Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mgogoro baina ya Qatar na nchi za Kiarabu umezidi kupamba moto

    Mgogoro baina ya Qatar na nchi za Kiarabu umezidi kupamba moto

    Nov 23, 2017 03:49

    Kwa mara nyingine tena nchi za Saudia, Imarati, Misri na Bahrain zimetoa tuhuma kali dhidi ya Qatar kwa kudai kuwa inaunga mkono ugaidi. Jana usiku nchi hizo ziliongeza katika orodha yao ya makundi ya kigaidi taasisi mbili na watu 11 ambao zinadai wanafanya ugaidi kwa uungaji mkono wa Qatar.

  • Hariri arejea Lebanon, ombi lake la kujiuzulu lasimamishwa, akutana na Rais Aoun

    Hariri arejea Lebanon, ombi lake la kujiuzulu lasimamishwa, akutana na Rais Aoun

    Nov 22, 2017 23:56

    Saad Hariri, Waziri Mkuu wa Lebanon amesimamisha kwa muda ombi lake la kutaka kujiuzulu wadhifa wake huo baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Michel Aoun mjini Beirut.

  • Qatar: Saudia inafanya ukandamizaji ndani ya nchi na uchochezi nje ya nchi

    Qatar: Saudia inafanya ukandamizaji ndani ya nchi na uchochezi nje ya nchi

    Nov 21, 2017 10:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amekosoa vikali sera ya utawala wa Aal-Saud ya kuwakandamiza wananchi wa Saudi Arabia na wakati huo huo kuzichochea nchi nyingine.

  • Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran: Saudi Arabia ni mhimili wa shari katika eneo

    Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran: Saudi Arabia ni mhimili wa shari katika eneo

    Nov 20, 2017 11:02

    Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran ameitaja Saudi Arabia kuwa mhimili wa Shari na kusisitiza juu ya ulazima wa kusimama kidete mbele ya njama mbovu na za kifisadi za Marekani na waitifaki wake katika eneo hili la Mashariki ya Kati kwa kuwepo umoja na kushikamana zaidi watu wa eneo hili.

  • Mamilioni Yemen yamkini wakafariki kutokana na mzingiro uliowekwa na Saudia

    Mamilioni Yemen yamkini wakafariki kutokana na mzingiro uliowekwa na Saudia

    Nov 20, 2017 10:55

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Dunaini, WFP, limeonya kuwa mamilioni ya watu wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya mauti kufuatia mzingiro uliowekwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na hivyo kuzuia misaada kuwafikia wanaohitajia.

  • Zarif: Ni maskhara kuona Saudi Arabia ikiituhumu Iran kuwa inasababisha machafuko

    Zarif: Ni maskhara kuona Saudi Arabia ikiituhumu Iran kuwa inasababisha machafuko

    Nov 19, 2017 23:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ni maskhara kwa Saudia Arabia kuituhumu Iran kuwa inasababisha machafuko katika hali ambayo nchi hiyo ndiyo inayowachochea magaidi na iliyoanzisha vita huko Yemen.

  • Tume ya Kimataifa yapinga madai ya Saudia kuhusu mzingiro wa Yemen

    Tume ya Kimataifa yapinga madai ya Saudia kuhusu mzingiro wa Yemen

    Nov 19, 2017 23:18

    Tume ya kimataifa iliyoundwa na Umoja wa Mataifa imefichua kwamba Saudi Arabia inazuia kwa makusudi misaada ya kibinadamu inayotumwa kwa watu wanaozongwa na maradhi na njaa huko Yemen na kutangaza kuwa, tume hiyo haikubali sababu zilizotolewa na utawala wa Riyadh za kuendelea kuizingira nchi hiyo.

  • Qatar: Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa

    Qatar: Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa "kipekee"

    Nov 19, 2017 00:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ameutaja uhusiano uliopo kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa wa "kipekee".

  • Iran: Sumu hatari ya Uwahabi na Utakfiri ilizaliwa Saudi Arabia

    Iran: Sumu hatari ya Uwahabi na Utakfiri ilizaliwa Saudi Arabia

    Nov 18, 2017 04:22

    Mshauri na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Saudi Arabia ndio chimbuko na sehemu ilikozaliwa idiolojia hatari ya Utakfiri inayotumiwa na magenge ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS).

  • Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti

    Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti

    Nov 18, 2017 04:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema utawala wa Saudi Arabia unachochea migogoro na mivutano katika eneo la Mashariki ya Kati sambamba na kuzikandamiza na kuzinyanyasa nchi ndogo katika eneo ili kuzishinikiza zipige magoti mbele yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS