Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Uchunguzi: Nusu ya Waingereza hawajui kama Saudia imeanzisha vita dhidi ya Yemen

    Uchunguzi: Nusu ya Waingereza hawajui kama Saudia imeanzisha vita dhidi ya Yemen

    Mar 18, 2017 12:32

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa unaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya raia wa Uingereza hawana habari kuhusu vita angamizi vilivyoanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen pamoja na kwamba serikali yao ni mmoja wa wauzaji wakuu za silaha zinazotumiwa na utawala wa Aal Saud katika vita hivyo.

  • Radiamali ya Iran kwa madai ya 'kipuuzi' ya Mwana Mfalme wa Saudia alipokutana na Trump

    Radiamali ya Iran kwa madai ya 'kipuuzi' ya Mwana Mfalme wa Saudia alipokutana na Trump

    Mar 18, 2017 04:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali madai ya kipropaganda ya Riyadh na kuyataja kama ya kipuuzi na yasiyokuwa na msingi matamshi dhidi ya Tehran yaliyotolewa na Mwana Mfalme wa Saudi Arabia alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Marekani, Donald Trump katika Ikulu ya White House hivi karibuni.

  • UN, IOM zalaani mauaji ya wakimbizi 42 wa Kisomali, pwani ya Yemen

    UN, IOM zalaani mauaji ya wakimbizi 42 wa Kisomali, pwani ya Yemen

    Mar 18, 2017 03:44

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limekosoa vikali shambulio lililoua makumi ya wakimbizi raia wa Somalia katika pwani ya Yemen usiku wa kuamkia jana.

  • Wairani kufanya ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudia kukubali masharti ya Tehran

    Wairani kufanya ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudia kukubali masharti ya Tehran

    Mar 17, 2017 23:20

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanatazamiwa kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya kufanya ibada ya Hija baada ya maafisa wa seriakali ya Saudi Arabia kukubali masharti ya kudhamini mahitaji ya mahujaji wa Iran.

  • Amnesty yaitaka US ikome kuziuzia silaha Saudia na Bahrain

    Amnesty yaitaka US ikome kuziuzia silaha Saudia na Bahrain

    Mar 16, 2017 11:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Marekani iache kuziuzia silaha serikali za Saudi Arabia na Bahrain kutokana na nchi hizo kutumia silaha hizo kuvunja haki za raia.

  • Wayemen wataka kuundwe kamati ya kuchunguza jinai za Saudia nchini mwao

    Wayemen wataka kuundwe kamati ya kuchunguza jinai za Saudia nchini mwao

    Mar 16, 2017 00:28

    Serikali ya Yemen imetaka kuundwe kamati huru ya kimataifa ya kuchunguza jinai za Saudi Arabia nchini humo.

  • Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Mar 15, 2017 03:29

    Wanawake wa Yemen wamefanya maandamano na kukita kambi nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Sana’a, kuutaka umoja huo usitishe jinai na uvamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.

  • Yemen yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu jinai za Saudia

    Yemen yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu jinai za Saudia

    Mar 14, 2017 01:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen ameikosoa jamii ya kimataifa kwa kushindwa kusimamisha jinai, vita na mzingiro uliowekwa dhidi ya nchi hiyo.

  • Wapinzani Maldives wapinga Saudia kuuziwa visiwa

    Wapinzani Maldives wapinga Saudia kuuziwa visiwa

    Mar 11, 2017 10:54

    Vyama vya upinzani nchini Maldives vimepinga safari ya mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudia nchini humo baada ya kuvuja ripoti kuwa anataka kununua sehemu kubwa ya visiwa vya nchi hiyo ndogo ya kusini mwa Asia.

  • Jeshi la Yemen lalipiza kisasi, laua wanajeshi na mamluki 12 wa Saudia

    Jeshi la Yemen lalipiza kisasi, laua wanajeshi na mamluki 12 wa Saudia

    Mar 10, 2017 10:39

    Jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa nchi hiyo vimeshambulia kituo cha kijeshi cha Aal-Saud katika mkoa wa Najran, kusini mwa Saudi Arabia na kuua wanajeshi na mamluki 12 wa utawala huo wa kifalme.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS