Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    Jul 31, 2018 10:02

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kuendelea kukamatwa wapinzani wa serikali nchini Saudi Arabia.

  • Saudia yawapiga marufuku mahujaji kujadili masuala ya Yemen na Palestina

    Saudia yawapiga marufuku mahujaji kujadili masuala ya Yemen na Palestina

    Jul 28, 2018 06:52

    Kufuatia kushindwa siasa za Saudia kuanzia nchini Syria, Iraq na Yemen, na kadhalika kashfa za kuyasaidia kifedha makundi ya kigaidi na Kiwahabi, serikali ya Riyadh imepiga marufuku vikao vya aina yoyote vinavyojadili masuala ya kisiasa yakiwemo masuala ya Yemen na Palestina.

  • Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Jul 21, 2018 02:42

    Gazeti la Independent la Uingereza limechapisha nyaraka zinazoonyesha namna ambavyo Saudi Arabia imekuwa ikiwapatia silaha magaidi nchini Syria.

  • Kushambuliwa kituo cha kusafisha mafuta Riyadh, hatua mpya katika vita vya Yemen

    Kushambuliwa kituo cha kusafisha mafuta Riyadh, hatua mpya katika vita vya Yemen

    Jul 19, 2018 05:31

    Ndege ya kivita isiyo na rubani (drone) ya Jeshi la Yemen na Kamati za Kujitolea za Wananchi Wayemen imetekeleza shambulizi ambalo limelenga kwa mafanikio maghala ya mafuta ya kituo cha kusafisha mafuta ya petroli cha Shirika la Aramco la Saudia Arabia katika mji mkuu wa nchi hiyo, Riyadh.

  • Ndege zisizo na rubani za Yemen zashambulia Shirika la Mafuta la Saudia, mjini Riyadh

    Ndege zisizo na rubani za Yemen zashambulia Shirika la Mafuta la Saudia, mjini Riyadh

    Jul 19, 2018 03:32

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema baada ya ndege zisizo na rubani za nchi hiyo kushambulia kwa makombora Shirika la Mafuta la Saudi Arabia (ARAMCO) kwamba, operesheni ya jeshi la Yemen kwa kutumia ndege hizo zisizo na rubani, zimeleta mabadiliko makubwa katika vita dhidi ya maadui.

  • Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Jul 15, 2018 23:46

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na kieneo wa nchini Afghanistan ambaye pia ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo amesema kuwa, Saudi Arabia inalinda kikamilifu maslahi na malengo ya Marekani nchini Afghanistan.

  • SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia

    SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia

    Jul 14, 2018 12:50

    Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binaadamu nchini Kenya yameitaka serikali ya ya nchi hiyo kufuatialia hali ya Wakenya wanaofanya kazi mbalimbali katika nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.

  • Msafara wa vifaru vya Saudia waangamizwa na Wayemen

    Msafara wa vifaru vya Saudia waangamizwa na Wayemen

    Jul 14, 2018 09:34

    Kikosi cha mizinga na makombora cha jeshi pamoja na Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen, kimefanikiwa kuangamiza msafara wa vifaru vya Saudi Arabia vilivyokuwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Saudi Arabia yamtia nguvuni mwanazuoni wa nchi hiyo kwa kukosoa serikali

    Saudi Arabia yamtia nguvuni mwanazuoni wa nchi hiyo kwa kukosoa serikali

    Jul 12, 2018 10:29

    Utawala wa Saudi Arabia umemtia nguvuni mwanazuoni wa kidini wa nchi hiyo baada ya kukosoa siasa za utawala wa kifalme wa nchi hiyo na Marekani.

  • Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran

    Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran

    Jul 10, 2018 23:56

    Serikali ya Saudi Arabia sambamba na kutuma barua kwenda Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeituhumu nchi hii kwamba inakiuka haki yake ya kujitawala katika maji ya bahari ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS