Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Uhispania yafuta mkataba wa kuiuzia Saudia mabomu 400

    Uhispania yafuta mkataba wa kuiuzia Saudia mabomu 400

    Sep 04, 2018 09:06

    Uhispania imetangaza kubatilisha mkataba wa kuiuzia Saudi Arabia mabomu 400 yenye thamani ya Euro milioni 9.2 kufuatia jinai za hivi karibuni za muungano unaoongozwa na Saudia ambao umeua idadi kubwa ya watoto Wayemen.

  • Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria

    Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria

    Sep 03, 2018 03:24

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, kukombolewa mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria ambayo ni ngome ya mwisho ya magaidi katika nchi hiyo litakuwa pigo kubwa kwa Magharibi, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia.

  • Majeshi wa majini ya Yemen yalenga meli ya kivita ya Saudia pwani ya Jizan

    Majeshi wa majini ya Yemen yalenga meli ya kivita ya Saudia pwani ya Jizan

    Sep 01, 2018 21:50

    Majeshi ya majini ya Yemen, yakishirikiana na Kamati za Wananchi, yamelenga meli ya kivita ya Saudia katika eneo la mpakani la Jizan kusini magharibi mwa Saudi Arabia.

  • Saudia na Imarati zinailaghai Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne

    Saudia na Imarati zinailaghai Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne

    Aug 31, 2018 23:38

    Mbunge wa Jordan, Khalid Ramadhan amefichua hila na ulaghai mpya unaofanywa na Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati wa kuishawishi Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa kuiangamiza Palestina unaojulikana kama "Muamala wa Karne".

  • Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Aug 31, 2018 02:02

    Balozi wa Qatar nchini Marekani amezishutumu Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa na ushirikiano wa siri na magaidi wa al-Qaeda nchini Yemen.

  • London yapiga marufuku matangazo ya kujitafutia sifa Bin Salman katika televisheni ya Uingereza

    London yapiga marufuku matangazo ya kujitafutia sifa Bin Salman katika televisheni ya Uingereza

    Aug 29, 2018 10:42

    Idara ya Mawasiliano ya Uingereza OFCOM imezuia matangazo yanayolipiwa na mrithi wa kitu cha ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman ambaye anatumia matangazo hayo kujitafutia sifa na kutangaza siasa zake anazoziendesha nchini Saudia kupitia televisheni za Uingereza.

  • Jeshi la Yemen: Saudia inatumia mapato ya Hija kuua watu wa Yemen

    Jeshi la Yemen: Saudia inatumia mapato ya Hija kuua watu wa Yemen

    Aug 28, 2018 04:26

    Naibu msemaji wa jeshi la Yemen amesema kuwa mapato yanayotokana na Hija yanatumiwa na Saudi Arabia kwa ajili ya kuua Waislamu nchini Yemen.

  • Ethiopia yafanya juhudi za kuachiwa huru tajiri wa nchi hiyo aliyetiwa mbaroni Saudia

    Ethiopia yafanya juhudi za kuachiwa huru tajiri wa nchi hiyo aliyetiwa mbaroni Saudia

    Aug 26, 2018 03:21

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amesisitiza kuwa nchi hiyo inaendelea kufanya juhudi za kuhakikisha kuwa mfanyabishara aliyekamatwa nchini Saudi Arabia anaachiwa huru.

  • Saudi Arabia yaizuia meli iliyobeba mafuta iliyokuwa ikielekea Yemen

    Saudi Arabia yaizuia meli iliyobeba mafuta iliyokuwa ikielekea Yemen

    Aug 26, 2018 02:46

    Muungano vamizi huko Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia umeizuia meli moja iliyokuwa imepakia bidhaa za mafuta iliyokuwa ikielekea katika bandari ya al Hudaydah magharibi mwa Yemen.

  • Canada yaikosoa tena Saudia kwa kumhukumu kifo mwanaharakati wa haki za binadamu

    Canada yaikosoa tena Saudia kwa kumhukumu kifo mwanaharakati wa haki za binadamu

    Aug 23, 2018 03:23

    Serikali ya Canada imekosoa tena ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Saudi Arabia hususan hatua ya utawala huo wa kifalme ya kumhukumu kifo mwanaharakati mwanamke wa haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS