Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Zarif: Saudia inachukua hatua za kijinga na kihasama

    Zarif: Saudia inachukua hatua za kijinga na kihasama

    Nov 17, 2017 23:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wasaudia wanapuuza uhakika na hali halisi ya kihistoria na kuchukua hatua za kihasama na kijinga ambazo zinaendelea kuwasababishia madhara wao wenyewe.

  • Kashani: Umoja wa Walebanon umebatilisha njama za Saudia

    Kashani: Umoja wa Walebanon umebatilisha njama za Saudia

    Nov 17, 2017 13:17

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa umoja na mshikamano wa taifa la Lebanon umebatilisha na kuzima njama za utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na Saudi Arabia.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kuanza Novemba 27

    Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kuanza Novemba 27

    Nov 17, 2017 03:41

    Duru mpya ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa wa Burundi inatazamiwa kuanza tena Novemba 27 hadi Disemba 8, mwaka huu.

  • Vyombo vya habari vya Magharibi vyanyamazia kimya jinai za Saudia dhidi ya Wayemen

    Vyombo vya habari vya Magharibi vyanyamazia kimya jinai za Saudia dhidi ya Wayemen

    Nov 16, 2017 01:06

    Wabunge nchini Iran wamelaani vikali mauaji yanayotekelezwa na Saudi Arabia dhidi ya raia wa Yemen huku wakisema jinai hizo zimenyamaziwa kimya na vyombo vya habari vya magharibi.

  • Ndege za kivita za Saudia zashambulia uwanja wa ndege wa Sana'a, Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zashambulia uwanja wa ndege wa Sana'a, Yemen

    Nov 15, 2017 03:45

    Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya uwanja wa ndege ulioko katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a, na kufanya hali ya mambo katika nchi hiyo kuwa mbaya zaidi.

  • Afisa wa zamani wa CIA: Saudia na Israel zinataka kuiburuza Marekani kwenye vita dhidi ya Iran

    Afisa wa zamani wa CIA: Saudia na Israel zinataka kuiburuza Marekani kwenye vita dhidi ya Iran

    Nov 14, 2017 13:18

    Mtaalamu wa zamani wa kitengo cha kupambana na ugaidi aliyekuwa pia afisa wa intelijinsia ya kijeshi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia hazina uwezo wa kuishinda kijeshi Iran hivyo zinajaribu kuiburuza Marekani kwenye vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Bin Salman amshinikiza Abbas akubali mpango wa Trump wa mapatano na Israel

    Bin Salman amshinikiza Abbas akubali mpango wa Trump wa mapatano na Israel

    Nov 14, 2017 12:22

    Gazeti la Times la Uingereza limefichua kuwa, katika jitihada mpya za kutaka kubadili ramani ya kisiasa ya Mashariki ya Kati kwa maslahi ya Marekani na Israel, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman anamshinikiza Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas ili akubaliane na mpango mpya wa eti amani ya Mashariki ya Kati uliobuniwa na timu ya Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Zarif amwandikia barua Katibu Mkuu wa UN; Hali ya Yemen ni mbaya sana

    Zarif amwandikia barua Katibu Mkuu wa UN; Hali ya Yemen ni mbaya sana

    Nov 14, 2017 03:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana usiku alimuandikia barua Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akisema kuwa hali ya mambo nchini Yemen ni mbaya sana na inatia wasiwasi mkubwa; hiyo ikiwa ni natija ya uvamizi wa kijeshi na kuzingirwa pande zote nchi hiyo na utawala wa kidikteta wa Saudi Arabia.

  • EU yamtaka Hariri arejee Lebanon, yaionya Saudia dhidi ya uingiliaji wa masuala ya nchi hiyo

    EU yamtaka Hariri arejee Lebanon, yaionya Saudia dhidi ya uingiliaji wa masuala ya nchi hiyo

    Nov 14, 2017 03:46

    Umoja wa Ulaya umemtaka Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu hivi karibuni, Saad Hariri arejee katika nchi yake huku ukiitahadharisha Saudi Arabia dhidi ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Nov 13, 2017 23:34

    Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kwa ajili ya makabiliano yoyote ya kijeshi huku kukiwa na tetesi kuwa Saudi Arabia inauchochea utawala wa Kizayuni wa Israel uishambulie Lebanon kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS