Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Kamata kamata yaendelea nchini Saudi Arabia

    Kamata kamata yaendelea nchini Saudi Arabia

    Aug 19, 2018 23:25

    Birjas Hamoud al Birjas, Mshauri wa zamani wa Kampuni ya Mafuta na Gesi Asilia ya Saudi Arabia (ARAMCO) ambayo ni kampuni kubwa zaidi ya mafuta nchini humo pia ametiwa mbaroni katika kamatakamata inayoendelea nchini Saudia.

  • Bomu lililotumika kuua watoto Yemen liliundwa Marekani

    Bomu lililotumika kuua watoto Yemen liliundwa Marekani

    Aug 19, 2018 02:38

    Wataalamu wa silaha wamethibitisha kuwa bomu ambalo lilitumiwa na ndege za kivita za Saudia hivi karibuni kushambulia basi la shule na kuua makumi ya watoto lilitengenezwa Marekani.

  • Saudia inadhamini nakisi ya bajeti yake kwa kuongeza gharama za Hija

    Saudia inadhamini nakisi ya bajeti yake kwa kuongeza gharama za Hija

    Aug 18, 2018 23:38

    Saudi Arabia inakidhi nakisi ya bajeti yake ya mwaka kwa kuzidisha gharama za ibada ya Hija, suala ambalo limewakasirisha mahujaji kutoka nchi mbalimbali hususan mahujaji kutoka Misri.

  • Uhispania kutazama upya mazingira ya kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Uhispania kutazama upya mazingira ya kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Aug 14, 2018 22:02

    Sambamba na kuendelea uvamizi na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen ambayo imekuwa ikisababisha mauaji ya kikatili dhidi ya raia na hata watoto wadogo, serikali ya Uhispania imetangaza kuwa, inatazama upya mazingira ya kuiuzia silaha na zana za kijeshi Riyadh pamoja na mataifa mengine yaliyoko katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala wa Aal Saud.

  • Watunisia waandamana kulalamikia ubaguzi wa Saudia katika kutoa viza kwa ajili ya Hijja

    Watunisia waandamana kulalamikia ubaguzi wa Saudia katika kutoa viza kwa ajili ya Hijja

    Aug 14, 2018 10:33

    Raia wa Tunisia wamefanya maandamano kulalamikia siasa za kibaguzi zinazotekelezwa na Saudi Arabia katika kutoa viza kwa ajili ya kushiriki ibada ya Hijja ya mwaka huu.

  • Wairani zaidi ya elfu 80 wameelekea Makka kwa ajili ya ibada ya Hija

    Wairani zaidi ya elfu 80 wameelekea Makka kwa ajili ya ibada ya Hija

    Aug 14, 2018 04:50

    Afisa wa msafara wa ibada ya Hija wa Iran amesema kuwa hadi kufikia Jumatatu ya jana karibu Wairani elfu 80 walikuwa wameelekea katika miji mitakatifu ya Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija.

  • Waislamu wa Canada waandamana kupinga hatua ya Saudia ya kuwazuia kwenda kuhiji Makka

    Waislamu wa Canada waandamana kupinga hatua ya Saudia ya kuwazuia kwenda kuhiji Makka

    Aug 12, 2018 10:18

    Waislamu nchini Canada wamefanya maandamano wakipinga siasa za utawala wa kifalme wa Saudi Arabia za kuwazuia kwenda kutekeleza ibada ya Hija katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.

  • Iran yalaani vikali mauaji ya makumi ya watoto wa shule Yemen, yasema ni jinai ya kivita

    Iran yalaani vikali mauaji ya makumi ya watoto wa shule Yemen, yasema ni jinai ya kivita

    Aug 09, 2018 11:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran anelaani vikali jinai na mauaji yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mkoa wa Saada na kusema kuwa kitendo hicho ni jinai ya kivita.

  • Amnesty International yakosoa kimya cha Wamagharibi kwa miamala mibaya ya Saudia kwa wapinzani

    Amnesty International yakosoa kimya cha Wamagharibi kwa miamala mibaya ya Saudia kwa wapinzani

    Aug 08, 2018 09:54

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limekosoa vikali kimya cha madola ya Magharibi kuhusiana na muamala mbaya wa serikali ya Saudi Arabia dhidi ya wapinzani na wanaharakati wa kiraia.

  • Saudia yasimamisha safari za ndege kwenda Canada na mabadilishano ya wanafunzi

    Saudia yasimamisha safari za ndege kwenda Canada na mabadilishano ya wanafunzi

    Aug 07, 2018 03:50

    Kufuatia hatua ya serikali ya Canada kuukosoa utawala wa Aal-Saudia kutokana na utawala huo kuzidisha kamatakamata dhidi ya wanaharakati wa haki za binadamu nchini humo, shirika la ndege la Saudia limetangaza kusimamisha safari zake kwenda au kutokka Canada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS