Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Hizbullah: Saudia inakwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon

    Hizbullah: Saudia inakwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon

    Aug 05, 2018 20:50

    Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kitendo cha baadhi ya mirengo ya kisiasa inayochochewa na Saudi Arabia, cha kushikilia misimamo yao ya kupewa nafasi maalumu serikalini ndicho kinachokwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon.

  • UN Yasikitishwa na Hujuma ya Saudia dhidi ya Hospitali Yemen

    UN Yasikitishwa na Hujuma ya Saudia dhidi ya Hospitali Yemen

    Aug 04, 2018 03:42

    Afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa amebainisha masikitiko yake kufuatia hatua ya muungano unaoongozwa na Saudia kushambulia hospitali na soko katika mji wa Al Hudaydah nchini Yemen.

  • EurAsian Times: NATO ya Kiarabu dhidi ya Iran, itaishia kushindwa

    EurAsian Times: NATO ya Kiarabu dhidi ya Iran, itaishia kushindwa

    Aug 03, 2018 02:57

    Gazeti la EurAsian Times limeandika kuwa, fedha za Saudia, silaha za Marekani na vyombo vya upelelezi vya Israel, vinaunda muungano dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kifupi 'NATO ya Kiarabu.'

  • Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar

    Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar

    Aug 02, 2018 03:36

    Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwaka jana zilipanga kuishambulia na kuivamia kijeshi Qatar mwanzoni mwa mgogoro wa kidiplomasia uliosababisha kuwekewa mzingiro na vikwazo taifa hilo dogo la Ghuba ya Uajemi.

  • Utawala wa Saudia wawazuia mahujaji kuzuru makaburi ya watoto na maswahaba wa Mtume (saw), Madina

    Utawala wa Saudia wawazuia mahujaji kuzuru makaburi ya watoto na maswahaba wa Mtume (saw), Madina

    Jul 31, 2018 22:19

    Utawala wa Saudi Arabia umeweka vizuizi vinazyowazuia mahujaji waliokwenda kutekeleza ibada ya Hija kuzuru makaburi ya watoto, wajukuu, na masahaba wa Mtume Muhammad (saw) katika eneo la Baqii mjini Madina.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    Jul 31, 2018 10:02

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kuendelea kukamatwa wapinzani wa serikali nchini Saudi Arabia.

  • Saudia yawapiga marufuku mahujaji kujadili masuala ya Yemen na Palestina

    Saudia yawapiga marufuku mahujaji kujadili masuala ya Yemen na Palestina

    Jul 28, 2018 06:52

    Kufuatia kushindwa siasa za Saudia kuanzia nchini Syria, Iraq na Yemen, na kadhalika kashfa za kuyasaidia kifedha makundi ya kigaidi na Kiwahabi, serikali ya Riyadh imepiga marufuku vikao vya aina yoyote vinavyojadili masuala ya kisiasa yakiwemo masuala ya Yemen na Palestina.

  • Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Jul 21, 2018 02:42

    Gazeti la Independent la Uingereza limechapisha nyaraka zinazoonyesha namna ambavyo Saudi Arabia imekuwa ikiwapatia silaha magaidi nchini Syria.

  • Kushambuliwa kituo cha kusafisha mafuta Riyadh, hatua mpya katika vita vya Yemen

    Kushambuliwa kituo cha kusafisha mafuta Riyadh, hatua mpya katika vita vya Yemen

    Jul 19, 2018 05:31

    Ndege ya kivita isiyo na rubani (drone) ya Jeshi la Yemen na Kamati za Kujitolea za Wananchi Wayemen imetekeleza shambulizi ambalo limelenga kwa mafanikio maghala ya mafuta ya kituo cha kusafisha mafuta ya petroli cha Shirika la Aramco la Saudia Arabia katika mji mkuu wa nchi hiyo, Riyadh.

  • Ndege zisizo na rubani za Yemen zashambulia Shirika la Mafuta la Saudia, mjini Riyadh

    Ndege zisizo na rubani za Yemen zashambulia Shirika la Mafuta la Saudia, mjini Riyadh

    Jul 19, 2018 03:32

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema baada ya ndege zisizo na rubani za nchi hiyo kushambulia kwa makombora Shirika la Mafuta la Saudi Arabia (ARAMCO) kwamba, operesheni ya jeshi la Yemen kwa kutumia ndege hizo zisizo na rubani, zimeleta mabadiliko makubwa katika vita dhidi ya maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS