Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Iran yasisitiza haingilii mambo ya ndani ya nchi nyingine

    Iran yasisitiza haingilii mambo ya ndani ya nchi nyingine

    Nov 13, 2017 12:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Sera ya kimsingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutoingilia kamwe masuala ya ndani ya nchi nyingine."

  • Rais wa Lebanon: Matamshi ya Saad Hariri hayana itibari

    Rais wa Lebanon: Matamshi ya Saad Hariri hayana itibari

    Nov 13, 2017 04:48

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema: Saad Hariri, tangu siku ya Jumamosi hadi sasa yuko nchini Saudi Arabia katika mazingira tata na yasiyoeleweka; na misimamo yake ni misimamo ya kutia shaka na kutatanisha.

  • Hariri ajidhalilisha Saudia, apanga foleni kumpa mkono Mfalme Salman

    Hariri ajidhalilisha Saudia, apanga foleni kumpa mkono Mfalme Salman

    Nov 12, 2017 10:18

    Kanda ya video iliyorushwa hewani na televisheni ya utawala wa Aal-Saud imemuonyesha Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu hivi karibuni akijidhalilisha kwa kupanga foleni na maafisa wa serikali ya Riyadh kwa ajili ya kumpa mkono Mfalme Salman Bin AbdulAzizi wa Saudi Arabia.

  • Tunisia yaikosoa Saudia kwa hatua zake za kuzusha migogoro katika nchi nyingine

    Tunisia yaikosoa Saudia kwa hatua zake za kuzusha migogoro katika nchi nyingine

    Nov 12, 2017 04:19

    Waziri Mkuu wa Tunisia ametoa radiamali yake kutokana na hatua ya kuibua migogoro ya Saudia katika nchi nyingine hususan Lebanon na kuonyesha matarajio kwamba mzozo huo hautapelekea kutokea vita kati ya nchi mbili.

  • Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Nov 12, 2017 04:08

    Katika msururu wa kurushiana maneneo viongozi wa Saudi Arabia na Uturuki, Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki amekosoa vikali matamshi ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia Mohammad Bin Salman kuhusu kile alichodai kuwa ni "Uislamu wa misimamo ya wastani."

  • Maafisa wa ngazi za juu wa Saudi Arabia na Israel wakutana Marekani

    Maafisa wa ngazi za juu wa Saudi Arabia na Israel wakutana Marekani

    Nov 12, 2017 01:16

    Tzipi Livni Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekutana na Turki al Faisal, mkuu wa zamani wa shirika la kijasusi la Saudi Arabia.

  • Iran: Saudia ni dhihirisho la ugaidi na kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine

    Iran: Saudia ni dhihirisho la ugaidi na kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine

    Nov 12, 2017 01:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Saudia ndio dhihirisho la misimamo ya kufurutu ada na ugaidi na kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine, lakini inazituhumu nchi nyiengine kuwa zinaunga mkono ugaidi.

  • Yemen: Madai ya Marekani kuwa Iran imehusika katika shambulizi la Riyadh ni kichekesho

    Yemen: Madai ya Marekani kuwa Iran imehusika katika shambulizi la Riyadh ni kichekesho

    Nov 11, 2017 12:18

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imekadhibisha madai ya Marekani kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilihusika katika shambulizi la kombora la Burkan 2 kutoka Yemen kwenda Riyadh na imeyataja madai hayo kuwa ni kichekesho.

  • Hitilafu za kimitazamo kati ya Trump na Tillerson kuhusu matukio ya Saudia

    Hitilafu za kimitazamo kati ya Trump na Tillerson kuhusu matukio ya Saudia

    Nov 11, 2017 08:22

    Matukio yanayojiri nchini Saudi Arabia kwa mara nyingine tena yameweka wazi hitilafu zilizopo kati ya Rais wa Marekani na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya nchi hiyo.

  • UNICEF: Mzingiro wa Saudia utaua maelfu ya watoto Wayemen wenye njaa

    UNICEF: Mzingiro wa Saudia utaua maelfu ya watoto Wayemen wenye njaa

    Nov 10, 2017 11:38

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto UNICEF limeonya kuhusu madhara makubwa ya mzingiro wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen na kusema idadi kubwa ya watoto Wayemen wanaweza kupoteza maisha kwani tayari wanakabiliwa na lishe duni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS