televisheni za Uingereza.
-
Jeshi la Yemen: Saudia inatumia mapato ya Hija kuua watu wa Yemen
Aug 28, 2018 04:26Naibu msemaji wa jeshi la Yemen amesema kuwa mapato yanayotokana na Hija yanatumiwa na Saudi Arabia kwa ajili ya kuua Waislamu nchini Yemen.
-
Ethiopia yafanya juhudi za kuachiwa huru tajiri wa nchi hiyo aliyetiwa mbaroni Saudia
Aug 26, 2018 03:21Waziri Mkuu wa Ethiopia amesisitiza kuwa nchi hiyo inaendelea kufanya juhudi za kuhakikisha kuwa mfanyabishara aliyekamatwa nchini Saudi Arabia anaachiwa huru.
-
Saudi Arabia yaizuia meli iliyobeba mafuta iliyokuwa ikielekea Yemen
Aug 26, 2018 02:46Muungano vamizi huko Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia umeizuia meli moja iliyokuwa imepakia bidhaa za mafuta iliyokuwa ikielekea katika bandari ya al Hudaydah magharibi mwa Yemen.
-
Canada yaikosoa tena Saudia kwa kumhukumu kifo mwanaharakati wa haki za binadamu
Aug 23, 2018 03:23Serikali ya Canada imekosoa tena ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Saudi Arabia hususan hatua ya utawala huo wa kifalme ya kumhukumu kifo mwanaharakati mwanamke wa haki za binadamu.