-
Jeshi la Yamen lavurumisha kombora katika kambi ya mamluki wa Saudia
Jul 10, 2018 23:38Jeshi la Yemen, likishirikiana na wapiganaji wa Kamati za Wananchi, limevurumisha kombora lililotengenezwa nchini humo na kulenga kambi ya mamluki wa Saudi Arabia ambao ni watiifu kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansur Hadi katika mji wa al Hudaydah katika pwani ya magharibi mwa nchi hiyo.
-
Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia
Jul 06, 2018 22:12Vita vya madaraka katika ukoo wa Aal Sad nchini Saudi Arabia vinachukua mkondo mpya na mpana zaidi kila siku ambapo wanawafalme na maafisa wengi wa ngazi za juu nchini humo wamekuwa wakitiwa mbaroni kwa amri ya Muhamm bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.
-
Qatar kuiburuza Saudia mahakamani kwa tuhuma za kuingiza siasa katika ibada ya Hijah
Jul 03, 2018 23:54Serikali ya Qatar na katika mfululizo wa kufuatilia masuala ya kisheria na kimataifa dhidi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri, imetangaza kwamba imefungua mashitaka dhidi ya Riyadh kutokana na serikali ya nchi hiyo kuingiza siasa katika ibada ya Hijjah.
-
Kusimamishwa uuzaji silaha za Ubelgiji kwa Saudi Arabia
Jul 01, 2018 22:01Kufuatia hatua ya Saudi Arabia na washirika wake ya kuendelea kuishambulia kijeshi Yemen, Baraza la Kiserikali la Ubelgiji, limetoa amri ya kusimamishwa uuzaji silaha wa nchi hiyo kwa Riyadh.
-
Marekani, Israel, Saudia zinapanga njama za kuudhuri uchumi wa Iran
Jul 01, 2018 09:18Marekani, Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinapanga njama za kuzuia na kusitisha mkondo wa ustawi wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini hazitafanikiwa.
-
Malaysia yasimamisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudia katika vita dhidi ya Yemen
Jun 28, 2018 08:52Waziri wa Ulinzi wa Malaysia amesema kuwa, nchi yake imesimamisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.
-
Human Rights Watch yafurahishwa na kuingizwa Saudia katika orodha nyeusi ya kuvunja haki za binadamu
Jun 27, 2018 03:27Shirika la kimataifa la Human Rights Watch limepokea kwa furaha hatua ya kuingizwa jina la Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya wavunjaji wa haki za watoto wadogo na kusema kuwa hiyo ni hatua muhimu.
-
"Saudia iliipa hongo timu ya taifa ya Misri ikubali kuifunga kombe la dunia" - Mwandishi
Jun 27, 2018 03:25Mwandishi mmoja wa Misri amelalamika kuwa serikali ya nchi yake ilipokea rushwa na hongo kutoka kwa Saudi Arabia na kuilazimisha timu ya taifa ya nchi hiyo ikubali kufungwa na Saudia katika mashindano ya fainali za kombe la dunia yanayoendelea nchini Russia hivi sasa.
-
Njia ya reli ya kuiunganisha Israel na Saudi Arabia iko mbioni kujengwa
Jun 24, 2018 22:25Kanali ya Pili ya televisheni ya Israel imetangaza habari ya kukubaliana Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benajmain Netanyahu na Waziri wa Barabara na Uchukuzi wa utawala huo, Yisrael Katz, kuhusu kuanza ujenzi wa njia ya reli ya kuiunganisha Saudi Arabia na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Shakhsia tofauti wafanya maandamano London kupinga uungaji mkono wa UK kwa Saudia Yemen
Jun 23, 2018 20:43Kundi la wawakilishi wa bunge, wahadhiri wa vyuo vikuu na watu wenye vipawa tofauti nchini Uingereza, wamefanya maandamano mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo wakilaani uungaji mkono wa serikali ya London kwa uvamizi wa Saudia nchini Yemen.