Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Jul 15, 2018 23:46

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na kieneo wa nchini Afghanistan ambaye pia ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo amesema kuwa, Saudi Arabia inalinda kikamilifu maslahi na malengo ya Marekani nchini Afghanistan.

  • SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia

    SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia

    Jul 14, 2018 12:50

    Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binaadamu nchini Kenya yameitaka serikali ya ya nchi hiyo kufuatialia hali ya Wakenya wanaofanya kazi mbalimbali katika nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.

  • Msafara wa vifaru vya Saudia waangamizwa na Wayemen

    Msafara wa vifaru vya Saudia waangamizwa na Wayemen

    Jul 14, 2018 09:34

    Kikosi cha mizinga na makombora cha jeshi pamoja na Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen, kimefanikiwa kuangamiza msafara wa vifaru vya Saudi Arabia vilivyokuwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Saudi Arabia yamtia nguvuni mwanazuoni wa nchi hiyo kwa kukosoa serikali

    Saudi Arabia yamtia nguvuni mwanazuoni wa nchi hiyo kwa kukosoa serikali

    Jul 12, 2018 10:29

    Utawala wa Saudi Arabia umemtia nguvuni mwanazuoni wa kidini wa nchi hiyo baada ya kukosoa siasa za utawala wa kifalme wa nchi hiyo na Marekani.

  • Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran

    Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran

    Jul 10, 2018 23:56

    Serikali ya Saudi Arabia sambamba na kutuma barua kwenda Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeituhumu nchi hii kwamba inakiuka haki yake ya kujitawala katika maji ya bahari ya nchi hiyo.

  • Jeshi la Yamen lavurumisha kombora katika kambi ya mamluki wa Saudia

    Jeshi la Yamen lavurumisha kombora katika kambi ya mamluki wa Saudia

    Jul 10, 2018 23:38

    Jeshi la Yemen, likishirikiana na wapiganaji wa Kamati za Wananchi, limevurumisha kombora lililotengenezwa nchini humo na kulenga kambi ya mamluki wa Saudi Arabia ambao ni watiifu kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansur Hadi katika mji wa al Hudaydah katika pwani ya magharibi mwa nchi hiyo.

  • Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia

    Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia

    Jul 06, 2018 22:12

    Vita vya madaraka katika ukoo wa Aal Sad nchini Saudi Arabia vinachukua mkondo mpya na mpana zaidi kila siku ambapo wanawafalme na maafisa wengi wa ngazi za juu nchini humo wamekuwa wakitiwa mbaroni kwa amri ya Muhamm bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.

  • Qatar kuiburuza Saudia mahakamani kwa tuhuma za kuingiza siasa katika ibada ya Hijah

    Qatar kuiburuza Saudia mahakamani kwa tuhuma za kuingiza siasa katika ibada ya Hijah

    Jul 03, 2018 23:54

    Serikali ya Qatar na katika mfululizo wa kufuatilia masuala ya kisheria na kimataifa dhidi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri, imetangaza kwamba imefungua mashitaka dhidi ya Riyadh kutokana na serikali ya nchi hiyo kuingiza siasa katika ibada ya Hijjah.

  • Kusimamishwa uuzaji silaha za Ubelgiji kwa Saudi Arabia

    Kusimamishwa uuzaji silaha za Ubelgiji kwa Saudi Arabia

    Jul 01, 2018 22:01

    Kufuatia hatua ya Saudi Arabia na washirika wake ya kuendelea kuishambulia kijeshi Yemen, Baraza la Kiserikali la Ubelgiji, limetoa amri ya kusimamishwa uuzaji silaha wa nchi hiyo kwa Riyadh.

  • Marekani, Israel, Saudia zinapanga njama za kuudhuri uchumi wa Iran

    Marekani, Israel, Saudia zinapanga njama za kuudhuri uchumi wa Iran

    Jul 01, 2018 09:18

    Marekani, Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinapanga njama za kuzuia na kusitisha mkondo wa ustawi wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini hazitafanikiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS