-
Siri yafichuka, Saudia na Israel zinataka kuanzisha vita Mashariki ya Kati
Nov 10, 2017 11:33Imebainika kuwa, utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel zinapanga njama ya kuanzisha vita katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia aingilia masuala ya ndani ya Lebanon
Nov 10, 2017 04:48Ikiwa imepita karibu wiki moja baada ya Saad Hariri kujiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu wa Lebanon, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameibuka na kudai kuwa Riyadh haitoruhusu Lebanon iwe chanzo cha kusumbuliwa Saudi Arabia.
-
UN: Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani
Nov 09, 2017 23:46Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu hatua ya Saudi Arabia na washirika wake ya kufunga kabisa mipaka ya Yemen kwa siku ya tano mfululizo na kusisitiza kuwa Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani katika miongo ya hivi karibuni.
-
Wanawafalme waendelea kukamatwa Saudia, mgogoro watokota, masoko ya hisa yaporomoka
Nov 09, 2017 00:31Wimbi jipya la kuwakamata wanawafalme limeripotiwa nchini Saudi Arabia ambapo wanawafalme wanaofungamana na Mohammad bin Nayef, mritihi wa kitu cha ufalme aliyeuzuliwa nao wametiwa mbaroni huku mgogoro mkubwa ukitokota katika ukoo wa Aal Saud.
-
Barua ya Iran kwa UN ikisisitizia udharura wa Saudia kuzuiwa katika jinai zake
Nov 09, 2017 00:20Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo akiitaka Jamii ya Kimataifa iishinikize Saudi Arabia iheshimu sheria za kimataifa na kuacha kutoa vitisho vya kutumia mabavu dhidi ya nchi nyengine.
-
Mwanamfalme: Haki za binadamu zinakanyagwa sana Saudia
Nov 08, 2017 11:53Khalid bin Farhan Al Saud, Mwanamfalme ambaye amejitenga na utawala wa Aal-Saud, amesema kuwa kabla ya kuomba hifadhi ya kisiasa nchini Ujerumani, kwa muda mrefu alikuwa akiishi kwa wasiwasi na mashaka mengi nchini Saudia.
-
Israel: Helikopta iliyoua mwanamfalme ilishambuliwa na ndege za kivita za Saudia
Nov 07, 2017 23:24Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni vimefichua kuwa, ndege za kivita za Saudi Arabia ndizo zilizohusika katika kuanguka helikopta iliyokuwa imembeba mwanamfalme wa ngazi ya juu wa nchi hiyo.
-
Israel yazitaka balozi zake kushirikiana zaidi na Saudia dhidi ya Hizbullah
Nov 07, 2017 11:06Utawala haramu wa Kizayuni na katika kulinda maslahi ya Saudi Arabia duniani dhidi ya haraki ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon, imetoa ujumbe kwa balozi zake kuhusiana na suala hilo.
-
Rais wa Lebanon akataa ombi la kujiuzulu Hariri, amtaka arejee nchini
Nov 05, 2017 23:15Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema atakubali ombi la Waziri Mkuu wa nchi hiyo Saad Hariri la kujiuzulu kwa sharti kiongozi huyo aliyeko Saudi Arabia kwa sasa arejee nchini na atoe ufafanuzi wa kina.
-
Kombora la balistiki la Yemen laulenga uwanja wa ndege wa Mfalme Khalid mjini Riyadh, Saudia
Nov 05, 2017 04:37Kikosi cha makombora cha jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi jana usiku kilifyatua kombora la balistiki la masafa marefu aina ya Borkan H2 na kuulenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mfalme Khalid ulioko kwenye mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.