-
Kamata kamata yaendelea nchini Saudi Arabia
Aug 19, 2018 23:25Birjas Hamoud al Birjas, Mshauri wa zamani wa Kampuni ya Mafuta na Gesi Asilia ya Saudi Arabia (ARAMCO) ambayo ni kampuni kubwa zaidi ya mafuta nchini humo pia ametiwa mbaroni katika kamatakamata inayoendelea nchini Saudia.
-
Bomu lililotumika kuua watoto Yemen liliundwa Marekani
Aug 19, 2018 02:38Wataalamu wa silaha wamethibitisha kuwa bomu ambalo lilitumiwa na ndege za kivita za Saudia hivi karibuni kushambulia basi la shule na kuua makumi ya watoto lilitengenezwa Marekani.
-
Saudia inadhamini nakisi ya bajeti yake kwa kuongeza gharama za Hija
Aug 18, 2018 23:38Saudi Arabia inakidhi nakisi ya bajeti yake ya mwaka kwa kuzidisha gharama za ibada ya Hija, suala ambalo limewakasirisha mahujaji kutoka nchi mbalimbali hususan mahujaji kutoka Misri.
-
Uhispania kutazama upya mazingira ya kuiuzia silaha Saudi Arabia
Aug 14, 2018 22:02Sambamba na kuendelea uvamizi na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen ambayo imekuwa ikisababisha mauaji ya kikatili dhidi ya raia na hata watoto wadogo, serikali ya Uhispania imetangaza kuwa, inatazama upya mazingira ya kuiuzia silaha na zana za kijeshi Riyadh pamoja na mataifa mengine yaliyoko katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala wa Aal Saud.
-
Watunisia waandamana kulalamikia ubaguzi wa Saudia katika kutoa viza kwa ajili ya Hijja
Aug 14, 2018 10:33Raia wa Tunisia wamefanya maandamano kulalamikia siasa za kibaguzi zinazotekelezwa na Saudi Arabia katika kutoa viza kwa ajili ya kushiriki ibada ya Hijja ya mwaka huu.
-
Wairani zaidi ya elfu 80 wameelekea Makka kwa ajili ya ibada ya Hija
Aug 14, 2018 04:50Afisa wa msafara wa ibada ya Hija wa Iran amesema kuwa hadi kufikia Jumatatu ya jana karibu Wairani elfu 80 walikuwa wameelekea katika miji mitakatifu ya Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija.
-
Waislamu wa Canada waandamana kupinga hatua ya Saudia ya kuwazuia kwenda kuhiji Makka
Aug 12, 2018 10:18Waislamu nchini Canada wamefanya maandamano wakipinga siasa za utawala wa kifalme wa Saudi Arabia za kuwazuia kwenda kutekeleza ibada ya Hija katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
-
Iran yalaani vikali mauaji ya makumi ya watoto wa shule Yemen, yasema ni jinai ya kivita
Aug 09, 2018 11:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran anelaani vikali jinai na mauaji yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mkoa wa Saada na kusema kuwa kitendo hicho ni jinai ya kivita.
-
Amnesty International yakosoa kimya cha Wamagharibi kwa miamala mibaya ya Saudia kwa wapinzani
Aug 08, 2018 09:54Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limekosoa vikali kimya cha madola ya Magharibi kuhusiana na muamala mbaya wa serikali ya Saudi Arabia dhidi ya wapinzani na wanaharakati wa kiraia.
-
Saudia yasimamisha safari za ndege kwenda Canada na mabadilishano ya wanafunzi
Aug 07, 2018 03:50Kufuatia hatua ya serikali ya Canada kuukosoa utawala wa Aal-Saudia kutokana na utawala huo kuzidisha kamatakamata dhidi ya wanaharakati wa haki za binadamu nchini humo, shirika la ndege la Saudia limetangaza kusimamisha safari zake kwenda au kutokka Canada.