-
Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan
Jul 15, 2018 23:46Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na kieneo wa nchini Afghanistan ambaye pia ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo amesema kuwa, Saudi Arabia inalinda kikamilifu maslahi na malengo ya Marekani nchini Afghanistan.
-
SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia
Jul 14, 2018 12:50Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binaadamu nchini Kenya yameitaka serikali ya ya nchi hiyo kufuatialia hali ya Wakenya wanaofanya kazi mbalimbali katika nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.
-
Msafara wa vifaru vya Saudia waangamizwa na Wayemen
Jul 14, 2018 09:34Kikosi cha mizinga na makombora cha jeshi pamoja na Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen, kimefanikiwa kuangamiza msafara wa vifaru vya Saudi Arabia vilivyokuwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Saudi Arabia yamtia nguvuni mwanazuoni wa nchi hiyo kwa kukosoa serikali
Jul 12, 2018 10:29Utawala wa Saudi Arabia umemtia nguvuni mwanazuoni wa kidini wa nchi hiyo baada ya kukosoa siasa za utawala wa kifalme wa nchi hiyo na Marekani.
-
Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran
Jul 10, 2018 23:56Serikali ya Saudi Arabia sambamba na kutuma barua kwenda Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeituhumu nchi hii kwamba inakiuka haki yake ya kujitawala katika maji ya bahari ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Yamen lavurumisha kombora katika kambi ya mamluki wa Saudia
Jul 10, 2018 23:38Jeshi la Yemen, likishirikiana na wapiganaji wa Kamati za Wananchi, limevurumisha kombora lililotengenezwa nchini humo na kulenga kambi ya mamluki wa Saudi Arabia ambao ni watiifu kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansur Hadi katika mji wa al Hudaydah katika pwani ya magharibi mwa nchi hiyo.
-
Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia
Jul 06, 2018 22:12Vita vya madaraka katika ukoo wa Aal Sad nchini Saudi Arabia vinachukua mkondo mpya na mpana zaidi kila siku ambapo wanawafalme na maafisa wengi wa ngazi za juu nchini humo wamekuwa wakitiwa mbaroni kwa amri ya Muhamm bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.
-
Qatar kuiburuza Saudia mahakamani kwa tuhuma za kuingiza siasa katika ibada ya Hijah
Jul 03, 2018 23:54Serikali ya Qatar na katika mfululizo wa kufuatilia masuala ya kisheria na kimataifa dhidi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri, imetangaza kwamba imefungua mashitaka dhidi ya Riyadh kutokana na serikali ya nchi hiyo kuingiza siasa katika ibada ya Hijjah.
-
Kusimamishwa uuzaji silaha za Ubelgiji kwa Saudi Arabia
Jul 01, 2018 22:01Kufuatia hatua ya Saudi Arabia na washirika wake ya kuendelea kuishambulia kijeshi Yemen, Baraza la Kiserikali la Ubelgiji, limetoa amri ya kusimamishwa uuzaji silaha wa nchi hiyo kwa Riyadh.
-
Marekani, Israel, Saudia zinapanga njama za kuudhuri uchumi wa Iran
Jul 01, 2018 09:18Marekani, Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinapanga njama za kuzuia na kusitisha mkondo wa ustawi wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini hazitafanikiwa.