-
Hizbullah: Saudia inakwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon
Aug 05, 2018 20:50Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kitendo cha baadhi ya mirengo ya kisiasa inayochochewa na Saudi Arabia, cha kushikilia misimamo yao ya kupewa nafasi maalumu serikalini ndicho kinachokwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon.
-
UN Yasikitishwa na Hujuma ya Saudia dhidi ya Hospitali Yemen
Aug 04, 2018 03:42Afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa amebainisha masikitiko yake kufuatia hatua ya muungano unaoongozwa na Saudia kushambulia hospitali na soko katika mji wa Al Hudaydah nchini Yemen.
-
EurAsian Times: NATO ya Kiarabu dhidi ya Iran, itaishia kushindwa
Aug 03, 2018 02:57Gazeti la EurAsian Times limeandika kuwa, fedha za Saudia, silaha za Marekani na vyombo vya upelelezi vya Israel, vinaunda muungano dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kifupi 'NATO ya Kiarabu.'
-
Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar
Aug 02, 2018 03:36Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwaka jana zilipanga kuishambulia na kuivamia kijeshi Qatar mwanzoni mwa mgogoro wa kidiplomasia uliosababisha kuwekewa mzingiro na vikwazo taifa hilo dogo la Ghuba ya Uajemi.
-
Utawala wa Saudia wawazuia mahujaji kuzuru makaburi ya watoto na maswahaba wa Mtume (saw), Madina
Jul 31, 2018 22:19Utawala wa Saudi Arabia umeweka vizuizi vinazyowazuia mahujaji waliokwenda kutekeleza ibada ya Hija kuzuru makaburi ya watoto, wajukuu, na masahaba wa Mtume Muhammad (saw) katika eneo la Baqii mjini Madina.
-
UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia
Jul 31, 2018 10:02Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kuendelea kukamatwa wapinzani wa serikali nchini Saudi Arabia.
-
Saudia yawapiga marufuku mahujaji kujadili masuala ya Yemen na Palestina
Jul 28, 2018 06:52Kufuatia kushindwa siasa za Saudia kuanzia nchini Syria, Iraq na Yemen, na kadhalika kashfa za kuyasaidia kifedha makundi ya kigaidi na Kiwahabi, serikali ya Riyadh imepiga marufuku vikao vya aina yoyote vinavyojadili masuala ya kisiasa yakiwemo masuala ya Yemen na Palestina.
-
Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria
Jul 21, 2018 02:42Gazeti la Independent la Uingereza limechapisha nyaraka zinazoonyesha namna ambavyo Saudi Arabia imekuwa ikiwapatia silaha magaidi nchini Syria.
-
Kushambuliwa kituo cha kusafisha mafuta Riyadh, hatua mpya katika vita vya Yemen
Jul 19, 2018 05:31Ndege ya kivita isiyo na rubani (drone) ya Jeshi la Yemen na Kamati za Kujitolea za Wananchi Wayemen imetekeleza shambulizi ambalo limelenga kwa mafanikio maghala ya mafuta ya kituo cha kusafisha mafuta ya petroli cha Shirika la Aramco la Saudia Arabia katika mji mkuu wa nchi hiyo, Riyadh.
-
Ndege zisizo na rubani za Yemen zashambulia Shirika la Mafuta la Saudia, mjini Riyadh
Jul 19, 2018 03:32Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema baada ya ndege zisizo na rubani za nchi hiyo kushambulia kwa makombora Shirika la Mafuta la Saudi Arabia (ARAMCO) kwamba, operesheni ya jeshi la Yemen kwa kutumia ndege hizo zisizo na rubani, zimeleta mabadiliko makubwa katika vita dhidi ya maadui.